Na Richard Mrusha Morning Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amepiga marufuku raia wa kigeni kuingia na kufanya shughuli kwenye leseni za uchimbaji mdogo; hii ni kufuatia changamoto zilizobainika katika uingiaji mikataba ya utoaji wa misaada ya kiufundi kati ya wamiliki wa leseni ndogo za uchimbaji madini na raia wa kigeni. Amesema hayo leo Februari 17, 2025 wakati akifungua Kikao Kazi cha kupokea maoni kutoka kwa wadau kuhusu mapendekezo ya kuandaa Rasimu ya Kanuni za Madini za Utoaji Msaada wa Kiufundi kwa Wamiliki wa Leseni Ndogo za Uchimbaji Madini za Mwaka 2025 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Edema Hoteli…
Author: Geofrey Stephen
Juma Tatu ya leo tarehe 17 mwaka 2025 karibu Arusha24tv kutazama kikicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . C m Mwisho .
Na Geofrey Stephen Arusha . Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, ameongoza wananchi na viongozi mbalimbali wa Mkoa huo katika kampeni maalum ya usafi wa mazingira na upandaji miti Kata ya Ambureni, Halmashauri ya Meru. Tukio ambalo limefanyika leo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa. Katika kampeni hiyo, Mhe. Makonda amesisitiza umuhimu wa kutunza mazingira kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho huku akiwataka wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za usafi na kuhakikisha wanapanda miti kwa wingi ili kusaidia kuhifadhi vyanzo vya maji na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi. “Leo nina…
Siha, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro Paschal mboto, amesema athiri iliyokuwepo katika hospital hiyo ni Watumishi 6 walioajiriwa kutoa hudumia kwa watu wenye vvu mishahara yao ilisitishwa baada ya tangazo la Trump Kauli hiyo imekuja baada ya Mwenyekiti wa halmshauri hiyo Dancan Urasa kutaka kufahamu baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kusitishwa kutoa misaada katika maeneo ya afya kuna athari yeyote imejitikeza katika Wilaya yetu Mganga Mkuu huyo Akizungumza February 14 2025,kwenye Baraza la madiwani halmshauri hiyo, amesema athari iliyopo ya watumishi 6 mikataba kusitishwa na kukosa mishahara,wale ambao walikuwa wanalipwa na shirika la (USAID)la kimarekani…
Juma Mosi ya leo tarehe 15 Mwezi wa Pili Mwaka 2025 karibu kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho .
Na Mwandishi wa A24tv . Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi wametakiwa kusimamia kikamilifu suala la lishe katika maeneo yao ili kuwa na Taifa lenye watu wenye afya bora pamoja na utimamu wa akili. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Karatu Dadi Kolimba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda katika kikao cha tathmini ya lishe Mkoa wa Arusha. Kolimba amesema kuwa agenda ya Mheshiwa Rais ni kuhakikisha kila mtanzania anakuwa na afya njema ili kuweza kusaidia kuwa na Taifa lenye watu waliosalama kiafya . “Mheshiwa Rais ameingia mkataba na wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya…
Na Geofrey Stephen Arusha WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya umishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ,ameitaka Mamlaka ya Serikali Mtandao e-GA kuendelea kufanya tafiti li kuleta bunifu kwa mifumo ya Tehama katika kuboresha utendaji kazi na kusaidia kuondoa kero ya upatika naji wa huduma mbalimbali za serikali kwa wananchi. Waziri ameyasema hayo leo februali 13,2025 wakati wa kufunga Kikao Kazi cha 5 cha Serikali Mtandao e-ga kilichofanyika kwa muda wa siku tatu katika ukumbi wa AICC jijini Arusha na kuhudhuriwa na wadau takribani 1500 wakiwemo Maafisa Masuuli, Wakurugenzi na Wakuu wa Vitengo vya TEHAMA, Maafisa…
Siha, Wananchi Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wameomba kampeni ya mama Samia ya msaada wa kisheria kuongoza muda ndani ya Wilaya hiyo na kuendelea kutoa huduma hiyo kwani changamoto za Wananchi ni endelevu ikiwamo migogoro ya aridhi, ndoa na mirathi Hatua hiyo imekuwa baada ya muda walipewa wasaidizi hao kutoa huduma kufikia mwisho February 8 2025 uku Wananchi wakionekana bado wanauhitaji. Wakizungumza na waandishi wa habari kwa nyakati tofauti , wamemuomba wasaidizi hao waweke kambi ya kudumu kwani changamoto kila siku zinajitokeza “Ni kweli kila siku matatizo ya Wananchi kila siku yanajitokeza hivyo wasaidizi hao walitupa mwanga wa sehemu ya kuanzia…
Na Geofrey Stephen Arusha . Bilioni 5.4 zimetumika kuboresha huduma za afya katika hospital ya Mkoa wa Arusha Mount Meru katika kununua vifaa mbali mbali vya matumizi ya kufanyia wagonjwa sit scan pamoja na mashine za kufanyia operesheni kwa njia ya kisasa . Fedha hizo ambazo zimetolewa na wadau wa maendeleo katika mkoa wa Arusha zimelenga kuboresha sekta ya Afya na kupunguza makali ya ya garama za matibabu kwa wananchi wa hali ya nchini wasio jiweza . Katika hatua nyingine Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru inatarajia Kuzindua Huduma mpya za afya kwa wananchi wake ikiwa ni…
Karibu Arusha24tv leo February 13 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzana mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho.