Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wa A24Tv . Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya watu wa China zimeahidi kuendeleza uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizo kwa kuzingatia misingi ya uhusiano na ushirikiano wa kirafiki uliokuwepo tangu mwaka 1961 ili kuenzi mazuri yaliyofanywa na waasisi wa nchi zote mbili walioanzisha uhusiano huo. Hayo yalisemwa na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji(Mb.) alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini, Mhe. Chen Mingjian katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam Februari 23, 2023 Dkt. Kijaji alisema Tanzania iko tayali kuendeleza uhusiano huo ili…

Read More

Askofu Mkuu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya kaskazini kati Doctar Solomon Massangwa amekoshwa na utumishi wa Mchungaji aliye maliza muda wake na kustaafu baada ya kutumikia nafasi iyo kwa muda wa miaka 34 huku akitumika.katika nafasi mbali mbali kusaidia jamii Askofu ameyasema ayo wakatika wa ibada takatifu ya kumstaafisha Mchungaji Israel Meitamei ibada iliyo fanyika usharika waSalei ambapo amesema mchungaji Israeli ajituma na.kujitoa katika kufanya.kazi ya.pamoja na jamii bila kusukumwa. Mwisho

Read More

Matukio katika picha kutoka kanisa la KKKT   Usharika wa Salei Mtaa wa Levolosi ibada ya kustaafisha Mchungaji Israel Ole Meitamei Laizer Mchungaji Israel Ole Meitamei akiwa amesimama wakati wa kusomewa historia ya kutumikia.kanisa na katibu Mkuu wa Dayosisi ya Kazkazini kati John Tanaki  Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Kazkazini kati John Tanaki Akisoma historia ya utumishi wa Mchungaji Israel Ole Mitamei Askofu Johannes KutukOle Meliyo kutoka kanisa la kinjili la kilutheri Kenya akiongoza ibada ya Neno la Mungu . Picha ya washarika wakifatilia ibada ya kumstaafisha mchungaji Israel Ole Meitamei  Wachungaji kutoka sharika mbali mbali wakifatilia ibada ya kumstaafisha mchungaji…

Read More

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Baraka Kanunga amewataka wakazi wa eneo hilo kuachana na tamaa ya fedha na kutouza ardhi kiholela. Kanunga ameyasema hayo kwenye uzinduzi wa elimu ya afya ya uzazi wa mpango kwa kina baba na ahadi ya ukarabati wa madarasa ya shule ya msingi Komolo na ujenzi wa madarasa ya shule shikizi ya Olembole utakaofanywa na shirika la ECLAT Foundation. Amesema ardhi ndiyo urithi wao uliobakia kwa jamii hivyo wakazi wa eneo hilo waachane na tabia ya kuiuza kwani aiongezeki ila binadamu wanazidi kuongezeka kila siku. “Nawapongeza mno…

Read More

Na dorin Aloyce Dodoma . MFUKO wa Afya Ngazi ya Jamii (CHF) umelalamikiwa na Waganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri (RMOs) kutokana na kutokidhi mahitaji ya wananchi kupata huduma za afya katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Akizungumza leo Februari 20 2023, jijini Dodoma Mwenyekiti wa RMOs Dkt. Best Magoma wakati akiwasilisha risala yake kwa Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema CHF imekuwa ikilalamikiwa na wananchi namna ya utoaji wa huduma za matibabu wala upatikanaji wa dawa. Akijibu risala hiyo, Dkt. Mollel amesema ni kweli kumekua na malalamiko makubwa ya wananchi kutokupata huduma zinazokidhi viwango kupitia kadi za CHF na…

Read More