Author: Geofrey Stephen

Na John Walter-Manyara Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Manyara Yustina Rahhi amewakumbusha wanawake na wanaume kujiweka karibu na malezi ya watoto ili Kupambana na Ukatiili kwa watoto kutokana na kukithiri kwa vitendo vya ubakaji na ulawiti maeneo mbalimbali nchini. Rahhi ameyasema hayo wakati akiwa kata ya Endamilay kwenye ziara ya kamati ya utekelezaji ya Jumuiya ya Wanawake wa chama cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Mbulu, katika yenye lengo la kuimarisha chama cha hicho na jumuiya hiyo pamoja na kutoa elimu kwa jamii katika mapambano dhidi ya Ukatili wa Kijinsia na watoto. Rahhi amesema iwapo Wadau wote wataungana na Serikali…

Read More

By Correspondent A Dar es Salaam-based catering and hospitality firm, FOODEX yesterday unveiled its new national plan to improve services delivery in the country’s hospitality industry. “We want to transform catering and hospitality industry services in this country and provide high quality and standard services to domestic and international customers,” said FOODEX Chief Executive Officer, Safa Erzurumlugil during a press briefing on the company’s new strategy in Dar es Salaam. The company’s plan intends to complement the sixth government initiatives to improve catering and the hospitality industry, which is a key to ongoing national economic and business growth and development…

Read More

Na Geofrey Stephen Monduli Wakulima na wafugaji zaidi ya 120 kutoka Kijiji cha Lolkisale Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha wamemwomba Rais Dkt Samia Suluhu Hassani kuwasaidia kulipwa fidia baada ya mashamba yao ekari 47,000 mwaka 2003 serikali kubadilisha matumizi ya kilimo na ufugaji Jeshini. Akizungumza na waandishi wa Habari jana Jijini Arusha ,Katibu wa wakulima hao aliyejitambulisha kwa jina la Joseph Ngaluko alisema kuwa wana hati ya ardhi ya umiliki wa mashamba hayo iliyotolewa mwaka 1990 na Halmashauri ya wilaya ya Monduli na wana nyaraka za nakala za barua zinazoonyesha wanapaswa kulipwa fidia baada ya serikali kubadilisha matumizi ya ardhi…

Read More

Na Geofrey Stephen Handeni Afisa Mfawidhi wa Madini Mkoa wa Tanga,Zabibu Napacho amesitisha shughuli za Uchimbaji katika mgodi wa Dhahabu ulipo katika kijiji cha Kwandege Kata ya Lang’ata Wilayani Handeni Mkoani Tanga unaomilikiwa na Godfrey Bitesigirwe  kutokana na mgogoro uliopo  baina ya mmiliki wa mgodi huo na wenye maduara na kwani kunaweza kuhatarisha Usalama na Amani katika eneo husika. Napacho alisitisha shughuli za uchimbaji juni 6 mwaka huu katika mgodi wa dhahabu wenye lesseni ya uchimbaji mdogo na uchenjuaji madini –PML 0330-0337TNG-Kwandege na kusema kuwa agizo hilo ni maagizo ya Mkuu wa Wilaya ya Handeni ,Albert Msando. Kamati ya ulinzi  na usalama…

Read More

Na *Mwl.Mohamed Mwampogwa* -LUSHOTO TANGA_ ____________________________________ _Yapo baadhi ya mambo huonekana niya kawaida unapo yasikia au kuyaona yametendeka mahala fulani lakini katika uhalisia kwa wahusika waliofanya matukio hayo na Jamii yao hubaki kama jambo lenye maajabu na kugusa Historia ya maisha yao._ _Hili limetokea katika Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Wilayani Lushoto kwa kuweka historia kwani Baba Askofu mkuu Dr.Mbilu wa kkkt dayosisi ya kazkazini Mashariki ashiriki mbio za Mwenge wa Uhuru 2023._ _”Haikuwahi kutokea kuona Kiongozi kama huyu Dk.Mbilu kuweza kushiriki kukimbiza Mwenge,iliamsha hisia za Upendo,mwenyewe nilihisi Roho wa Mungu wetu yupo pamoja nasi,tunawashukuru Viongozi wetu wa Chama…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv lushoto Tanga . _Masista wa Mazinde Juu Wilayani Lushoto Mkoani Tanga wamestaajabu kuushika mwenge wa Uhuru ulipofikishwa katika maeneo yao._ _”Kwakweli haijawahi kutokea heshima kama hii kuushika huu Mwenge wa Uhuru,Mungu ambariki Mkuu wa Wilaya yetu Mhe.Kalisti Lazaro kwa Upendo huu,Mungu ambariki Mama yetu Dk.Samia” alisikika Sista mmoja akisema._ _Mwenge wa Uhuru umemaliza mbio zake leo tarehe 16.06.2023 ambapo umezunguuka katika Halmashauri mbili za Wilaya ya Lushoto na Majimbo matatu hata hivyo miradi yote imepita vyema na kuwekewa mawe ya Msingi._ _Wananchi wa Walaya ya Lushoto wamewapongeza sana Viongozi wa Chama na Serikali,Waheshimiwa Wabunge na Watumishi…

Read More

Na Geofrey Stephen , Handeni Miradi 8 yenye gharama ya Zaidi ya shilingi Bilioni 1.2 itazinduliwa na kuwekwa jiwe na Msingi katika Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga na Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa. Hayo yalisemwa na Kaimu Mkuu wa Wilaya hiyo Kalisti Lazaro alipokabidhiwa Mwenge wa Uhuru Kitaifa na Mkuu wa Wilaya Korogwe Joketi Mwenegoha ulipomaliza kukimbiwa katika Halmashauri ya Korogwe Vijijini. Lazaro alisema kuwa Mwenge wa Uhuru Kitaifa ukiwa katika Wilaya ya Handeni utakimbizwa umbali wa km 187.3 katika Kata 8 za Wilaya hiyo ikiwa ni pamoja na kufungua mradi mmoja,miradi miwili itatembelewa na kuonwa na miradi Murano…

Read More