Author: Geofrey Stephen

Na Bahati Hai, Waumini wa Dini ya kiisllamu mkoani Kilimanjaro,wametakiwa kuendelea kudumisha amani katika kuelekea uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu Hayo yamesemwa March 31 2025,na sheikh wa mkoani Shaabani Mlewa wakati wa Maadhimisho ya sikukuu ya Eid Elfitir iliyofanyika Msikiti wa Safii Bomang’mbe Wilayani Hai mkoani hapa. Akizungumza na waumini hao mara baada ya swala hiyo ya Eid ,amewataka Waislamu kuendelea kudumisha amani na upendo kwani ndiyo msingi mzuri wa maisha “Ni kweli uchanguzi mkuu unakuja,na kila uchanguzi unapokuja uinakuja na vitimbwi vingi , sasa akili kichwani,wewe mwenyewe kama muislamu inatakiwa kuwa wa kwanza kutunza amani”amesema Mlewa Amesema uisilamu…

Read More

.Watu Saba wakiwemo wanakwaya Sita wamefariki dunia papo hapo huku wengine 23 wakijeruhiwa baada ya gari walikokuwa wakisafiria kupoteza mwelekeo na kupinduka katika milima ya Pare, Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro. Mkuu wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo, ambapo amesema ajali hiyo imetokea leo asubuhi majira ya saa nne, Machi 30, 2025 eneo la barabara ya Bangalala wakati wanakwaya hao wakitokea Chome kuelekea Vudee wilayani humo. “Leo majira ya saa nne katika barabara ya Bangalala, Wilaya ya Same, kumetokea ajali ya gari aina ya coaster lililokuwa limebeba wanakwaya ambao walikuwa wanatokea Chome kuelekea Vudee, ambapo…

Read More

Siha, Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro Christopher Timbuka,katika kuelekea uchanguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu,amewataka watu wanaokusudia kufanya mchakato wa kuchaguliwa kuwa Viongozi wakati ukifika ,kudumisha umoja,upendo na amani kwa wanasiha na watanzania wote Haya amesema March 28 2025, wakati wa futari iliyoandaliwa na ofisi ya Mkurungenzi Mtendaji wa halmshauri hiyo Haji Mnasi Kwa ushirikiano na ofisi ya mkuu wa Wilaya katika Msikiti wa SanyaJuu kiwilaya humo. Akizungumza mara baada ya waumini kupata futuri hiyo, amewataka watu hao wanakusudia kwenye mchakato wa kuchaguliwa kudumisha amani na upendo , ambapo iliudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa Serikali,Viongozi wa dini,na…

Read More

Hai, Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Hassani Bomboko,amewataka maafisa mazingira Wilayani humo kuhakikisha wanasimamia wajibu wao ili mazingira yao safi hasa ,kipindi hiki cha mvua ili kuepuka magonjwa ya mlipuko ikiwamo kipindi pindu Hatua hiyo imekuja baada ya kufanya ziara ya kustukiza katika kituo cha mabasi na Bomang’ombe na soko la walaji na kukuta kadhia ya mrundikano wa uchafu wa aina mbali mbali ikiwamo, maji kutuama na kutoa harufu Akizungumza na wafanyabiasha wa soko la hilo, amewaambia amewataka maafisa hao wa mazingira kuacha kukaa ofisi ,watoke nje na kwenda kutimiza maswala ya usafi kwa jamii. “Ni kweli nimefika…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv . Polisi kata NGARENARO jijini Arusha Mkaguzi Msaidizi wa polisi TADEY TARIMO ametoa rai hiyo kwa wanafunzi wa shule za msingi na secondary katika kata hiyo wakati akitoa Elimu juu miradi mbalimbali ya polisi jamii. A/INSP TARIMO amewataka wanafunzi kutokua na hofu waonapo viashiria vya vitendo vya ukatili dhidi yao au kwa watu wao wa karibu na badala yake watoe TAARIFA mapema ili hatua ziweze kuchukuliwa. Sambamba na hilo Mkaguzi huyo amewahakikishia Usalama wanafunzi hao pindi watoapo TAARIFA za Ukatili na uhalifu mwingine unaotokea na kutendeka katika maeneo yao. Mwisho A/INSP TARIMO amewataka wanafunzi kuepukana na…

Read More

Siha, Baraza kuu la Waislamu Tanzania ( BAKWATA), Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro limesema litampokea mtu yeyote yule anayekuja na jema ambalo lipo ndani ya Aya na hadidhi na kushirikiana naye bega kwa bega katika kuwaletea maendeleao ya Waislamu na jamii kwa ujumla. Haya yamesemwa March 25 2025,na Sheikh wa Wilaya hiyo, Abubakar Hashimu wakati wa zoezi la ufuturishaji kiwilaya lililofanyika katika Msikiti wa SanyaJuu kiwilaya ambalo lilibebwa na Tumsifu Kweka mjumbe wa halmshauri kuu ya CCM mkoa na mkutano mkuu wa CCM Taifa Sheikh Akizungumza mara baada ya zoezi hilo kuitimishwa , amesema Ofisi ya Baraza hilo Wilayani humo itampokea…

Read More

Siha, Wananchi wa kijijii cha Sanya Hoyee Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wameomba Viongozi wa maeneo hayo kuzuia upigwaji Muziki katika baar ambazo hazina sehemu maalumu ya kuzuia sauti(Sound proof)ili kuepusha usumbufu kwa jamii Maombi hayo yamekuja baada ya kuwepo upigwaji wa mziki mkubwa na kusababisha kero hasa nyakati za usiku ambapo watoto, wagonjwa, pamoja na wanafunzi kushinda kupata usingizi Wakizungumza na waandishi wa habari kwa nyakati tofauti, wameomba wausika kufunga vyombo hivyo maalumu vya kuzuia sauti. “Ni kweli kero kubwa wanashindwa kupata usingizi , Watoto, wagonjwa wazee na wengine,Muziki unapigwa Baar na hata baadhi ya nyumba za ibada ,ni usumbufu…

Read More