Na Bahati Siha, Kaimu Mkurungenzi mkuu wakala wa maji safi na usafi wa mazingira (RUWASA)Wolta Kirita, amesema Ruwasa imeingia kwenye makubaliano na chuo cha ufundi kilichopo mkoani Arusha kubuni mitaa kabla ya malipo(prepaid Weter) Ambapo lengo kufunga mita hizo ili kuondoa malalamiko ya Wananchi ya madai ya kubambikiwa bili , kukabiliana na changamoto ya malimbikizo ya madeni na kuongeza ufanisi wa ukusanyaji mapato ya Serikali. Haya yamesemwa February 8 ,2025 na Kaimu Mkungenzi huyo katika ziara ya kutembea Bodi ya maji ya Lawate fuka iliyopo Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro kwa lengo la kuangalia skimu inavyofanya kazi,ambapo pia ameambatana na wajumbe…
Author: Geofrey Stephen
Juma tatu ya leo February 10 Mwaka 2025 karibu kutazama kilicho andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Na Geofrey Stephen Monduli Arusha Mapema leo Familia ya Eduard Ngoyai Lowassa ikiongozwa na Mama Regina Lowassa wafanya Misa ya shukurani katika Kanisa la Kiinjili Kilutheri la Tanzania Dayosisi ya Kaskazini KKKT Dayosisi ya Kaskazini Kati Jimbo la Maasai Kati, Usharika wa Monduli. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameungana na wanafamilia, viongozi wa chama,Serikali na wananchi katika ibada ya Shukrani ya Hayati Edward Ngoyai Lowassa Waziri Mkuu Mstaafu iliyofanyika katika Kanisa la KKKT Monduli Mjini Mkoani Arusha, AIDHA WAZIRI SIMBACHAWENE ASHIRIKI IBADA YA SHUKRANI YA HAYATI WAZIRI MKUU…
Na Mosses Mashala Zanzibar. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewahimiza Wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kufanya Biashara kwa Uadilifu na kuwa na Huruma kwa Wananchi. Alhaj Dkt.Mwinyi ameyasema hayo alipozungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu wa Masjid Jibril Mkunazini alipojumuika katika Sala ya Ijumaa. Aidha Alhaj Dkt.Mwinyi amesema kumekuwa na kawaida na tabia ya Baadhi ya Wafanyabiashara kupandisha bei Bidhaa wakati huo. Amefahamisha Kuwa Serikali imekuwa ikipunguza Ushuru katika Mwezi wa Ramadhani hivyo si jambo jema kwao kupandisha bei za bidhaa na kuwaongezea mzigo Wananchi . Akizungumzia suala la…
Juma Mosi ya tarehe 8 karibu Arusha 24tv kutaza kilicho Andikwq katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na Nyuma Hii ni A24tv. Mwisho .
Ijumaa ya leo february 7 karibu arusha 24tv kutazama kilucho andikwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho .
Na Bahati Siha, Mkuu wa shule ya Sekondari Ormelili Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Hapriday Msomba ,amewataka wanafunzi wa shule hiyo wasiwe mabubu katika elimu waliweyo pewa ya kujilinda dhidi ya ukatili wa kijinsia ikiwamo ubakaji na ulawiti Haya yamesemwa na mwalimu huyo wakati wa Kampeni ya msaada wa kisheria ijulikanayo kwa jina la kampeni ya mama Samia legal Aid ,ilipotembelea shule hiyo,na kuzungumza na wanafunzi kuhusu changamoto zinazowakabili pia kuwajengea uwezo wa kupambana dhidi ya matendo ya ukatili. Mkuu huyu wa shule Akizungumza mara baada ya elimu hiyo,alishukuru kitengo hicho na kuwataka wanafunzi wasiwe mabubu na waendelee walawafundishe wengine “Ni…
Na Geofrey Stephen Arusha . Miradi hii, yenye ufadhili wa EUR milioni 8 kutoka EU, inalenga kuondoa vikwazo vya biashara, kuimarisha utekelezaji wa sheria za ushindani, na kuongeza uwezo wa taasisi za EAC, huku ikitoa msukumo maalum kwa uwezeshaji wa wanawake na vijana. Akizungumza katika uzinduzi huo, Naibu Katibu Mkuu wa EAC anayeshughulikia Forodha, Biashara na Masuala ya Fedha, Bi. Annette Ssemuwemba Mutaawe, alieleza shukrani zake kwa EU kwa kuendelea kuunga mkono maendeleo ya EAC. Annette Ssemuwemba Mutaawe. Katibu Mkuu wa EAC . Kwa upande wake, Mkuu wa Ushirikiano, Ofisi ya EU kwa Tanzania na EAC.Jose-Luis Gonzalez..Meneja Program EU. Jose-Luis…
Na Geofrey Stephen Arusha . Arusha. Jaji mfawidhi wa Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha Ilvin Mugeta amesema kuwa taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa katika utekelezaji wa majukumu yao Ili kurudi katika misingi ya kusaidia wananchi katika upatikanaji wa haki bila vurugu. Amesema kuwa taasisi hizo ni muhimu kuzingatia Sheria kanuni na taratibu za kisheria katika utekelezaji wa majukumu yao ya kuhakikisha upatikanaji wa haki bora na kwa wakati. Jaji Mugeta ameyasema hayo Leo, February 3,2025 kwenye kilele cha maadhimisho ya wiki ya Sheria nchini iliyofanyika kikanda Mkoani Arusha katika viwanja vya mahakama…
Karibu Arusha24tv leo February 6 mwaka 2025 kutazama kilicho andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.