Site icon A24TV News

WANANCHI WALIVYOFURIKA KWENYE BANDA LA CHUO KIKUU CHA MZUMBE MAONESHO YA NANENANE MBEYA

HABARI PICHA,

Na Richard Mrusha

WANANCHI WALIVYOFURIKA KWENYE BANDA LA CHUO KIKUU CHA MZUMBE MAONESHO YA NANENANE MBEYA

Prof. Henry Mollel, Rasi wa Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya (Kushoto), akimkabidhi zawadi ya kikombe Mhe. Shamata Shaame Khamis, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (Kulia), alipotembelea Banda la Chuo Kikuu Mzumbe, Kwenye maonesho ya Nanenane 2023

 

Mhe. Shamata Shaame Khamis, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (Katikati), akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Chuo Kikuu Mzumbe, Kwenye maonesho ya Nanenane 2023

Prof. Henry Mollel, Rasi wa Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya (Kushoto), akimueleza Mhe. Shamata Shaame Khamis, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (Kulia), kuhusu huduma zinazotolewa Katika Banda la Chuo Kikuu Mzumbe, Kwenye maonesho ya Nanenane 2023

Dkt. Nicholas Tutuba, Kaimu msimamizi wa kitengo cha Ubunifu, Ujasiriamali, na Ushirikino wa Viwanda (Kushoto), akieleza kwa Mhe. Shamata Shaame Khamis, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (wapili Kulia), kuhusu huduma za ujasiriamali zinazotolewa Katika Banda la Chuo Kikuu Mzumbe, Kwenye maonesho ya Nanenane 2023.

Prof. Henry Mollel, Rasi wa Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya (Kushoto), akimkaribisha Mhe. Shamata Shaame Khamis, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (Kulia), Katika Banda la Chuo Kikuu Mzumbe, Kwenye maonesho ya Nanenane 2023.

Prof. Henry Mollel, Rasi wa Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya (Kushoto), akimkaribisha Mhe. Shamata Shaame Khamis, Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (Kulia), Katika Banda la Chuo Kikuu Mzumbe, Kwenye maonesho ya Nanenane 2023

Mwisho .