Author: Geofrey Stephen

Askofu wa Kanisa la KKKT dayosisi ya kaskazini Kati Ask.Dkt Solomon Masangwa amewataka watumishi wa Mungu  kuendelea kua na mshikamano katika kutangaza kazi ya Mungu na kuonyesha umoja na sio kutengana katika kufikisha injili kwa waumini. Askofu Masangwa ameyasema ayo wakati wa ibada maalum ya kuwaaga watumishi wa Mungu wapatao 34 kutoka Jimbo kuu la Morogoro ibada iliofanyika katika Usharika wa Salei , Levolosi ambapo watumishi hao walifika Mkoani Arusha kwa ziara ya kutangaza injili pamoja na kujenga mausino katika Dayosisi ya Kaskazini kati na sharika zake. kwa muda wa siku tano . Masangwa amesema katika kipindi hiki anaomba kuona…

Read More

WAVIONYA VYUO VITAKAVYO FANYA UDANGANYIFU KATIKA KUDAHILI WANAFUNZI. Na Geofrey Stephen  Arusha. Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) wametangaza rasmi leo Mei 21,2023 kuwa wamefungua dirisha la udahili kwa wanafunzi wanaotaka kujinga na vyuo mbali mbali hapa nchini katika mwaka wa masomo 2023/2024. Akiongea na waandishi wa habari Jijini Arusha Mkurugenzi wa udhibi, ufatiliaji na Tathimini NACTVET Dkt, Jofrey Oleke, amesema kwamba udahili huo wa kozi zote zinazo tolewa na vyuo mbali mbali wamefungua rasmi leo Mei 21,2023 hadi Juni 30, 2023 katika awamu ya kwanza.…

Read More

Na Pamela Mollel,ARUSHA MKAGUZI wa Jeshi la Polisi,Ally Babu amefunga ndoa ya kijeshi na mchumba wake,Selani Sumai na tukio hilo, lilikuwa kivutio kwa watu walioshiriki kutokana na kufanyika kwa matukio mbalimbali ya kijeshi ikiwamo kupigwa kwa gwaride la nguvu wakati wa sherehe hiyo. Ndoa hiyo ya kijeshi ilifungwa mwisho ni mwa wiki jijini Arusha na kuudhuriwa na viongozi waandamizi wa Jeshi hilo na viongozi wa Serikali. “Kwa kweli imekuwa siku muhimu katika maisha yangu kwa kufanya jambo la kipekee ambalo linafungua njia na taswira nyingine kwa sisi wawili,”alisema Babu. Alisema kama ilivyokuwa kwa binadamu wengine Mungu amependa wawili hao kuwa…

Read More

Mkutano wa mkuu wa 28 wa mwaka, wanahisa wa Benki ya CRDB wameidhinisha mapendekezo ya Bodi ya Wakurugenzi ya kulipa gawio la Shilingi 45 kwa kila hisa hivyo kufanya jumla ya gawio kwa mwaka wa fedha 2022 kuwa Shilingi 117.5 bilioni. Akizungumza kwenye mkutano huo uliofanyika katika katika Kituo cha Kimataifa wa Mikutano Arusha (AICC) huku wengine wakifuatilia ajenda zilizojadiliwa kwa njia ya mtandao, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Dkt Ally Laay amesema gawio lililopitishwa ni sawa na ongezeko la 25% likilinganishwa na gawio la Shilingi 36 kwa hisa lililolipwa mwaka jana hali inayodhihirisha kuendelea kuimarika…

Read More

Mwandishi wetu, Babati. Watuhumiwa wa ujangili katika eneo la ikolojia ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire na Manyara sasa wataanza kusakwa kupitia Mfumo maalum wa kidigitali unaotumika katika kukusanya taarifa,zikiwepo picha, kuzihifadhi na kuzituma(SMART) kwa usahihi. Mfumo huo wa kisasa utaanza kutumika mwaka huu, katika eneo la jumuiya ya hifadhi ya wanyamapori Burunge,kupitia mradi wa uhifadhi maliasili unaodhaminiwa na shirika la msaada la kimataifa la Marekani(USAID). Akizungumza wakati akitoa mafunzo jinsi ya utumiaji wa mfumo, huo kwa askari wa wanyamapori wa Burunge WMA, askari wa halmashauri ya Babati na askari wa Mamlaka ya usimamizi wanyamapori(TAWA)Macarios Gisberth alisema mfumo huo utarahisha…

Read More

Na John Walter- Manyara Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ameshuhudia utiaji saini Mkataba wa Ujenzi wa Barabara ya Labay-Hydom (KM 25) kwa kiwango cha Lami uliosainiwa Leo Wilayani Mbulu Mkoani Manyara. Gharama ya mradi huo ni kiasi cha shillingi billion 42,271,419,932.88 ambayo itajengwa na Kampuni ya Jiangxi Geo Engineering Group Limited kwa muda wa miezi 18. Hafla ya utiaji Saini mkataba wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Labay-Haydom km 25 imefanyika Viwanja vya Mahakama ya Haydom Mbulu leo Mei 19,2023 na kushuhudiwa na mamia ya wananchi. Mtendaji mkuu wa TANROADS Tanzania Mhandisi Rogatus Mativila amesema…

Read More