Na Bahati Hai Mganga mkuu wa Hospital Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, Itikija Msuya metoa shukurani kwa Rais Samia Suluhuu Hassani kwa kuwapatia fedha sh,900 milioni kwa ajili ya uboreshaji wa miundombinu ya Hospital Hayo yamo kwenye taarifa ya Mganga huyo wakati akisoma taarifa yake wakati wa mbio za Mwenge ulipo tembelea Hospital Akisoma taarifa hiyo June 4,2025, amesema Hospital katika mwaka wa fedha 2022/2023,ilipokea kutoka Serikali kuu fedha kiasi cha sh,900.miloni kwa ajili ya Utelezaji wa miradi mbalibali ili kuboresha huduma za Afya Ametaja miradi hiyo ni pamoja ujenzi wa jengo la la maabara, ujenzi wa jengo la famasia, ujenzi…
Author: Geofrey Stephen
Juma Mosi ya leo Tarehe 5 Mwezi July 2025 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho .
Na MwandishinA24tv . Katika kilele cha Maadhimisho ya Miaka 10 ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Mgeni Rasmi Mheshimiwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, akiambatana na Waziri wa Nchi – Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Mhe. Ridhiwani Kikwete, waliongoza zoezi la utoaji wa tuzo kwa waajiri na wadau waliotoa mchango mkubwa katika safari ya WCF. Tukio hili ni ushuhuda wa mshikamano baina ya serikali, sekta binafsi na jamii katika kuhakikisha haki na ustawi wa mfanyakazi wa Kitanzania Kampuni ya A-Z Goup LTD ya Jijini Arusha imeibuka kidedea mara baada ya kupata tuzo mbili nzito…
Na Bahati Siha . Kiongozi wa wakimbiza Mwenge kitaifa Ismaili,Ussi ,ametoa pongenzi kwa Baraza la Madiwani halmshauri ya Siha mkoani Kilimanjaro lilomaliza muda wake pamoja na Mkurungenzi Mtendaji wa halmshauri hiyo Haji Mnas, kwa usimamizi mzuri wa ujenzi wa miradi ya maendeleao na thamani ya fedha kuonekana Haya yamejiri wakati wa mbio za Mwenge katika Kijijii cha lawate, ambapo kuliwekwa jiwe la msingi ujenzi wa Kituo cha Afya Lawate Wilayani humo Akizungumza mara baada ya kukagua na kuona maendeleao ya ujenzi wa kituo hicho, amesema ameonyesha kurizishwa na usimamizi wa miradi hiyo. “Kweli niwapongeze Viongozi wote pamoja na kamati…
Na Richard Mrusha DAR ES SALAAM: “TEKNOLOJIA iko juu sasa hivi, yale mambo ya kuchukua tindo na kuanza kugonga tunaachana nayo. Sasa hivi tunatumia kompyuta kubuni bidhaa unayohitaji,”. Mwalimu wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) mkoani Shinyanga, Omar Mabula amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa Habari hii katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea mkoani Dar es Salaam. Akiwa katika banda la VETA akionesha bidhaa zilizobuniwa kwa kutumia teknolojia, amesema baada ya kubuni kile unachokitaka unaweka kwenye mashine kisha inatoa bidhaa ile ile iliyobuniwa kwa kutumia kompyuta. Amesema yeye ni mwalimu wa mashine inayotumia kompyuta katika kufanya kazi yake. “Ninafanya kazi mbalimbali…
Juma tano ya leo jul 2 karibu kutazama kilicho andikwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv.com Mwisho .
Zikiwa zimebaki masaa machache kufungwa kwa zoezi la uchukuaji fomu julai 2 mwaka 2025 kada maarufu wa chama chamapinduzi Ccm Methiew peter kabaa ametangaza kuwania udiwani katika kata ya kiutu huku akieleza kwamba nia ni kuleta maendeleo kwa wananchi pamoja na kuwaunganisha katika swala zima la kujituma katika uwekezaji na vijana kujiajiri .
Msomi na mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaa (UDSM) ajitosa kuwania ubunge viti maalum elimu ya juu Mary Jimmy Malle msomi na mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam mapema leo July 1 amechukua fomu ya kuwania ubunge viti maalum elimu ya juu kupitia chama cha Mapinduzi CCM katika ofisi za chama hicho jijini Arusha. Mwisho .
Na Mwandishi wa A24tv. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Daniel Mushi, leo tarehe 1 Julai 2025, amekutana na uongozi mpya wa Wamiliki wa Shule na Vyuo Binafsi Tanzania (TAMONGSCO), katika ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma. Uongozi huo umefika kujitambulisha rasmi baada ya kuchaguliwa upya, na pia kuonesha dhamira ya kushirikiana na Serikali katika kuboresha sekta ya elimu nchini. Akizungumza katika kikao hicho, Prof. Mushi amesisitiza kuwa Serikali inaweka mkazo katika ushirikiano na wadau mbalimbali wa elimu, ili kuhakikisha utekelezaji wa mageuzi ya elimu unaleta matokeo chanya ili kuwawezesha vijana kupata maarifa, stadi na…
Na Mwandishi wa A24tv Siha . Siha,Mbunge wa Jimbo la Siha mkoa Kilimanjaro ,ambaye pia Naibu wazir wa Afya Godwin Mollel amechukua fomu kuwania tena ubunge hilo. Akikabidhiwa fomu hiyo na na Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Siha Andrew Gwaje ,Mbunge huyo amesema kuwa anadhamira ya dhati ya kuendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo lake ili kuweza kuendeleza mipango mizuri ya kuwaletea maendeleo. Mollel amesema amechukua tena fomu ili aweze kuendeleza pale alipoishia ,kwani mengi ameyafanya kwa jimbo hilo napia anahitaji kumalizia ambazo bado hazijamalizika. “Ni kweli leo nimechukua fomu na nimeelezea yale yote yaliyofanywa na Rais Samia Suluhuu…