Author: Ngirisho1

Mchumba wangu alitupiwa jini na ndugu zake ili nisimuoe Jina langu ni Ally kutokea Dodoma, Tanzania, nina mchumba wangu ambaye tupo kwenye mahusiano kwa mwaka wa nane huu, sasa tumebahatika kupata mtoto mmoja. Changamoto zilianza baada ya mchumba wangu kupata ujauzito akawa mtu wa kuota ndoto mbaya. Nikampeleka kwa mganga nikaambiwa kuwa ana jini ametupiwa ambaye hataki apate mimba. Nikahangaika nae akapata nafuu, mtoto alipozaliwa shida ikawa kutembea tabu. Akawa dhaifu sana. Nikampeleka kwa mganga lakini hakupona Wakati huo nikawa nishapeleka barua ya uchumba yaani kipindi mchumba wangu akiwa bado hajajifungua. Baada ya kujifungua mchumba wangu akaanza kukimbia kimbia, sikujua…

Read More

Hii ndio dawa ya migogoro yote ndani ya ndoa! Jina langu ni Mami kutoka Mwanza, Tanzania, mwaka mmoja baada ya kufunga ndoa na mume wangu Kelvin mambo yalianza kubadilika hasa kwa upendo aliokuwa nao mwanzo mume wangu alipunguza. Hali hii ilinipa wasiwasi mkubwa sana lakini kiukweli mume wangu nilimkabidhi moyo wangu wote hivyo sikumfikilia vibaya licha ya hayo niliyokuwa napitia. Tukiwa tumelala kitandani aliniambia mke wangu sitaki nikuone mtandaoni wewe ni mke tayari na unatakiwa kuishi kama mke kwa Nilikuwa namheshimu na kumpenda sana mume wangu sikutaka kubishana nae japo iliniuma kwani nilikuwa nimezoea kuingia mitandao sana tangu nikiwa kwetu.…

Read More

MWANAUME ALINITESA SANA KATIKA MAHUSIANO ILA SASA NIMEPATA DAWA YA KUMTULIZ Mwanaume alinitesa sana katika mahusiano ila sasa nimemtuliza! Jina langu ni Brenda kutokea Mbeya nchini Tannzania, mimi ni binti wa miaka 24, niliingia katika mahusiano na kijana mmoja, nikampa kila kitu nilichoweza kwa wakati huo. Nakumbuka kipindi kile nyumbani tulikuwa tuna ng’ombe, niliiba maziwa kila siku na kumpelekea nyumbani kwao, nilimpend sana, penzi letu likawa huru alipoanza maisha yake mwenyewe. Sikuwa najua lolote kuhusu mapenzi, alinifundisha yeye, nikatengeneza maisha yangu yote kwake, akanifanya nikawa mtumwa wa ngono kila nikienda ghetto kwake. Kama haikutosha sasa akaanza kunifundisha kunywa pombe, niliamini…

Read More

Mpenzi wangu kapewa ujauzito na mtu mwingine, bado nampenda sana! Jina langu ni Abeli, nakumbuka nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nilimpenda sana, nilimgharamikia kila kitu kwa lengo la kuja kumuoa hapo baadaye lakini akaja kunisaliti na mtu mwingine na kuniacha bila huruma, kamwe siwezi kusahau. Mpenzi wangu huyu, nakumbuka katika mahusiano yetu tulikuwa tunapigiana simu sana usiku na kuzungumza mipango yetu ya maisha na ndoa yetu itakavyokuwa. Hata hiyo, baada ya muda kila ambapo nilipokuwa napiga simu yake ilikuwa inatumika na muda mwingine alikuwa hapokei kabisa, hata hata baadaye alikuwa hanitafuti. Kila nilipomuuliza alikuwa anajibu kuwa ametingwa na kazi nyingi,…

