Na Mwandishi wa A24Tv .Kilimanjaro Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Zuber Kidumo amejikuta akichezea kichapo kikali kutoka kwa diwani mwenzake,ABUU SHAYO wakati akiendesha kikao cha kamati Ya Mipango miji na Ardhi katika manispaa hiyo. Tukio hilo limetokea leo majira ya saa sita mchana wakati kamati hiyo ikiendelea na kikao chake ,ambapo wajumbe wa kamati hiyo walikuwa wakiuliza maswali mbalimbali kwa mstahiki meya huyo ili kupata ufafanuzi wa masuala ambayo wanaona hayako sawa. Mmoja Ya wajumbe wa kamati hiyo Abuu Shayo ambaye ni diwani wa kata Ya mji Mpya,katika manispaa hiyo,alihoji mchanganuo wa sh,milioni 50 zilizotumika kwenye ujenzi wa madarasa…
Author: Geofrey Stephen
Na Doreen Aloyce, Dodoma BAADHI ya wadau wa Mifugo na Uvuvi Tanzania wamesema bado wanakutana na changamoto za masoko ya mazao yao hasa kutoka nchi za nje kutokana na kukosa fursa mbalimbali za kimataifa hali inayowaweka mbali na wawekezaji katika sekta ya kifedha ambazo kama wakikutana nazo wanaweza kuongeza mitaji yao nakuongeza tija ya mazao yao. Wadau hayo yaliyabainisha Jijini Dodoma kwenye maandalizi ya kushiriki mkutano wa Jukwaa la chakula Afrika 2023 ambao kwa mara ya pili unafanyikia nchini Tanzania ambapo wameiomba serikali kuwakutanisha na wafanyabiashara kutoka nje za nchi kwa kuwapa kipombele cha nafasi za maonyesho ya kimataifa. “Tunachangamoto…
Karibu Arusha24Tv leo julai 13 2023 kutazama kilicho Andikwa katika magazeti ya leo yaTanznia mbele na nyuma Hii ni A24Tv . Mwisho
Na Geofrey Stephen .Arusha Naibu Waziri wa Maji,Mhandisi Maryprisca Mahundi. amesisitiza wakandarasi waliosaini miradi ya sh, bilioni 7.282 kukamilisha miradi hiyo kwa wakati ili kuwezesha wananchi wapate maji kwa araka zaidi ikiwemo kuwatua ndoo kichwani wanawake na wananchi kwa ujumla. Mhandisi Mahundi alimetoa maagizo hayo leo Jijini Arusha kwenye halfa ya utiaji saini mikataba minne ya ujenzi wa miradi ya maji vijijini katika wilaya za Arusha . Amesema miradi hiyo ni lazima ikamilike kwa wakati na serikali inauwezo wa kutumia wazawa katika kufanikisha hatua mbalimbali za miradi ya maji hususan ya vipuri. “Tunampongeza Mh Doctar Samia Suluhu Hassan kwa miradi…
Na Geofrey Stephen MIRERANI Mkuu wa Mkoa wa Manyara,Quen Sendiga amewataka wachimbaji wadogo wa Tanzanite ,waliopo katika katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro ,mkoani Manyara, kusaidia kuibua maendeleo katika mkoa huo hususani katika sekta ya elimu ili kuisaidia jamii ya kifugaji kuwapeleka watoto kusoma. Sendiga ametoa rai hiyo jana wakati alipotembelea shule ya msingi ya Saniniu Laizer yenye mchepuo wa kiingereza katika ziara yake ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo,ambapo katika shule hiyo ilijengwa na mchimbaji huyo serikali imepeleka sh,milioni 69 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili na matundu ya vyoo Mkuu huyo wa Mkoa alisema…
Karibu Arusha 24Tv leo Julai 12 Kutazama kilicho Andikwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24Tv . Mwisho .
Karibu Arusha 24Rv leo Julai 11, 2023,Tunakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania Hii ni A24tv . Mwisho .
Na Doreen Aloyce, Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Wizara ya Ulinzi na JKT kuandaa mpango mkakati wa kurekebisha makambi kwenye Jeshi la JKT katika upande wa malezi ya vijana. Dkt .Hassan ameyasema hayo leo jijini Dodoma wakati akishiriki sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la kujenga Taifa (JKT). Aidha amelitaka Jeshi hilo kuliwezesha Shirika la SUMA JKT kupata mikopo ili wazalishe na waweze kurejesha mikopo na shirika liweze kuendelea, na kwamba kama ikitakiwa udhamini wa Serikali itakuwa tayari. Amesema dhamira ya Serikali ni kuiboresha JKT ili liwe Jeshi la kisasa zaidi…
Na Queen Lema,Dar es salam Waimbaji wa Muziki wa injili hapa nchini wametakiwa kuzingatia ubora wa kazi zao, ili kuleta ushindani katika tasnia hiyo ya Muziki ndani na nje ya nchi. Hayo yamesema na Mkurugenzi wa kampuni ya Muziki hapa nchi TanaPlay Mudic Platform Bwana Daniel Mngoma Dcom, wakati akizungumza na A24Tv hili, ofisini kwake Ukonga, Dar es salaam. Mkurugenzi huyo amebainisha kwamba, sanaa ya Muziki pamoja na huduma kwa Ujumla imekua ikipata changamoto hasa sokoni, kutokana na ubora wa kazi kuwa chini. “Ninapozungumzia ubora namaanisha kuanzia Audio na kisha Video, Sisi kama TanaPlay tumekuja na suluhisho ambalo naamini Muziki…
Karibu Arusha24Tv leo Julai 10 kutaza habari kubwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.