Baraza la Maaskofu Katoliki nchini (TEC), limepiga marufuku viongozi wa serikali/kisiasa kuitwa mbele ya madhabahu/altare kuongea, kutoa hotuba, kusalimia au kusema chochot
Author: Geofrey Stephen
Na Geofrey Stephen . Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amevunja rasmi mabaraza ya Madiwani hapa nchini na kuwashukuru madiwani kwa kufanya kazi iliyotukuka na kusema kuwa kazi yao imeandikwa kwenye kitabu cha dhahabu. Aidha waziri Mchengerwa ameamuru madiwani kote nchini waliopatiwa vitendea kazi vya serikali ikiwemo vishkwambi kubaki navyo na hawatapaswa kuvikabidhi kwenye halmashauri Zao. GS “Maelekezo yangu kwa katibu mkuu wa TAMISEMI vifaa hivyo walivyokuwa wakivitumiabmadiwani kama vitendea kazi wabaki navyo kwa sababu humo ndani wameweka mambo yao na sio sehemu ya mali za halmashauri” Mchengerwa ametoa kauli hiyonleo juni 20,2025 wakati akiongea kwa njia ya simu na…
Karibu Arusha24tv kutazama kilicho Andikwa katika magazeti ya leo juma tano ya jun 11 mwaka 2025 mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Juma nne ya Jun 10 Mwaka 2025 karibu Arush 24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv.Com Mwisho.t
Karibu Arusha24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo Jun 9 Mwaka 2025 ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho .
Na Mwandishi wetu Arusha. Kampuni ya Bima Zanzibar (ZIC) imewataka wageni wanaotembelea katika kisiwa hicho kuhakikisha wanakata bima ya usafiri kwa ajili ya kujiwekea ulinzi kwa dharura yoyote inayoweza kujitokeza katika utalii wao. ZIC imeyasema hayo ndani ya viwanja vya Kisongo vilivyoko Mkoani Arusha kwenye maonyesho makubwa ya kimataifa ya Karibu-Kili Fair yaliyoanza june 6-8, 2025. Maonyesha hayo ya Afrika Mashariki yamekutanisha waonyeshaji, mawakala na wawekezaji wa utalii zaidi ya 500 kutoka nchi 40 duniani. Meneja masoko kutoka shirika la bima la Zanzibar(ZIC), Mohammad Said Matumula amesema kuwa wameshiriki katika maonyesho hayo ili kutoa elimu kwa wadau wa utalii juu…
Na Mwandishi wa A23rv Hayo yamesemwa June 7 ,2025 Sikukuu ya Eid El-Adhhaa, na Sheikh wa mkoa huo Shaabani Mlewa iliyofanyika kimkoa katika msikiti wa Shafii Bomang’ombe Wilayani , ambapo mamia ya waumini wamehudhuria. Akizungumza mara baada ya swala hiyo, amewataka waumini wa Dini hiyo pamoja na Wananchi kudumisha amani, upendo na utulivu kwani ndiyo msingi muhimu wa maendeleao “Ni kweli penye upendo kuna amani kuna mshikamano,hivyo Wananchi kwa ujumla,tunahitaji kuendelea kupenda bila kujali Dini wala kabila , hasa kipindi hiki kuelekea uchanguzi mkuu “amesema Mlewa. Mlewa amesema katika kuendelea kudumisha amani ndiyo maana Sheikh Mkuu wa Tanzania Abubakar Zuber…
Jumamosi ya leo Jun 7 Mwaka 2025 karibu kutaza kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzana mbele na nyuma Hiini A24tv. Mwisho .
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko, leo tarehe 6 Juni 2025 amefungua rasmi maonesho ya Karibu Kili-Fair yanayofanyika katika viwanja vya Magereza – Kisongo, jijini Arusha. Katika hotuba yake ya ufunguzi, Dkt. Biteko amesema sekta ya utalii ni mhimili muhimu wa uchumi wa taifa kwani inachangia asilimia 7.9 ya pato la taifa na pia ni njia madhubuti ya kuitangaza Tanzania kimataifa. Amesema kuwa Serikali inaendelea kutekeleza programu mbalimbali kama Royal Tour zinazolenga kuimarisha na kutangaza sekta ya utalii duniani kote kutokana na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya kiuchumi huku akiipongeza Wizara ya Maliasili…
Karubu Arusha24tv leo Jun 3 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbee na nyuma Hiii ni A24tv . Mwisho .