Author: Geofrey Stephen

Na Bahati Siha, Wananchi wenye hasira Kijijii cha Samaki Maini Kata ya Livishi Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro wamemchoma moto kibaka anayekadiriwa kuwa na miaka (40)na kufariki Dunia Kwa tuhuma za wizi wa vitu mbali mbali ikiwamo kuku,Pikipiki na mizinga ya nyuki na kurudisha Kijiji hicho maendeleao nyuma. Mwenyekiti wa Kijijii hicho Solomoni Nkini ,kizungumza na waandishi wa habari walifika eneo la tukio,amesema wamekusudia kuanzisha ulinzi shirikishi kutokana na matukio hayo ya wizi yamethiri katika eneo hili “Ni kweli katika kata hii pamoja na Kijijii hiki matukio ni mengine ya wizi ,kuku,ng’ombe, Mizinga ya Nyuki,Pikipiki mpaka sasa zaidi ya pikipiki 25…

Read More

Na Richard Mrusha Dodoma WAKULIMA na wafugaji wameaswa kukata bima ya mazao na mifugo yao ili kujilinda dhidi ya majanga yanayoweza kujitokeza kwa mifugo kufa au mazao kukumbwa na ukame. Akizungumza na waandishi wa habari katika banda la NIC kwenye maonesho ya wakulima na wafugaji (88) Afisa Bima wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Experius Nchanila amesema katika msimu huu wa maonesho hayo ,NIC wamekuja na bima mbalimbali ikiwemo bima mkakati za kilimo na ufugaji ambazo zinalenga kumkwamua mkulima dhidi ya majanga yanayoweza kuathiri mifugo au mazao yake. Amesema kwa mkulima kukata bima ya mazao na mifugo yake itamsaidia…

Read More

Mke wangu analia machozi ya furaha kisa chakula cha usiku Ukweli ni kwamba heshima ya kweli anayopewa mwanaume kutoka kwa mke wake ni pale ambapo anatimiza majukumu yake vizuri ya kuihudumia familia, na kubwa zaidi ni pale wakati wa kula chakula cha usiku, mume ahakikishe mke kala na kuridhika. Wakubwa tunaelewana vizuri katika jambo hilo nyeti zaidi, huo ni uwanja qq wa vita wa kujidai na kuonyesha uwezo wetu na kudhihirisha uanaume wetu. Niseme katika ndoa yangu kuna kipindi nilikubwa na tatizo la kiafya ambalo lilipelekea mimi kushindwa kumridhisha mke wangu hadi akafikia hatua ya kuanza kunidharau na kutamka wazi…

Read More

Mwandishi wetu. Arusha. Taasisi ya Waandishi wa habari ya MAIPAC jana imezindua mradi wa utoaji elimu ya mpiga kura kwa mkoa Arusha na kuwataka vijana waliofikisha miaka 18 wenye sifa , kwenda kujiandikisha katika daftari la Kudumu la wapiga kura. Wakizungumza katika uzinduzi wa utoaji elimu ya mpiga kura, Mkurugenzi wa MAIPAC,Mussa Juma na Meneja miradi wa Taasisi hiyo,Andrea Ngobole katika kituo cha Radio Sunrise Fm Arusha,walitaka vijana kuanza kujiandaa sasa kujiandikisha katika daftari la Kudumu la wapiga kura. Juma alisema vijana wenye umri kuanzia miaka 18 wanasifa ya kujiandikisha katika daftari Hilo kama hawajapoteza sifa kwa mujibu wa sheria…

Read More

Na Richard Mrusha Dodoma MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imejipanga kutatua kero za kikodi kwa wananchi waliokutana na changamoto mbalimbali. Kamishna Mkuu wa TRA. Yusuph Juma Mwenda amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari katika Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na wavuvi yanayoendelea Jijini Dodoma. Mwenda amesema, “ili eneo ni moja ya eneo ambalo tutachukua changamoto za kikodi za walipa kodi na kuzitafutia ufumbuzi wa haraka. “Kwa hiyo nitoe wito waje waonane na watu wetu waeleze wanachokihitaji wapate elimu,” amesema. Pia amesema TRA imejipanga kuhudumia walipa kodi kwa haraka , mwisho waweze kuchangia. Awali aliwataka watanzania waliofikia kiwango cha kulipa kodi…

Read More

Na Richard Mrusha Dodoma DODOMA: WAKULIMA nchini wameshauriwa kuitumia mbolea mpya aina ya UMKA ili kupata matokeo chanya katika kilimo. Meneja Masoko wa Kampuni ya Umka Afrika LTD inayojishughulisha na kuingiza mbolea nchini, Benjamin Laizer amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yajulikanayo kama 88 yanayoendelea Jijini Dodoma. Laizer amesema mkulima anapotumia mbolea hiyo hahitaji kuitumia nyingi kutokana na ubora wake. “Mkulima anapotumia mbolea hii, anatumia mbolea kidogo kwa faida kubwa kwenye uzalishaji kwa sababu mkulima lazima aone tija. ” Kwenye kile ambacho unakitumia huhitaji kutumia kikubwa sana, unatumia kidogo ili upate kingi. Hii ndio faida tuliyonayo kama…

Read More

Na Bahati Hai, Jamii imetakiwa kuwathamini watoto yatima na wale wanaoishi katika mazingira hatarishi kwa kuwapa mahitaji muhimu kama elimu,maladhi,chakula na mavazi ili waweze kutimiza ndoto zao. Haya yamesemwa leo na Ramadani Shabani katibu wa Simba Tawi Bomang’ombe Wilaya Hai mkoani Kilimanjaro,wakati wa maadhimisho ya siku ya Simba,ambapo waletembelea kituo cha watoto yatima Kao la Amani Bomang’ombe Wilayani hapa na kutoa msaada ikiwa pamoja na Mchele,sabuni pamoja na mafuta ya kupikia. Akizungumza Mara baada ya kukabidhi vitu hivyo,ameitaka jamii kuthamini watoto hao ili kuwapunguzia mawazo ya kuwafikiria wazaza wao ,hata vitabu vitakatifu Quran na Bibilia ina himiza jambo hilo “Ni…

Read More

Na Mosses Mashala Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza waumini wa Dini ya Kiislamu kuendelea kuiombea nchi dua na viongozi wake waendelee kudumisha amani, mshikamano utulivu kuelekea uchaguzi mkuu mwakani. Dkt.Mwinyi aliyasema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Ijumaa Msikiti wa Rahman Taveta, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 2 Agosti 2024. Aidha Rais Dkt.Mwinyi amesema hakuna maendeleo pasipokuwepo amani na utulivu. Mwisho .

Read More