Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen ,ARUSHA Kanisa Katoliki jijini ARUSHA,limelaani vitendo vya ukatiki na ushoga vinavyozidi kushamiri kwa Kasi hapa nchini na kuwataka wazazi ,walezi na jamii kwa ujumla kukemea kwa nguvu zote ,vitendo hivyo vinavyochochewa na tamaduni za kigeni na kuathiri tamaduni za Kitanzania. Rai hiyo imetolewa na paroko wa parokia ya moyo safi, jimbo kuu katoliki la Arusha,Padri ,Festus Mangwangi ,katika misa takatifu ya kufungisha ndoa 51 za waumini wa kanisa hilo,ikiwa ni mwitikio mkubwa kuwahi kutokea kwa wanandoa huku baadhi yao wakitoka madhehebu mengine na kujiunga na kanisa hilo. Alisema vitendo vya ukatili ulawiti na ushoga kwa jamii ni…

Read More

Na Mwandishi A24tv .Arusha, Kampuni ya JK White Cement (Africa) Ltd kupitia bidhaa yake ya JK Wall Putty imefanikiwa kuwakutanisha zaidi ya mafundi rangi 200 wa jijini Arusha kwa ajili ya kuwapa elimu na kujadili changamoto wanazokumbana katika kazi zao za skimming. Akizungumza kwenye semina hiyo ya siku moja, Afisa kitengo cha ufundi kwa wateja Simioni Ogudumu alisema kuwa wameamua kukutana na mafundi hao kwa ajili ya kuwaelekeza kuhusu bidhaa zao lakini pia kujadili changamoto wanazokumbana nazo kazini. “Tumekuwa tukipokea sim nyingi za wateja wetu ambao ni mafundi juu ya changamoto za uelewa wa jinsi ya kutumia bidhaa zetu hivyo…

Read More

Na Mwandishi aa A24Tv .Malawi Tanzania na Malawi zimekubaliana kukuza uhusiano wa kibiashara na uwekezaji kwa kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji baina ya nchi hizo ikiwemo uboreshaji wa sheria za uwekezaji, ukamilishaji wa ujenzi wa Kituo cha Pamoja cha Kasumulo na huduma za Bandari ya Mbamba Bey ili kukuza biashara na uchumi katika nchi hizo. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah Aprili 26, 2023 kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Dkt. Ashatu Kijaji alipokuwa akihutubia Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Malawi linalofanyika 26 -…

Read More

Na Geofrey Stehen Arusha Serikali imeendele kujenga maghala ya kuhifadhia mazao Nchini Ili kuzuia sumu kuvu Hali inayochangia Athari kwa wazalishaji na wakulima Katibu mkuu wizara ya kilimo Gerald Mweli akifungua kikao Cha washiriki wa sekta ya kilimo jijini Arusha kilichohusisha nchi 11, alieleza nilazima kuwepo kwa mifumo thabiti itakayosimamia masuala mazima ya kilimo na utoshelezi wa chakula. Ameseema Tanzania imepata dola za kimarekani milioni 20 zilitolewa kama msaada wa mapambano ya sumu kuvu Licha ya kuonekana Athari za Awali ,kupitia fedha hizo tayari serikali imekwishajenga maghala na maabara katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya manyara,morogoro,Dodoma, ambayo wakulima walikumbana…

Read More

Na Geofrey Stehen Arusha Serikali imeendele kujenga maghala ya kuhifadhia mazao Nchini Ili kuzuia sumu kuvu Hali inayochangia Athari kwa wazalishaji na wakulima Katibu mkuu wizara ya kilimo Gerald Mweli akifungua kikao Cha washiriki wa sekta ya kilimo jijini Arusha kilichohusisha nchi 11, alieleza nilazima kuwepo kwa mifumo thabiti itakayosimamia masuala mazima ya kilimo na utoshelezi wa chakula. Ameseema Tanzania imepata dola za kimarekani milioni 20 zilitolewa kama msaada wa mapambano ya sumu kuvu Licha ya kuonekana Athari za Awali ,kupitia fedha hizo tayari serikali imekwishajenga maghala na maabara katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya manyara,morogoro,Dodoma, ambayo wakulima walikumbana…

Read More

Na Geofrey Stephen ,Arusha Watu watano wa Familia moja wamefariki Dunia  baada ya gari yao aina ya Noah yenye namba za usajili 499 DMY kusombwa katika barabara ya Arusha-Moshi eneo la kata Amalula Tarafa ya King’oli Wilayani Arumeru Mkoani Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arumeru,Emanuel Mtatifikolo aliwataja waliokufa na miili ya kuonekana ni pamoja na Angela Metili{26},Martha Metili{40} na Colin Lyimo{16} mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Ilboru Arusha. Mtatifikolo alisema maiti mbili ambazo miili yao bado haijapatikana baada ya kupelekwa umbali mrefu na maji ni pamoja na mwili wa Brenda Amani{26} mfanyabiashara na mkazi wa Ilbolu na Lisa Metili{8}…

Read More

Na mwandishi A24tv . Naibu katibu mkuu Uchukuzi Dkt. Alli Possi amewataka wadau wa sekta ya Majini na Anga katika eneo la utafutaji na uokoaji kuangalia namna wanaweza kuwa na mfumo bora watakaotumia katika shughuli zao. Dkt. Possi ameyasema hayo leo April 24,2023 jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa wadau wa utafutaji na uokozi kutoka sekta za Anga na Majini . Alisema serikali kwa sasa imefika katika kiwango kikubwa katika sekta ya Anga na Majini hivyo Uokoaji na Utafutaji ni jambo la muhimu ili kuhakikisha usalama wa vyombo na maeneo hususan majini yanakuwa salama. ” Wataalam…

Read More

Maaskofu na wachungaji watakiwa kuwa na msimamo  mmoja katika kupinga maswala ya ushoga . Na Geofrey Stephen Arusha Arusha.Maskofu pamoja na wachungaji wa makanisa mbalimbali yanayopinga ushoga wametakiwa kuwa na msimamo mmoja katika kupinga maswala hayo sambamba na kukataa mahusiano kabisa na makanisa yanayounga  mkono maswala ya ushoga. Hayo yalisemwa jijini Arusha na Askofu wa kanisa la kilutheri Afrika ya Mashariki (KKAM) jimbo la Arusha Mashariki ,Dk Philemon Mollel wakati akizungumza katika ibada maalumu ya kuwasimika  kazini wachungaji na mashemasi. Dk.Mollel alisema kuwa,ni lazima maaskofu na wachungaji wawe na msimamo  mmoja katika kukemea vitendo hivyo vya ndoa za jinsia moja…

Read More

NaGeofrey Stephen , Arusha Serikali itaendelea kuimarisha huduma za utalii ikiwemo kutatua changamoto wanazokutana nazo wakala wa usafirishaji watalii Mkoa wa Arusha ili waweze kukua zaidi na kutoa huduma hizo ndani na nje ya Nchi. Aidha serikali itaendelea kuhuisha huduma za pamoja za utalii kwa Nchi za Afrika Mashariki(EAC) pamoja Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Hayo yalisemwa jana Jijini Arusha na Katibu Tawala Mkoa wa Arusha, Misaile Mussa Wakati akizungumza na katika mkutano wa majadiliano kati ya Mawakala wa Usafirishaji Watalii Mkoa wa Arusha na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini(LATRA) Alisema mawakala hao ni watu…

Read More