Author: Geofrey Stephen

Na Richard Mrusha Geita Zaidi ya Washiriki 600 wamejitokeza kushiriki Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini yaliyoanza leo Oktoba 03, 2024 katika viwanja vya Bomba Mbili Mkoani Geita ambapo Wizara ya Madini na Taasisi zake wanashiriki katika kutoa elimu kuhusu shughuli za Sekta ya Madini. Maonesho hayo yanatarajiwa kufunguliwa rasmi Oktoba 5, 2024 ambapo Mgeni rasmi katika ufunguzi huo anatarajiwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko na yanategemewa kuhitimishwa Oktoba 13, 2024 na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizumza na waandishi wa Habari, Mkuu wa Mkoa…

Read More

Na.Mwandishi Wetu -Arusha Jumla ya Shilingi Bilioni 1.5 imetengwa kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya Wakala ya Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo nchini (LITA) Kampasi ya Tengeru iliyopo Mkoani Arusha kupitia ushirikiano uliopo kati ya Serikali ya Tanzania na Poland. Akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kutembelea kampasi hiyo, Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe amesema serikali inaendelea na upanuzi wa LITA katika kampasi zote nchini ili kuhakikisha elimu inayotolewa inakidhi soko la ajira. “Mradi huu ni mmoja ila kuna miradi mingine midogo midogo minne, mradi wa kwanza ulikuwa ni ujenzi wa sehemu…

Read More

⁸Na Geofrey Stephen Baba Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania – Dayosisi ya Kaskazini Kati Dkt. Solomon Jacob Massangwa amestaafishwa kwa heshima, baada ya kuhudumu katika Kanisani hilo kwa miaka 42. Ibaada maalum ya kumstaafisha Askofu Dkt Massangwa imefanyika kanisa la KKT Usharika wa Kimandolu, Jumapili ya leo Septemba 29, 2024 Jijini Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameshiriki ibada hiyo huku Usharika wa Kimandolu Mkoani Arusha ukimshukuru na kumtaja Askofu Solomon kwa kuhamasisha kulipa madeni ya kanisa, Kuongeza fursa za elimu kwa wachungaji wapya, Kuboresha ibada kwa Kuongeza wataalamu wa Muziki kwenye Dayosisi…

Read More

Na Bahati Siha . Wanafunzi waliokatisha masomo kwa changamoto mbali mbali ikiwa pamoja na mimba za utoto ,Wamemshuru Rais Samia Suluhuu Hassani kwa kuwajali na sasa wanaendelea na masomo ili kufikia malengo waliyokusudia Haya yamejiri wakati wa maazimisho ya Juma la elimu ya watu wazima yaliyofanyika kiwilaya shule ya msingi Sanya juu Wilayani humo na kuhudhuria na Viongozi mbalibali wa Serikali pamoja wadau wa elimu. Wakizungumza mara baada ya kupata frusa,Wamesema nafasi waliyoipata wanamshukuru Mama Samia Suluhuu Hassani kwa kuona umuhimu wa wao kurudi shule na kuendelea na masomo “Ni kweli tunamshukuru Mama Samia Suluhuu Hassani kwe nafasi aliyetupa ,maana…

Read More