Author: Geofrey Stephen

Na Doreen Aloyce, Dodoma Wizara ya Uwekezaji,Viwanda na Biashara imeliomba Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitisha bajeti la shilingi 119,017,998,000 ambazo zitaendesha matumizi mbalimbali ya Wizara hiyo. Ombi hilo limeyolewa na Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji Dkt. Ashatu Kijaji wakati alipokuwa akiwasilisha hotuba ya bajeti Bungeni Dodoma kwa mwaka 2023/2024 ambapo amesema Kati ya fedha hizo, shilingi75,451,494,000ni matumizi ya kawaida,shilingi 63,086,267,000 ni mishahara na shilingi 12,365,227,000 ni matumizi mengineyo. Aidha amesema shilingi43,566,504,000zinaombwa kwa ajili ya matumizi ya maendeleo ambapo shilingi 30,346,819,000 nifedha za ndani na shilingi 13,219,685,000ni fedha za nje. Vilevile amesema Katika kipindi cha Julai,…

Read More

Kishindo bajeti ya wizara ya viwanda leo bungeni Dodoma Na Mwandishi wa A24Tv Dodoma Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha Kwa Mwaka  2023/2024,  leo Mei 4,2023.     Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha Kwa Mwaka  2023/2024,  leo Mei 4,2023. Naibu Waziri, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe,akijibu swali bungeni lililoulizwa wakati wa kikao cha bunge kinachoendelea jijini Dodoma  leo Mei 4,2023. Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.…

Read More

Geofrey Stephen Arusha WAZIRI Mkuu, Kassimu Majaliwa amezitaka Nchi za Umoja wa Afrika(AU) wa Baraza la Michezo Ukanda wa IV Afrika kushikamana na kushirikiana katika kukuza michezo lengo likiwa kuitangaza Kanda hiyo Kimataifa katika fani za michezo mbalimbali. Majaliwa amesema hayo leo wakati akifungua Mkutano wa Mawaziri wa Michezo ,Utamaduni na Sanaa wa Nchi 14 za Afrika Ukanda wa IV uliofanyika Jijini Arusha na kusema kuwa njia pekee ya kukuza michezo ni kwa nchi hizo kushikamana na kushirikiana kwani hakuna mafanikio ya njia ya mkato katika kuendeleza soka Alisema Ukanda wa IV Afrika katika kukuza michezo Inawezekana na siri ya…

Read More

Na Richard Mrusha WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kufanya maboresho ya Sera ya Mifugo na Uvuvi ili iweze kuleta tija kwa Taifa. Amesema hayo leo Jumanne (Mei 02, 2023) alipotembelea maonesho ya wadau wa mifugo na uvuvi yanayoendelea kwenye viwanja vya Bunge, jijini Dodoma. Amesema kuwa lengo la kufanya maboresho hayo ni kuhakikisha sekta hiyo inaongeza mchango katika pato la Taifa na uchumi wa mtu mmojammoja. “Sekta ya mifugo na uvuvi ni muhimu sana, ni uchumi na mafanikio ya maisha ya kila siku ya anayejishughulisha na sekta hiyo.” “Tunajua tuna mafanikio na changamoto, lakini tunataka kuhakikisha Taifa hili…

Read More

Na Doreen Aloyce, Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wamiliki wa Kampuni ya ASASI inayozalisha maziwa kuendelea kuhudumia jamii hususani kuzalisha maziwa kwa wingi na yenye ubora. Kauli hiyo ameitoa katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma wakati alipokuwa akitembelea maonyesho ya wafugaji na wavuvi kwa ajili ya kuonyesha protini yaliyoandaliwa na Wizara ya Mifugo na uvuvi . Waziri Mkuu ametumia nafasi hiyo kuwapongeza Kampuni hiyo ya ASAS na kuwataka waendelee kuhudumia jamii kwa kuzalisha maziwa mengi na Bora na kuyasafirishwa ndani na nje ya nchi. Aidha amemuagiza Waziri wa Mifugo na uvuvi kuwa kampuni kama ASAS na nyinginezo waangalie namna…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha Tanzania imeomba kuwa Makao Makuu ya kudumu ya Kamati ya Baraza la Wataalamu wa Michezo Kanda ya IV Afrika lengo ni kutaka kuboresha zaidi sekta michezo katika Ukanda huo. Hayo yalisemwa leo{jana} na Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni,Michezo na Sanaa,Said Yakubu wakati akifungua Kikao cha kamati hiyo ambapo wajumbe wake ni Wakurugenzi wa Michezo katika Nchini 14 za Ukanda wa IV Afrika .² Yakubu alisema kuwa Tanzania imewasilisha rasmi ombi kwa kamati hiyo la kutaka Makao Makuu ya kamati hiyo yawe hapa Nchini na  Tanzania ina sifa na vigezo vyote kwa kamati hiyo Makao yake kuwa…

Read More