Author: Geofrey Stephen

Na Geofey Stephen Arusha Kamishna wa bima nchini Dkt Baghayo Saqware amekabidhi cheti cha utoaji wa huduma ya bima kwa Benki ya CRDB ikiwa ni benki ya kwanza hapa nchini kupata cheti hicho kama kampuni tanzu kuanzisha huduma hiyo . Akikabithi cheti hicho ,Kamishna Dkt Saqware amesema kuwa, anataka kuona benki hiyo inafanya kazi katika ubunifu wa hali ya juu na kuacha kufanya kazi kwa mazoea ikilinganishwa na Taasisi zingine ambazo zimekuwa zikifanya kazi kwa mazoea. Aidha amesema kuwa, kitendo cha benki hiyo kukidhi vigezo na kukabithiwa cheti hicho ni mfano wa kuigwa na taasisi zingine kwani uwepo wa bima…

Read More

NA MWANDISHI WETU MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imetolea ufafanuzi kuhusu uvumi wa dawa aina ya P-500® (Paracetamol) inayotengenezwa na kiwanda cha Apex Laboratories Private Limited-Tamil Nadu-India kuwa, kiwanda cha dawa hiyo hakitambuliki hapa nchini huku dawa yake hakuna uthibitisho wa kuwepo kwenye soko la Tanzania. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa TMDA , Adam Fimbo taarifa yake kwa Umma amebainisha kuwa, Uwepo wa taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu dawa hiyo ya P-500® (Paracetamol) inayoonesha kutengenezwa na kiwanda hicho, kuwa ina virusi aina ya ‘Machupo’ vinavyosababisha ugonjwa wa “Bolivian Hemorrhagic Fever (BHF). “Taarifa hii imekuwa ikijirudia…

Read More

Na Mwandishi Wetu,ARUSHA WAZIRI wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu,Prof.Joyce Ndalichako,amesema hadi sasa vyuo vya ufundi na ufundi stadi,vimeanza kutekeleza agizo la Rais Dk.Samia Suluhu Hassan,alipoagiza sekta ya elimu kujikita zaidi katika ukuzaji wa ujuzi kwa wanafumzi. Aprili 22 mwaka huu,Rais Samia,akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,aliagiza sekta ya elimu kuwa anataka kuona kuwa elimu inajikita zaidi katika ukuzaji wa ujuzi. Waziri Ndalichako,aliyasema hayo jana jijini Arusha,alipotembelea mabanda wakati wa maonyesho yaliyoandaliwa na Baraza la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Standi (NACTVET), yanayofanyika kwa siku tatu katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid. Wakufunzi katika…

Read More

Na Geofrey Stephen .Arusha. BENKI ya CRDB  imetangaza ongezeko la faida ya shs,bilioni 351  mwaka 2022 baada ya kodi , ikilinganishwa na shs,bilioni 36 mwaka 2017 sawa na ongezeko la asilimia 875. Akizungumza  na waandishi wa habari jijini Arusha   wakati akizungumzia  maandalizi ya  Mkutano Mkuu wa 28 wa Wanahisa 2023 ambao utatanguliwa na semina ya wanahisa ambapo mgeni rasmi katika mkutano huo anatarajiwa kuwa, Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango Mei 20. Mwenyekiti wa bodi ya CRDB, Dkt Ally Laay alisema kuwa katika miaka mitano iliyopita utendaji wa Benki umeimarika  licha ya kuwepo kwa changamoto ya ugonjwa wa COVID-19 pamoja…

Read More

Na Doreen Aloyce Dodoma. MBUNGE wa Jimbo la Nkasi Kaskazini Aida Khenani ameiomba Serikali kuja na njia mbadala ya kusaidia Kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza kutibiwa bila malipo kuelekea kuhitimisha kwa bajeti ya Wizara ya afya Kwa mwaka wa fedha 2023/2024. Mbunge huyo ameyasema hayo katika viwanja vya Bunge alipokuwa akizungumza katika kuelekea kupitishwa kwa bajeti ya afya kwani afya ndio Kila kitu katika maisha. Mbunge Aida amesema kuwa Serikali ikiondoa Kodi ya matibabu katika magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama vile kisukari,Kansa,kifafa pamoja na ajari itasaidia kuokoa maisha ya watanzania wengi. Amesema kuwa kwa magonjwa yasiyoyaluambukiza ghalama ni kubwa na…

Read More

Na Doreen Aloyce ,Dodoma Mbunge wa Jimbo la Kibaha vijijini. Michael Mwakamo amesema licha ya serikali kuendelea kuboresha huduma za afya hapa nchini kuna haja ya kuweka mikakati ya kuweka Bima ya afya kwa wote jambo ambalo litasaidia wananchi kupata matibabu kwa urahisi. Kauli hiyo ameitoa Viwanja vya Bunge jijini Dodoma wakati alipokuwa akifanya mahojiano na waandishi wa Habari juu ya Bajeti ya afya ambayo imepitishwa kwa mwaka 2023/2024. “Tunaona kazi ya vituo vya afya ilivyo kubwa ujenzi wa zahanati vijijini, namna ya usambazaji wa vifaa vya kutolea huduma za afya zinakwenda mpaka ngazi za chini hii inaleta matumaini makubwa…

Read More

Na John Walter-Manyara Serikali na wadau wa Kampeni ya Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania ( SMAUJATA) wilaya ya Babati mkoani Manyara wamesema familia zikiamua kuacha kusuluhisha Kinyumbani vitendo vya ukatili wa kijinsia, tatizo hilo litapungua na hatimaye kumalizika kabisa. Utafiti unaonesha kwamba asilimia 60 ya ukatili kwa watoto  unafanyika nyumbani ambapo ndugu na jamaa wa karibu wanatajwa kuhusika na asilimia 40 nje ya familia ikiwamo mashuleni. Viongozi hao wamezungumza hayo katika Kata ya Dareda wilayani Babati mkoani hapa wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia Duniani inayofanyika kila mwaka Mei 15. Afisa Ustawi wa Jamii mkoa…

Read More

Na John Walter-Manyara KAMPENI Naibu waziri wa Katiba na Sheria Paulina Gekul amewataka wanasheria na wasaidizi wa sheria kutumia uwezo wao na maarifa waliyonayo kuwasaidia wahanga wa vitendo vya ukatili na wahitaji wengine kupata haki zao. Ametoa agizo hilo wakati akifungua mafunzo maalum kwa Mawakili na wasaidizi wa kisheria mjini Babati ikiwa ni mwendelezo wa  Kampeni ya Mama Samia Legal Aid  yenye lengo la kuongeza uelewa kwa jamii kuhusu masuala ya kisheria na haki za binadamu lakini pia ukatili wa kijinsia. Amesema vitendo vingi vya ukatili vinafanyika na kesi zake kumalizwa kinyumbani jambo ambalo sio sawa kwa kuwa walitendewa ukatili…

Read More