Read More

By A24 Tv Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Iringa Ritta Kabati amependekeza kutolewa uume kwa wanaume wanaotiwa hatiani kwa kisa la ubakaji ili kudhibiti vitendo hivyo baada ya hivi karibuni kuibuka na kukithiri Kwa vitendo hivyo nchini. Kabati amependekeza hilo bungeni jijini Dodoma wakati akiuliza swali la nyongeza Kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi “hili tatizo limekuwa kubwa sana hapa nchini, mi naona je! Kuna uwezekano labda watolewe uume maana yake imekuwa ndio tatizo kubwa sana” Akijibu swali hilo kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Jumanne Sagini amekiri…

Read More

Shemeji kanisingizia nilimbaka ili niachane na mke wangu! Kamwe siwezi kusahau miaka kama sita iliyopita ambapo shemeji yangu alinifungulia kesi mahakamni kuwa nilitaka kumbaka jambo ambalo sio la kweli na wala sijawahi hata kuwa nazo hilo. Basi nilikamatwa na kufikishwa mahakamani, nilisomea mashtaka ambayo yote niliyakana na kupelekwa rumande, baadaye nilikuja kupata dhamana na kuachia jambo ambalo lilinipa tumaini ya kushinda kesi hiyo ngumu kuwahi kutokea. Lakini naye mke wangu waliamua kuondoka nyumbani na kuniambia mimi ni mtu ambaye siridhiki kwa sababu nimetaka kutembea hadi na dada yake, kauli hiyo ilinitoa machozi kutokana sikufanya kitendo hicho. Siku hiyo nilimuomba sana…

Read More

Aliyetaka kunitapeli shamba langu apata ajali mbaya sana! Kuwa na makazi mazuri ni sehemu ya mambo matatu ya muhimu (basic needs) kwa binadamu yeyote ukiachilia mbali chakula na mavazi, hivyo katika kutafuta kwangu maisha, nilijitahidi sana niweze kujenga nyumba. Hiyo ni kwa sababu wazazi wangu wenyewe hawakuwahi kuwa na nyumba yao hadi tunazaliwa na kuwa watu wazima, nao walitulea kwenye nyumba hizo za kupanga toka tunazaliwa hadi tukawa watu wazima na kuanza kujitemea na kufanya maisha yetu. Siku zote ndoto yangu ilikuwa ninunue shamba halafu nijenge nyumba ili wazazi wangu waje kuishi hapo na baadaye nijenge hapo pembeni nyumba yangu…

Read More

 Kwanini baadhi ya wanaume hawataki kuoa mwanamke mwenye mtoto? Jina langu ni Zamaradi, wanaume wengi wamekuwa wakitamani kuwa na mimi na hata kunioa lakini kila ambapo nilikuwa nawaambia kuwa nina mtoto waliacha mara moja kunifuatilia na wengine kukatisha kabisa mawasiliano.  Nikiwa shule ya msingi nilibeba ujauzito wa mwanfunzi mwenzangu na kujifungulia mtoto nyumbani kwetu na amekuwa akilelewa na hapo hadi sasa ingawa amekuwa mkubwa na kuanza shule ya msingi.  Siku zote nimekuwa nikijishughulisha na biashara mbalimbali na kuweza kuendesha maisha yangu bila kumtengemea mtu yeyote na kumuhudumia mtoto wangu wangu ambaye nampenda sana.  Unajua mwanamke akizalia kwao ni ngumu sana…

Read More

Jinsi ukahaba ilivyonipa Kisonono! Jina langu ni Mom, kutokana na ugumu wa maisha nilijikuta nimeingia kwenye biashara ya ukahaba bila mimi mwenye kupenda, nilifanya kazi ile kishingo upande, ni vile tu sikuwa na jinsi ya kuweza kuendesha maisha. Nilikumbana na changamoto nyingi, moja wapo ambayo ni kubwa zaidi ni kukamatwa na Polisi na kufikishwa kituoni, kama ukiwa siku hiyo umepata fedha kidogo inabidi kuwagawia kidogo. Ila changamoto nyingine ni kwamba wateja wengi hawakutaka kutumia kinga (kondomu) au mwingine anaivaa kabisa halafu katikati ya safari anaipasua kwa makusudi. Hali hiyo lilikuwa likinikera kwani maradhi ni mengi, nilivumilia hilo kutokana sikuwa na…

Read More