Author: Geofrey Stephen

Mpenzi wangu kapewa ujauzito na mtu mwingine, bado nampenda sana! Jina langu ni Abeli, nakumbuka nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nilimpenda sana, nilimgharamikia kila kitu kwa lengo la kuja kumuoa hapo baadaye lakini akaja kunisaliti na mtu mwingine na kuniacha bila huruma, kamwe siwezi kusahau. Mpenzi wangu huyu, nakumbuka katika mahusiano yetu tulikuwa tunapigiana simu sana usiku na kuzungumza mipango yetu ya maisha na ndoa yetu itakavyokuwa. Hata hiyo, baada ya muda kila ambapo nilipokuwa napiga simu yake ilikuwa inatumika na muda mwingine alikuwa hapokei kabisa, hata hata baadaye alikuwa hanitafuti. Kila nilipomuuliza alikuwa anajibu kuwa ametingwa na kazi nyingi,…

Read More

Na Richard Mrusha WAKALA wa Uhifadhi wa Chakula Nchini (NFRA) ,umeanza kutumia mfumo wa kidijitali katika kupima mazao ya Nafaka ili kuleta tija kwa wakulima. AFISA Mtendaji Mkuu wa NFRI Dkt.Andrew Komba ameyasema hayo katika maonesho ya wakulima na wafugaji Wavuvi viwanja vya Nane nane Nzuguni jijini Dodoma yaliyoanza Agosti Mosi na kufikia kilele chake Agosti 8 mwaka huu. Amesema mizani hiyo inaonesha namna ambavyo mkulima atapata faida na uhakika wa mazao anayouza NFRA. “Wakulima wameipokea mizani hii vizuri wakiamini kwamba inawawezesha kupata kiwango sahihi wanachotuuzia na sisi kwetu inatupa kumbukumbu’ sahihi kwa sababu inaingiza taarifa katika mfumo ambao unatumika…

Read More

Na Grofrey Stephen Arusha . Kampuni bora ya Mawasiliano nchini Tigo  imezindua kampeni ya hakuna matata kanda ya  kaskazini ikiwa na lengo kubwa kwa matumizi ya watalii wanaofika kutembelea mbuga mbali mbali. Mapema leo jijini Arusha Akizindua kampeni hiyo Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini  Henry Kinabo amesema wanashukuru kwa  hatua nyingine kubwa na muhimu katika safari yao ya  kuboresha huduma za mawasiliano na teknolojia kwa ajili ya sekta mbali mbali hapa nchini ikiwemo sekta ya utali. Mkutugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini Henry Kinabo Akiongea na Vyombo vya Habari juu ya kampeni hiyo Amesema Tunajivunia kuwa mbele ya vyombo…

Read More

Na Bahati Siha, Wakulima wa mshamba ya Leon,Pongo na lairongo Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,wataanza kupewa elimu ya namna ya kukabiliana na Wanyama wanaoharibu mazao yao. Haya yamesemwa na Afisa maliasili Wilayani humo wakati wa Baraza la madiwani lililofanyoka katika ukumbi wa halmshauri hiyo ,ambapo Diwani wa kata ya Sanya juu Juma Jani alitaka kufahamu hatima ya wakulima baada ya mazao yao kuharibiwa Wanyama wakiwamo Tembo hasa kwenye mashamba ya Pongo na Leoni. Diwani huyo Akizungumza kwenye Baraza hilo,ametaka kufahamu hatua zinafanyika kumsaidia wakulima ambao mazao yao yameharibiwa na Wanyama yakiwamo mahindi , maharage na alizeti Jani amesema unakuta ya mwaka…

Read More

Na Bahati Siha ,Mwenyekiti wa halmshauri ya Siha mkoani Kilimanjaro Dancan Urasa amehudhunishwa na ukataji miti hovyo Wilayani humo jambo ambalo linakwenda kinyume na juhudi za Rais Samia Suluhuu Hassani la utunzaji wa mazingira Hivyo kumtaka Mkurungenzi mtendaji wa halmshauri Haji Mnasi kuwaagiza watendaji wa vijiji na kata wasimamie Sheria katika Maeneo yao ili mazingira yabaki salama. Akizungumza katika kikao cha kawaida cha Baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Halmshauri,amewataka Mkurungenzi kutoa maagizo kwa watendaji hao kusimamia zoezi hilo ili kunusuru Siha kuwa jangwa “Ni kweli nimetoa nimeagiza kupitia Kwa Mkurungenzi mtendaji wa halmshauri hii,kuwaagiza watendaji wa vijiji na…

Read More

Na Bahati .Hai Halmshauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro,imepewa kongole kwa matumizi ya mazuri ya fedha zilizotolewa na Serikali katika ujenzi wa Miradi mbali mbali ya maendeleao ikiwamo vyumba vya madarasa ,vituo vya Afya pamoja na barabara Haya yamesemwa na Gasp Ijiko kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa katika Baraza maalumu Kwa ajili ya kupitia shughuli zote za halmshauri katika kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024, Akizungumza katika Baraza hilo liliofanyika katika ukumbi wa halmshauri hiyo, amesema halmshauri hiyo ni miongoni mwa halmshauri zilifanya vizuri kwenye ujenzi wa miradi “Ni kweli mfano eneo la Elimu Msingi eneo la Sekondari…

Read More

Juma Tano ya tarehe 8 Mwezi wa 8 2024 . Na Geofrey Stephen Arusha Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe.Queen Sendiga akizungumza wakati wa kufunga Maonesho ya NaneNane na sherehe za wakulima mwaka 2024 kwenye viwanja vya Nanenane Themi -Njiro mkoa wa Arusha mapema leo Agosti 08,2024. Kauli Mbiu: ” Chagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi” Katika Maonesho hayo Chuo Cha Uhasibu Arusha IAA imeibuka kidedea mara baada ya kupata  kombe wakiwa washindi wa Pili katika  kundi la Taasisi za Elimu na Mafunzo katika Maonesho ya NaneNane Kanda ya Kaskazini yaliyofungwa…

Read More