Author: Geofrey Stephen

TAHARUKI MGOMO WA MADAKTARI HOSPITALI YA SELIAN, UONGOZI WADAI HAKUNA MGOMO NI UVUMI TU ‘WANACHAPA KAZI’ May 15, 2023 Na Joseph Ngilisho Arusha TAHARUKI imewakumba wagonjwa katika hospitali ya SELIAN Lutheran (ALMC) ya jijini Arusha,kufuatia taarifa za kuwepo kwa mgomo wa madaktari wakiwemo mabingwa wa magonjwa mbalimbali. Wafanyakazi hao wanadaiwa kugoma kama njia mojawapo ya kushinikiza kulipwa madai yao ya malimbikizo ya mishahara . Hata hivyo uongozi wa hospitali hiyo kupitia mch. Godwin Lekashu na Mkurugenzi wa tiba ,dkt.Frank Madinda umekanusha madai hayo na kusema ni uvumi wa mtaani na Madaktari wote wapo kazini. MCH.LEKASHU “Hapa hakuna mgomo, madaktari…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv . Leo Tarehe 15.05.2023 saa 4Asubuhi Shauri No. 21 ya Mwaka 2022 kuhusu Maombi ya Mapitio ya Sheria (Judicial Review Application) dhidi ya Tangazo la Waziri wa Mali asili na Utalii (GN no 421 ya tarehe 17 Juni 2022 kuhusu ardhi ya Vijiji vya Loliondo kuwa Pori Tengefu la Pololeti ,linakuja kwa ajili ya Maamuzi madogo mbele ya Jaji Tiganga. Katika shauri hilo Waleta maombi Watano kutoka vijiji vilivyoathirika wanaomba Mahakama: 1) Iagize Serikali kuondoa zuio dhidi ya Wananchi kuingia kwenye eneo la Km2 1502 ambalo wamekuwa wakitumia kwa ajii ya malisho ya mifugo yao na…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kupitia Mamlaka ya udhibiti wa Usafiri wa Ardhini na Majini LATRA Imesisitiza kutokuwepo kanuni mahsusi zinazoonyesha utaratibu wa huduma za kintandao kama tiketi mtandao na mfumo wa ufuatiliaji wa mwendo vyonbo vya Usafirishaji kunaleta mkangwnyiko wa kushindwa Kutoa adhabu. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Imesisitiza kuwa maoni ya wadau wa Usafirishaji ni muhimu Kwa lengo la utekelezaji wa majukumu ua shughuli za LATRA. Akiongea  Mkurugenzi Msaidizi huduma za Usafirishaji wa Barabara Andrew Magombana wakati akifunga kikao cha wadau wa Usafirishaji kujadili mapendekezo ya kanuni mpya zilizoandaliwa chini ya Sheria ya LATRA…

Read More

Na Doreen Aloyce, Dodoma Mbunge viti maalimu Mkoa wa Pwani Subira Mgalu amesema kupitia Bajeti ya kilimo iliyopitishwa na Bunge ya zaidi ya Bilioni 970 mwaka 2023/2024 inaenda kuleta unafuu kilimo chenye tija kwa wakulima. Kauli hiyo ameitoa Bungeni Dodoma wakati alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari juu ya bajeti ya kilimo ambayo imekuwa na ongezeko inapaswa kutekelezwa kwa maslahi mapana ya wananchi na jamii kwa ujumla. Mbunge Subira amesema kuwa bajeti hiyo imepitishwa bila kikwazo kwani imeleta matumaini ambapo imewahusisha vijana kupitia program ya building better tommorow(BBT) na kati ya waliochaguliwa ni wasichana na kuwamilikisha ardhi . ” Sekta…

Read More