Site icon A24TV News

MIAKA 5, YA MREMBO MASIPETII MSICHANA MDOGO ALIYEJITOLEA KUSAIDIA JAMII NA KUACHA KAZI, ANAMILIKI NYUMBA YA MILLION 280

Na Geofrey Stephen . A24TV

Ni historia kubwa sana kwa mwanamke Pendronila Masi Maarufu kama  (Masipeti ) kuacha kazi yake ya maana na kukimbilia kufanya kazi ya kusaidia  kuudumia watanzania.

Niliamua kuacha kazi mimi monyewe kustaafu kwa umri wangu  mdogo wakati nilikua nalipwa fedha nzuri tu  nikaona sintaweza kufikia malengo yangu na baadae nikaanzisha  biashara  mpya  mtandaoni kusaidia watanzania wenzangu na wengine nje ya watanzania

Mwanamke uyu akizungumza na vyombo vya habari juu ya yeye kuusishwa na swala zima la kua free mason kutokana na maendeleo aliyo nayo ya araka na pesa nyingi kwa biashara yake ya mtandaoni ya kusaidia jamii   yenye changamoto mbali mbali ameleeza kwamba mtaji wa maskini ni nguvu zake monyewe .

Masipeti amesema kwamba mara baada ya kuacha kazi katika Hospital aliona Tangazo la fursa katika mitandao juu ya page ya jaribu ukishindwa uwache  na ndipo alijaribu kuthubutu  fursa hii na kuanza kuona matunda yake na kuanza kutoa uduma kwa jamii katika mitandao ya kijamii amba ambayo ni maarufu ikiwemo @masipetii @pesa_heshima_mjini @masipetii
@pesa_heshima_mjini.

Amesema fursa iyo imemsaidia kufikia kujenga nyumba nne za kisasa ikiwemo nyumba ya mama yake mzazi ilioko nje kidogo  jijini Arusha na nyingine ilioko njiro Jijini Arusha  nyumba ya tatu ilioko jijini Dar es salaam ambapo pia amejenga nyumba kubwa ya kisasa ya nne ya garama ya kubwa  shilingi million 280 anaishi yeye na sehemu jingine ya wapangaji wake  .

Masipeti amesma licha ya kufanya biashara zake katika mitandao amekua akikutana na changamoto ya kuitwa free mason.

Kitu ambacho jambo ambalo kijana mdogo akifani tu na kupata pesa katika umri mdogo anaonekana ni tapeli ,mwizi au free mason, jambo ambalo amesema sio jema katika masikio ya wanao pambana na maisha lolote linawezekana .

Amefafanua katika maisha ya kuajiriwa ni vigumu kufikia malengo ya maisha mazuri kama ajira ya kujiajiri monyewe kwa sababu unapata faida ya mara moja unaweza  kufanya jambo lako kwa wakati kwani katika kazi ya kuajiriwa inachangamoto kubwa sana ukilinganisha muda wowote  boss akikukuta na  changamoto unaogopa kuachishwa kazi .

Kingine amesema kwamba vijana wawe na nidhamu ya pesa kwani wamekua na tabia ya kupata fedha lakini awapangii matumizi  kufanya maendeleo ya kujiinua katika maisha kwani pesa aiji mara mbili unapopata fursa wekeza katika jambo ambalo unaona liko ndani ya uwezo wako katika kulisimamia na kufikia maendeleo.

Masipeti amesema vijana wengi wanakatishwa tamaa sana na wengi wao ni ndugu jamaa marafiki hivyo ametoa rai kwa jamii kuto kukatishwa tamaa kwani mtaji wa kwanza wa binadamu ni akili ,utimamu wa mwili ,kujifunza kwa aliye fanikiwa .

Kwa mawasiliano zaidi mfuatilie kupitia mitandao ya kijamii kwenda @pesa_heshima_mjini @masipetii
@pesa_heshima_mjini.

Mwisho