Author: Geofrey Stephen

Na Doreen Aloyce ,Dodoma KATIBU MKUU Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amepongeza maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Mashujaa unaojengwa katika Mji wa Serikali, Mtumba Jijini Dodoma. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi (kulia) akiwa na Mratibu wa Kamati ya zoezi la Serikali kuhamia Dodoma Bw. Meshack Bandawe wakikagua Eneo la mradi wa Ujenzi wa Mnara wa Mashujaa Mtumba Dodoma. Dkt. Yonazi ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea na kukagua ujenzi huo ambapo ameeleza kwamba unaendelea vizuri na unatarajiwa kukamilika mapema kabla…

Read More

John Walter -Arusha. Benki ya NCBA imetoa msaada wa vifaa tiba katika kituo cha Afya cha Kitumbeine kilichopo Wilayani Longido Mkoani Arusha kwa lengo la kuwasaidia wakinamama wajawazito wasioweza kujifungua kwa njia ya kawaida kufanyiwa upasuaji ili kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto ambao walikua wakitembea umbali mrefu kufuata huduma za upasuaji katika hospitali ya Wilaya. Akikabidhi Msaada huo Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NCBA Claver  Serumaga amesema kuwa benki hiyo imejizatiti katika kusaidia jamii inayowazunguka  na katika kipindi wameamua  kutoa msaada huo katika katika kituo cha Afya cha Kitumbeine kinachohudumia Zaidi ya watu 40,000. Mkurugenzi huyo amesema kuwa wametoa…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv ,Mirerani Rufaa ya kupinga maamuzi ya Kamati juu ya mgogoro wa uchimbaji kati ya mgodi wa Kampuni ya Gem & Rock Venture uliopo kitalu B na kampuni ya Franone inayomiliki mgodi wa kitalu C na serikali iliyopo Mirerani  iliyokatwa na Gem & Rock Venture kwa Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali imetupiliwa mbali ya kampuni hiyo imeamuriwa kufuata maamuzi na masharti ya kamati yaliyotolewa march 28 mwaka huu na sio vinginevyo. Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali. Kwa mujibu wa taarifa ya awali ya Afisa Mfawidhi wa Madini Mirerani ,Mernad Msengi ilisema kuwa Machi…

Read More

Na John Walter-Manyara Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) imewataka wanafunzi wanaohitimu vyuo vya ufundi katika fani ya umeme kuwa na leseni inayowatambua kulingana na viwango vyao. Hayo yamesemwa leo Juni 5, 2023 na Meneja wa Ewura Kanda ya Kaskazini, Mhandisi Lorivii Long’idu wakati akizungumza na wanafunzi wa masomo ya umeme katika Chuo cha Ufundi Veta Manyara kilichopo mjini Babati, wakati wa utoaji elimu maalum kwa wanafunzi hao juu ya umuhimu wa kuwa na leseni. Amesema leseni hizo zina madaraja tofauti na zinatolewa kwa kuzingatia ujuzi, elimu na uzoefu katika kufunga umeme wenye msongo husika. Mhandisi huyo amesema…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha. Wito umetolewa kwa serikali kutengeneza mazingira mazuri ya kuwasaidia vijana wanaomaliza katika vyuo mbalimbali hapa nchini ili waweze kujiajiri ikiwa ni pamoja na kusimamia Sera za vijana zilizopo na kupunguza tatizo la ajira kwa vijana. Akizungumza katika Semina kubwa ya kuwajengea vijana namna ya kugikia nfoto za kua  wajasiriamali kutoka katika vyuo mbalimbali ujulikanao kwajina la UNIVERSITY ENTREPRENEUR SUMMIT uliofanyika jijini Arusha na kuwahusisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali vilivyopo jijini Arusha Mkurugenzi wa Chuo cha Help Self Help kilichopo jijini Arusha . Amani Golugwa amesema serikali ina wajibu wa kusimamia Sera za vijana zilizopo ili kuwasaidia…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv Monduli Katika kukabiliana na Migogoro baina ya wawekezaji na wananchi , Mbunge WA Jimbo la monduli mh Fredrick lowassa amewataka wawekezaji kujenga mahusiano mazuri ya kijirani na wananchi Wa maeneo yanayo wekeza kwa kwa kushirikiana na kuvumilia pale panapotokea kasoro. Ametoa wito huo wakati akizindua mradi wa maji Utakaonufaisha Vitongoji vitatu, Silongoi, Nongai, kilimatinde chini, wenye watu zaidi ya Elfu mbili (2),katika Kijiji Cha kilimatinde kata ya moita wilayani monduli ulio kabidhiwa na mwekezaji wa kampuni ya Arusha art bwana Atesh ambae amewajengea wananchi wa eneo Hilo mradi huo ulio gharimu zaidi ya shilingi ml.30 za…

Read More