Author: Geofrey Stephen

Na Doreen Aloyce,Dodoma SERIKALI ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kufanya Sensa ya uzalishaji Viwandani kwa mwaka wa Rejea 2023(Census of Industrial Production 2023) mwezi machi 2025. Hayo yamesemwa jijini na Waziri wa Viwanda na Biashara,Dkt.Selemani Jafo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa takwimu kuhusu sensa ya uzalishaji Viwandani kwa mwaka wa Rejea 2023 kufanyika mwezi machi 2025. Aidha amesema Sensa ya uzalishaji Viwandani ya mwaka wa Rejea 2023 itakuwa ya kwanza kufanyika katika pande zote mbili za muungano wa jamuhuri ya Tanzania tangu mwaka 1964. Dkt.Jafo ameeleza kuwa suala la takwimu ni miongoni mwa mambo…

Read More

Doreen Aloyce, Dodoma MAANDALIZI YAMEKAMILIKA VYEMA. KATIKA kuadhimisha miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi(CCM),Chama hicho kinatarajia kuwatambulisha Rasmi wagombea wake katika nafasi ya ngazi ya Urais na Makamo kwa wanachama wake Januari 5,2025 jijini Dodoma. Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa leo,Januari 3,2025 Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa CPA.Amos Makalla amesema kuwa jambo kubwa katika sherehe hizo ambapo Mweyekiti wa Chama hicho ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi litakuwa ni kuwatambulisha wagombea wa Urais na Makamu wa Rais Tanzania bara na Tanzania Visiwani. “CCM…

Read More

Na Bahati .Hai Kukamilika kwa ujenzi wa daraja katika kitongoji cha Kibwehehe Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro limewafurahisha Wananchi kwamba litarahishisha usafirishani wa mazao kupelekea masoko mbali mbali nje ya wilaya na ndani likiwamo la Sadala Daraja hilo lililojengwa na Shaabani Mwanga ambeye ni mdau wa maendeleao Wilayani humo , litawapunguza utoro kwa wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari wanaopita eneo hilo hasa kipindi cha masika. Wakizungumza Junuary 3 2025,baada ya uzinduzi huo ulifanyika katika kitongoji hicho,ambapo ni kuinganishi cha vijiji vinne ,wamemshuku mwananchi huyu kwa kuona umuhimu wa kuwajengea daraja hilo. “Ni kweli ameonyesha uzalendo kwa kujenga daraja…

Read More

Siha, Taasisi mbali mbali za kupinga vitendo vya ukat ili ikiwamo ubakaji na ulawiti Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,Wametakiwa kupambana zaidi katika kutoe elimu ambayo itasaidia kujikinga na vitendo hivyo hasa kwa wanafunzi. Haya yamesemwa na Jane Chalamila katibu tawala wa Wilaya hiyo ,katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Sheria Nchi Akizungumza katika maadhimisho hayo, yaliyofanyika katika ukumbi wa Mahakama ya wilaya hiyo, ameomba taasisi hizo zikiwamo za Dini kupambana katika kutoe elimu ya kupambana na vitendo hivyo. “Ni kweli niombe taasisi kutoa elimu tuwape mbinu watoto wetu,tuwape elimu ya kukabiliana dhidi ya vitendo hivyo ili kuwanusuru na watu waovu…

Read More

Na Doreen Aloyce,Dodoma Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejipanga vyema kukamilisha maandalizi yote muhimu ikiwemo miundombinu kwa ajili ya Michuano ya Mpira wa Miguu kwa Nchi za Africa CHAN na AFCON. “Tanzania imejipanga vizuri, kuhakikisha kuwa michuano hii inafanyika hapa Nchini, Serikali inawajibika kuhakikisha inaandaa viwanja na miundombinu mingine.” Ameyasema hayo jijini Dodoma aliposhiriki katika Tamasha la Michezo la Bunge Bonanza lililofanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari ya John Merlin jijini Dodoma. Amesema kuwa tayari ukaguzi wa baadhi ya viwanja umefanyika na vimeonekana kukidhi vigezo “Viwanja vilivyokaguliwa vipo Tanzania bara na Visiwani, na kazi bado inaendelea, lengo ni…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini tarehe 30.01.2025 imetoa elimu juu ya mbinu za kuwaepusha wanafunzi na tatizo la dawa za kulevya kwa viongozi 58 wa matawi ya Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Arusha katika Ukumbi wa Ofisi za Chama hiko jijini Arusha. Walimu Viongozi hao walifundishwa uhusiano wa tatizo la dawa za kulevya na changamoto za afya ya akili, kuwa matumizi ya dawa za kulevya kwa wanafunzi inaweza kupelekea kupata magonjwa ya akili na kufeli darasani. Pia walihamasishwa kushirikiana na Mamlaka katika mapambano dhidi ya tatizo la…

Read More