Author: Geofrey Stephen

NaGeofrey Stephen Samunge  Arusha . Asante Nabii Mkuu GeorDavie tumepokea hundi ya Millioni 100.  ijumaa ya tarehe 27 imekua siku ya historia kwa wafanyabiashara wa soko la Samunge Jijini Arusha mara baada ya Nabii Mkuu wa Kanisa la Ngurumo ya Upako, Dr,GeorDavie, kukabidhi rasmi hundi ya sh,milioni 100 aliyoahidi kwa wafanyabiashara hao wa soko la Samunge na kuibua shangwe kwa wafanyabiashara hao Nabii GeorDavie alitoa ahadi hiyo januari 23 mwaka huu katika soko hilo, baada ya kupokea maombi kutoka kwa wafanyabiashara hao juu ya uhitaji kutokana na kuunguliwa kwa soko hilo miaka minne iliyopita na kupoteza Mali zao .…

Read More

Na Geofrey Stephen .Arusha. Arusha.Waziri wa Mali asili na Utalii Pindi Chana ameitaka bodi mpya ya Taasisi ya utafiti wa wanyama pori Tanzania Tawiri kuongoza mamlaka hiyo kidigitali na kuongeza idadi ya watalii nchini kwa kufikia million  5  ifikapo  mwaka 2025. Ameyasema hayo  leo jijini Arusha wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya 6 ya  Mamlaka ya usimamizi na utafiti  wa wanyama pori Tanzania ( TAWIRI) ambapo amewataka  kushirikiana na mamlaka ya wanyama pori kuendeleza sekta ya utalii . Amesema kuwa, endapo wataongeza watalii watainua mapato ya sekta ya utalii kwani  kwa sasa mapato ya mchango wa utalii kwa serikali …

Read More

Wafanyabiashara wameshauriwa kuhakikisha wanatumia fursa ya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi nane za majaribio za kuuza bidhaa chini ya Mkataba wa Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA) kuanzia Julai 1, 2023 kwa kupeleka bidhaa zenye viwango na ubora wa kimataifa. Wito huo umetolewa na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) wakati wa Mkutano wa kuwajengea uwezo na kuwahamasisha Wanyabiashara kuhusu kuchangamkia fursa za biashara chini ya AfCFTA uliofanyika Januari 24,2023, JNICC Dar es Salaam. Aidha, Dkt Kijaji amesema kuwa malighafi zikipelekwa nje ya nchi zinawanyima watanzania ajira na zinapoxhakatwa na kuletwa nchini tunazinunua kwa gharama kubwaa.…

Read More

Waziri wa mali asili na utalii Pindi Chana ameitala bodi mpya ya mamlaka ya utafiti wa wanyama pori nchini Tawiri kuongoza mamlaka iyo kidigital na kuongeza idadi ya watalii nchini kwa kufikia million tano kwa mwaka 2025 Ameyasema ayo wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya sita ya  mamlaka ya usimamizi na utafiti  wa wanyama pori tawiri waziri chana amesema kwa kushirikiana na mamlaka ya wanyama pori kuendeleza sekta ya utalii ambapo bidi iyo mpya ndio majukumu yao Amesema endapo wataongeza watalii watainua mapato ya sekta ya utalii ambapo kwa sasa mapato ya mchango wa utalii kqa serikali  asilimia 17…

Read More

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya Kazi Wakuu wa Wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye vituo vyao.  Kati ya Wakuu wa Wilaya hao 140, Wanawake ni 40 na Wanaume ni 100 ambao ni kama ifuatavyo: A) WAKUU WA WILAYA WAPYA: Felician Gasper Mtahengerwa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha  Marko Henry Ngu’mbi – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido Emmanuela Kaganda Mtatifikolo – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru. Gerald R. Mongella – Ameteuliwa…

Read More

Na Doreen Aloyce, Dodoma. SERIKALI kupitia Wizara ya Habari ,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeunda kamati kwa ajili ya kutathimini vyombo vya habari kiuchumi na kiutendaji. Akiongea na waandishiwa habari leo,Januari 24,2023 ,Waziri wa Wizara hiyo Nape Nnauye amesema kuwa hayo ni kutokana na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani kutoridhishwa na uchumi wa vyombo vya habari na waandishi wa habari ambapo ameagiza wizara kuona namna ya kushughulikia jambo hilo na kulifanyia utatuzi. Nape amesema kuwa kutokana na agizo la Rais,Wizara hiyo imeunda kamati ya watu nane ikiongozwa na Tido Mhando ambaye ni mwenyekiti,Gregson Msigwa Katibu,Dk.Rosse Rubeni Mjumbe,Joyce Mhavile, Mjumbe,Sebastian Maganga,…

Read More

Na Emmanuel mkulu Njombe Katekista wa kanisa la Roman Catholic parokia ya Mlangali wilayani Ludewa mkoani Njombe Simon Njavike (43) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya hiyo kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu(17) ambaye jina lake limehifadhiwa. Akisomewa shitaka hilo na mwendasha mashtaka Angelo Marco mbele ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya Ludewa Isaac Ayengo imeelezwa kuwa mshtakiwa huyo ni mwalimu wa watoto wa kipaimara na binti huyo ni mmoja wa wanafunzi hao na amekuwa akifanya vizuri katika mafunzo hayo hivyo katekista huyo alimpa sh. 10,000 kama zawadi ya kufanya vizuri kwenye mafunzo hayo. Amesema…

Read More