Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wa A24tv . Mamlaka ya Kudhibiti na Kupam bana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini tarehe 31.07.2024 kwa kushirikiana na Taasisi ya Tanzania Ex-Prisoners Foundation (TePF) imetoa elimu kinga juu ya madhara ya tatizo la dawa za kulevya kwa vijana wa bodaboda, bajaji na machinga pamoja na wanafunzi kutoka Chuo cha Mafunzo ya Ufundi (VETA), Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (MoCu) na Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Mwenge (MWECAU) katika Ukumbi wa CCM Mkoa uliopo wilayani Moshi Mkoani Kilimanjaro. Aidha, kauli Mbiu ya Kongamano hilo ilikuwa ni “_Ujana Bila Uhalifu, Inawezekana_”. Mgeni rasmi wa kongamano hilo…

Read More

Na Richard Mrusha Dodoma Kampuni ya mawasiliano Tigo Tanzania yaja na kampeni ya sako kwa bako kanda ya kati Dodoma Tigo Tanzania inaendelea na kampeni ya sako kwa bako nchi nzima ambayo ina mda wa miezi miwili tangu ilivyoanzana sasaa ni kanda ya kati kwa maana ya Dodoma, Tabora,Iringa. Afisa mkuu wa Biashara kutoka kampuni ya mawasiliano Tigo Tanzania Isack NChunda amebainisha hayo leo Aug1,2024 mbele ya waandishi wa habari kwenye ofisi za Tigo kanda ya kati Dodoma Amesema tigo ni mtandao bora zaidi nchini Tanzania kwani umeendelea kufanya uwekezaji wa zaidi ya sh Tilion 1. Amesema tigo ni mtandao…

Read More

Waadhimisha siku ya askari wa hifadhi Duniani Mwandishi wetu, Babati. Wafugaji wanaoishi ndani ya eneo la hifadhi ya jamii ya Wanyamapori ya Burunge(Burunge WMA) wilayani Babati, Mkoa Manyara na jirani na maeneo hayo, wamejengewa mazizi ya waya(Boma Hai) ili kuzuia wanyama wakali hasa Simba na Fisi kuvamia na kula mifugo nyakati za usiku. Mazizi hayo, yamejengwa na Taasisi ya uhifadhi na Utalii ya Chem Chem, ambayo inafanya shughuli za uhifadhina Utalii katika eneo hilo, lilipo kati kati ya hifadhi ya Taifa ya Tarangire na Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara ikiwa ni sehemu ya Mkakati wa Taasisi hiyo, kupunguza migogoro…

Read More

Na Bahati Hai. Katibu tawala mkoani Kilimanjaro,Kiseo Nzowa amewataka Watumishi wa Halmshauri ya Hai mkoani hapo,kuzuia mienya ya upovu wa mapato yanayokunywa na Halmshauri hiyo Amesema katika eneo moja linyeshida sana Serikalini ni hilo,wanakusanya wanatia katika kapu ambalo lina matobo, Akizungumza katika kikao cha kawaida cha Bazara la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa halmshauri hiyo,amesema katika eneo hilo linachangamoto sana hivyo liangaliwe sana ” tujitahidi sana kuzuia mianya ya upotevu wa mapato kama nilivyosema katika eneo hili linashida sana Serikalini sababu mnakusanya mnatia katika kapu lililo na matobo kuna mchwa ambao wanatafuna hapana hii haikubaliki”amesema Nzowa. Nzowa amesema kutokana…

Read More

Na Joseph Ngilisho ARUSHA Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania limefanikiwa kumkamata mtu mmoja aitwaye Samwel Mbise (42) mkazi wa Sanawari Jijini Arusha akiwa anafanya biashara ya kubadilisha fedha za kigeni bila kufuata utaratibu wa kibali. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Justine Masejo amebainisha kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa kupitia operesheni ambayo inaendelea iliyoanza Julai 29, 2024 ambapo alikutwa na fedha kutoka mataifa mbalimbali duniani. SACP Masejo amefafanua kuwa mtuhumiwa huyo alikutwa na fedha mbalimbali ambazo ni Dola za Marekani 5,952, Euro 835,…

Read More

Bahati Siha, Wakulima wa mashamba ya Pongo,leoni na Molomo Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,wamesema wamekuwa wakipoteza muda mwingi kulinda mazao yaliyopo shambani yakiwamo mahindi,maharage na alizeti yasiharibiwe na Wanyama akiwamo Tembo Kutokana na jambo hilo wameomba Serikali kufanya utafiti wa kina wa namna ya kuzuia Wanyama hao wasiendelee kuharibi mazao ya wakulima hao na kufanya kupata hasara na pia familia kukosa chakula. Wakiongea na waandishi wa habari walipotembelea mashamba hayo na kuona jinsi yalivyoharibiwa Wananchi hao ,wamesema kwa sasa wamehamia mashamba na kupiga kambi mpaka watakapovuna Wilfred Urio kutoka Kijiji cha Mowo njamu,amesema kwa sasa aneacha shughuli nyingine za kumuingizia kipato…

Read More

Na Bahati Hai Mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Hassani Karata,amekemea maswala ya siasa kutokuingizwa kwenye michezo. Haya amesema katika uwanja wa michezo wa Matadi kilimahewa Kata ya Indumet wakati wa uzinduzi wa West Champions Ligi , Amesema Swala la siasa ndani halitakiwi kwenye michezo ,kanuni ya mpira wa miguu haufungamani na chama cha siasa,Dini au Serikali kabisa Kwa maana mpira ni furaha ,ajira na Amani,lakini mpira unapoingia na siasa tayari mpira unaharibika Erick Joshua ,katibu wa bodi ya wadhamini West Champions Ligi ,amesema ligi hiyo inaendelea vizuri,Ambapo amesema timu 16 zinashiriki mashindano hayo mbili…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema kuwa Mradi wa Kujenga na Kuimarisha Ushirikiano wa Kikanda wa Afrika Mashariki (EASTRIP) ni muhimu kwa kuwa una kwenda kusaidia katika utekelezaji wa mabadiliko ya kielimu ambayo yameaanza kutekelezwa kupitia Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014, Toleo la 2023 pamoja na Mitaala mipya katika ngazi mbalimbali. Nombo ameyasema hayo Julai 30, 2024 Mkoani Kilimanjaro wakati wa Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Arusha Kampasi ya Kikuletwa Wilayani Hai ambapo amesema kuwa ‘Mradi huo umeshirikisha nchi tatu za…

Read More