Author: Geofrey Stephen

Na Doreen Aloyce, Dodoma Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limesema Serikali imetenga kiasi cha fedha shiling bilioni 83.1 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya ujenzi wa Bandari katika bahari kuu na maziwa makuu hapa nchini kwa mwaka wa fedha 2023/2024. Pia limesema limejipanga kununua boti tatu za uokozi katika Ziwa Victoria ambazo zitakwenda kusaidia kutatua changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza pindi ajali zinapotokea. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika Hilo, Kaimu Abdi Mkeyenge wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya TASAC na mwelekeo wake katika mwaka wa fedha 2023/2024 katika ukumbi wa Idara ya Habari…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Waziri wa Viwanda na Bashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amesema Serikali itaenda hatua kwa hatua kuhakikisha changamoto wanazopata wenye viwanda zinatatuliwa na kushughulikiwa kwa wakati. Dkt. Kijaji amesema hayo Julai 26,2023 alipotembelea Kiwanda cha Mbolea ITRACOM kilichopo Nala Jijini, Dodoma kujionea uzalishaji wa mbolea katika kiwanda hicho. Aidha Amekipongeza Kiwanda hicho kwa utengenezaji wa mbolea usiokua na mchanganyiko wa asilimia 100 ya madini, bali asilimia 50 ni samadi na asilimia 50 ni madini ambao unaleta uhai wa ardhi kwa uasili na ubora wake. Amesema baada ya kukamilika kwa ujenzi wa Kiwanda hicho kwa awamu ya…

Read More

Na Dorin Aloyce Dodoma . Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Dkt Ashatu Kijaji amesema katika mwaka wa Fedha ulianza mwezi Julai 2023 bidhaa mbalimbali zimeshuka bei ukilinganisha na mwezi julai mwaka 2022. Akisoma taarifa mbele ya waandishi wa Habari jijini Dodoma juu ya mwenendo wa Bei za Mazao na Bidhaa za Vyakula kuanzia mwezi Julai 2023 amesema ni kutokana na juhudi za Serikali kuhakikisha wananchi wake wahawaumii. Kuwa mwenendo wa bei za mazao na bidhaa za vyakula hususani mahindi kwa mwezi julai 2023 ni kati ya Shilingi 665 na 1,500 ambapo imeshuka kwa asilimia 3.2 ikilinganishwa na bei ya…

Read More

Na Geofrey Stephen ,Monduli Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Professa Aldof Mkenda amesema kuwa serikali inajali ulinzi na usalama wa mtoto wa kike sehemu ya kazi na ndio maana inasisitiza muhimu wa elimu kwa jinsi hiyo. Waziri Mkenda ameyasema hayo Wilayani Monduli Mkoani Arusha katika  Chuo Cha Maendeleo-Mto wa Mbu{FDC} wakati akizindua mwongozo na Mafunzo ya Ulinzi na Usalama wa Mwanamke na Vijana katika kupiga vita unyanyasaji kijinsia na kingono. Alisema serikali inajali na kutamnua  ulinzi na usalama wa mtoto wa kike na kiume katika mafunzo ya taasisi mbalimbali Nchini ya ufundi stadi na ndio maana inaingia gharama kubwa kutafuta wataalamu…

Read More