Author: Geofrey Stephen

Mawatambiana kila mmoja kumshinda mwenzake viwanja vya John Merin Dodoma Doreen Aloyce,Dodoma Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzni linatarajiwa kufanya bonanza la Michezo mbalimbali jijini Dodoma, ambalo litawakutanisha wabunge, watumishi wa Bunge, na mashabiki wa michezo. Bonanza hili linalenga kuhimiza watu kufanya mazoezi mara kwa mara ili kuepuka magonjwa yasiyoambukiza na kupunguza mzigo wa matibabu kwa jamii. Mwenyekiti wa Bunge Bonanza, Festo Sanga, amesema bonanza hili limeendelea kukua na mwaka huu linatarajiwa kuwa kubwa zaidi kuliko mabonanza yote yaliyopita. Tunataka kuona watu wakichangamkia fursa ya kufanya mazoezi ili kuboresha afya zao, Pia, tunalenga kuimarisha mahusiano kati ya wabunge na…

Read More

Hai, Mkuu mpya wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Hassani Bomboko,amewataka Watendaji wa Kata vijiji,Wakuu wa idara ,watumishi wa Taasisi za Serikali Wilayani humo , kutokukaa ofisini muda mwingi na badala yake watoke na kuwapelekea huduma Wananchi Kauli hiyo ameitoa wakati makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Lazaro Twange ambaye kwa sasa amahamishiwa Wilayani ya Ubungo jijini Dar es salaam , yaliyofanyika katika ukumbi wa halmshauri hiyo. Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa ofisini , amewataka watumishi hao muda mchache kuwa ofisini na muda mwingi kuwekeza katika kutatua kero za Wananchi Bomboko amesema Wananchi wengi maeneo mbali mbali…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Serikali ya Tanzania imesema Iko tiyari kukaa meza moja kwa mazungumzo na uongozi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHPR) ili kushughulikia changamoto zilizopelekea kujiondoa kwenye itifaki iliyoanzisha Mahakama hiyo. Tanzania ilikuwa moja ya nchi nane wanachama wa Afrika zilizotiasaini tamko la Kifungu cha 34(6) la kuruhusu watu binafsi na mashirika binafsi ‘NGO’ kuwasilisha kesi moja kwa moja katika mahakama ya ACHPR kabla ya kujiondoa baadae. Dk Ndumbaro amesema, Tanzania ilikumbwa na changamoto katika kutekeleza baadhi ya maamuzi ya Mahakama hiyo, hasa katika kesi zinazohusisha wafungwa waliopatikana na hatia kwa makosa…

Read More

Na Mwandiahi wa A24tv . Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa niaba ya Kamishna Jenerali *ARETAS JAMES LYIMO* leo tarehe 29.01.2025 imeteketeza Kilogramu 204.8165 za dawa za kulevya katika Dampo la Muriet lililopo katika Halmashauri ya Jiji la Arusha. Katika Kilogramu 204.8165 zilizoteketezwa, mirungi ilikuwa ni Kilogramu 172.8165 na bangi kavu ilikuwa Kilogramu 32.0 yote ikihusisha jumla ya watuhumiwa 33 waliokamatwa kwa makosa ya kupatikana na dawa hizo ambapo kati yao watuhumiwa Wanaume walikuwa 25 na Wanawake walikuwa Nane ambapo wote walikamatwa katika operesheni zilizofanyika kuanzia Januari 2024 hadi Januari 27, 2025…

Read More

Siha, Wakuu wa shule na walimu wathibiti ubora wa ndani Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Wametakiwa kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao ipasavyo ili kuwezesha halmshauri kuendelea kufanya vizuri kitaaluma Hayo yamesemwa na Mkurungenzi Mtendaji wa halmshauri hiyo Haji Mnasi wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea walimu hao uwezo wa kutekeleza majukumu yao ipasavyo , ambapo mafunzo hayo yanayotolewa na idara ya uthibiti ubora wa shule Wilayani humo. Akizungumza mara baada ya kufungua mafunzo hayo, yaliyofanyika ukumbi wa Kilasta SanyaJuu, Junuary 29 2025 amewataka walimu hao kutekeleza majukumu yao ipasavyo ili kuhakikisha halmshauri kuendelea kufanya vizuri kitaaluma ” Ni kweli kuanzia muhula huu wa…

Read More

Siha, Wananchi Wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro wametakiwa kujitokeza katika maadhimisho ya juma la Sheria ili kupata elimu itakayo wasaidia kufahamu haki zao za msingi pindi wanapopata matatizo mbali mbali ikiwamo yakufanyiwa dhuluma Kauli hiyo imetolewa na Idrisa Mndeme Makamu Mwenyekiti wa Jumuhiya ya maridhiano na Amani Tanzania (JMAT),Wilaya ya Siha mkoani hapa, wakati wa uzinduzi wa maadhimisho haya yaliyofanyika soko la SanyaJuu Wilayani humo. Akizungumza mara baada uzinduzi huo,amewataka Wananchi kutumia frusa hiyo inayowafanya watamvue haki yao ya msingi “Wananchi hii ni wiki ya Sheria jitokezeni kwa wingi kwenye maeneo yenu yaliyotajwa ili mpate frusa ya kuuliza na kujua nini…

Read More

Watumishi wa  Halmashauri ya Jiji la Arusha wametakiwa kusimamia na  kuwa wazalendo katika matumizi sahihi ya mitambo mipya iliyonunuliwa kwa lengo la matengenezo ya barabara za ndani ya jiji ambazo hazina viwango vya TARURA. Mapema leo katika viwanja  vya mgambo Akizindua mitambo hiyo iliyogharimu  zaidi shilingi bilioni 1.7, Meya wa Jiji la Arusha Maxmillian Iranqhe amewataka watendaji hao kuhakikisha lengo linatimizwa la kuwa na barabara za ndani zenye ubora ili wananchi wafanye majukumu yao ya kulijenga taifa katika mazingira rafiki. Hata hivyo amesisitiza suala la Madiwani na Watendaji wa mitaa kusimamia usafi wa mitaa unaofanyika kila siku ya jumamosi…

Read More