Author: Geofrey Stephen

Na Veronica Mheta,Arusha Serikali imewataka waongoza watalii kutoa huduma bora za utalii ikiwemo uhifadhi wa mazingira ili historia iweze kuendelea kuwepo sanjari na kuvitangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini Tanzania na maeneo mengine. Aidha lazima vivutio vya utalii vilivyopo nchini lazima vitangazwe ili kukuza biashara ya utalii ili kuongeza idadi kubwa ya watalii kutoka ndani na nje ya nchi. Rai hiyo ilitolewa  Jijini Arusha na Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,Dk, Hassan Abbasi kwaniaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa. Alisema ni vema waongoza watalii hao wakatoa huduma bora ikiwemo kuvitangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini Tanzania…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv .Arusha Ungo uliotumika na mchawi  kusafiri kutoka Mbeya mpaka Arusha kisongo kwa Nabii Mkuu GeorDavie  Mchawi aliyejitambulisha kwa jina la Maige Makwaya Mwenye Umri wa miaka 40 Mkazi wa Mkaoni Mbeya ameanguka na usafiri maarufu wa Ungo katika Viwanja vya kanisa la Nabii Mkuu Mh Dokta GeorDavie mara baada ya kuishiwa nguvu. Akizungumza mara  baada kuishiwa nguvu na kuanguka chini mchawi huyo ameeleza kwamba ametumika kufanya kazi hiyo akiwa na umri  mdogo wa  miaka 10 mpaka sasa ana miaka 40. Mchawi Maige akielezea zoezi lake la yeye kutoka mkoani Mbeya na kuanguka chini ya Kanisa la…

Read More

Na Richard Mrusha Wizara ya Uwekezaji Viwanda na Biashara kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) pamoja na Ubalozi wa Tanzania-Malawi, Kituo cha Uwekezaji (TIC), Sekta Binafsi, TCCIA na TWCC imeratibu Kongamano la Kibiashara kati ya Malawi na Tanzania lililofanyka kuanzia Tarehe 26 hadi 28 Aprili 2023 katika jiji la Mzuzu nchini Malawi. Kongamano hili lilihudhuriwa na zaidi ya Wafanyabiashara 300 ambapo Wafanyabiashara 150 ni wa Tanzania, wakingozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah aliyemwakilisha Mhe,Waziri Dkt, Ashatu Kijaji. Aidha Taasisi na Idara mbalimbali zinazowezesha Biashara zilizoshiriki ni pamoja na…

Read More

Kiwanda cha  kutengeneza nguo cha jijini Arusha A to Z  Textile Mills Limited , kimeibuka  na ushindi mzito wa kuwa kiwanda bora cha Usalama na Utunzaji wa Mazingira  mahala pa kazi na kushika nafasi ya pili kitaifa . Akitoa tuzo hizo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Wenye Ulemavu Mh Prof . Joyce Ndalichako katika zoezi la siku ya Afya na usalama Duniani Kitaifa imefanyika Mjini Morogoro Mgeni Rasmi alikuwa Prof. Ndalichako. Mh Waziri  amekipongeza kiwanda cha Ato Z kwa kutengeneza Mazingira mazuri ya Usalama mahali pa kazi na  kujali Mazingira na kutaka viwanda vingine kuheshimu…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha Arusha.Kiwanda cha  kutengeneza nguo cha jijini Arusha A to Z  Textile Mills Limited , kimeibuka  na ushindi mzito wa kuwa kiwanda bora cha Usalama na Utunzaji wa Mazingira  mahala pa kazi na kushika nafasi ya pili kitaifa . Akitoa tuzo hizo Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Wenye Ulemavu Mh Prof . Joyce Ndalichako katika zoezi la siku ya Afya na usalama Duniani Kitaifa imefanyika Mjini Morogoro Mgeni Rasmi alikuwa Prof. Ndalichako. Mh Waziri  amekipongeza kiwanda cha Ato Z kwa kutengeneza Mazingira mazuri ya Usalama mahali pa kazi na  kujali Mazingira na…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha. Maskofu pamoja na wachungaji wa makanisa mbalimbali yanayopinga ushoga wametakiwa kuwa na msimamo mmoja katika kupinga maswala hayo sambamba na kukataa mahusiano kabisa na makanisa yanayounga  mkono maswala ya ushoga. Hayo yalisemwa jijini Arusha na Askofu wa kanisa la kilutheri Afrika ya Mashariki (KKAM) jimbo la Arusha Mashariki ,Dk Philemon Mollel wakati akizungumza katika ibada maalumu ya kuwasimika  kazini wachungaji na mashemasi. Dk.Mollel alisema kuwa,ni lazima maaskofu na wachungaji wawe na msimamo  mmoja katika kukemea vitendo hivyo vya ndoa za jinsia moja ambazo  zinaungwa mkono na baadhi ya makanisa sambamba na kukataa mahusiano na makanisa  hayo…

Read More

Na Doreen Aloyce, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) Dkt.Amos Nungu amewataka watanzania kuziamini na kuzitumia bunifu zinabuniwa na vijana wa kitanzania ikiwemo kuzinunua na kurejesha mrejesho kwa wabunifu kama sehemu ya kuziboresha. Ametoa kauli hiyo leo Aprili 27,2023, wakati anazungumza na waandishi wa habari ,katika banda la Tume hiyo liliopo katika maonesho ya Wiki ya Ubunifu Tanzania yanayoendelea katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. “Niwaombe watanzania tuwatie moyo wabunifu wetu wanaopambana kila kukicha kubuni vitu ambavyo vitasaidia kuondoa changamoto katika jamii na mkivitumia kama kuna upungufu au kasoro utabaini usiache kuwarejeshea maoni ya…

Read More