Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wa A24Tv Tawi Jipya ndani ya Jiji la Arusha Benki ya United of Afrika (UBA) imezindua Tawi Lake jipya la likiwa ni miongoni mwa matawi 8  ndanibya jijini Arusha, Ambapo wafanyabiashara katika Jiji la Arusha na viunga vyake wametakiwa kuchangamikia fursa ya kupata mikopo yenye riba nafuu kwa lengo la kukuza biashara Akiongea Katika uzinduzi wa tawi la benki hiyo iliyopo katika kata ya Levolosi mkabala na Ofisi ya Shirika la nyumba la taifa (NHC),Naibu Katibu Mkuu Wizara ya fedha na Mipango bw.Lawrence Mafuru,kwa niaba ya Waziri wa fedha na Mipango dkt.Mwigulu Nchemba aliitaka benki hiyo kuongeza uwekezaji…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha Nabii Mkuu wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Geor Davie ametoa hundi ya sh,milioni 100 kwaajili ya kusaidia wafajasiamali wa soko la Samunge lililopo Kata ya Kati Jijini Arusha ili waweze kujionea kiuchumi. Aidha amesena kuwa yeye sio mwanasiasa bali anamshukuru Mungu kwani baraka imekuja na kutoa rai kwa viongozi wa dini rudisheni sadaka walizotoa waumini wetu Pia alishukuru wananchi waliobeba picha na mapokezi mazuri na kusema kuwa awali aliandaa hundi ya sh,milioni 50 lakini baada ya kuona umati huo na chagamoto za soko hilo ameongeza tena sh,milioni 50 nyingine. Alisema sh,milioni 80 inaenda kwa watu…

Read More

Na Emmanuel Njombe . Mamlaka ya udhibiti wa mbolea Tanzania TFRA imetangaza kufuta leseni ya wakala wa mbolea aliyekamatwa akitakatisha mbolea mkoani Njombe na kuwauzia wakulima kinyume Cha sheria. Akitangaza hatua hiyo mkurugenzi wa mamlaka ya udhibiti wa mbolea Tanzania TFRA Dokta Stephan Ngailo baada ya kuzulu mkoani Njombe na kushuhudia nyumba nyingine ya mfanyabiashara huyo iliyopo mtaa wa Kwivaha mjini Njombe ambayo imekuwa ikifanya kazi ya kuhamishia mbolea zinazochakachuliwa amesema licha ya kufuta leseni hiyo lakini anapaswa kushtakiwa kwa tuhuma anazokabiliwa nazo. Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa amesema hadi sasa zaidi ya watu 10 wanashikiliwa…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Njombe Serikali mkoani Njombe imekamata nyumba chakavu inayotajwa kutumiwa na mfanyabiashara (jina linahifadhiwa) kwa ajili ya kuchakachua mbolea zikiwemo za ruzuku katika mtaa wa Ramadhani uliopo halmashauri ya mji wa Njombe na kwenda kuwauzia wakulima. Kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Njombe iliyoongozwa na mkuu wa mkoa huo Anthony Mtaka imefika katika eneo la nyumba hiyo na kukuta shehena ya marobota ya mifuko yenye mbolea na isiyokuwa na mbolea ya ruzuku pamoja na vifaa vingine vinavyotumiwa kwa ajili ya kuchakachua mbolea. “Tumebaini uwepo wa nyumba ambayo kuna mfanyabiashara anaitumia kuchakachua mbolea,kwa hiyo tumejionea wenyewe marobota…

Read More

Na mwandishi wa  A24Tv kilimanjaro Serikali imetuma timu maalum kwenda mkoani Kilimanjaro kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo vya ulawiti katika baadhi ya shule mkoani humo kama ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari mwanzoni mwa wiki hii. Akizungumza na Waandishi wa Habari katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma,Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda amesema timu hiyo inaongozwa na kamishna wa elimu, Mwanasheria wa Wizara na Mkurugenzi wa Uthibiti Ubora. “Tumeshtushwa sana na jambo hilo,tumelichukua suala hili kwa umuhimu mkubwa tumeongea na Mkuu wa Mkoa na kama kuna jinai yeyote basi hatua za kisheria zichukuliwa mara moja.” Amesema Waziri…

Read More

Na Masanja Mabula PEMBA KIJANA Fadhili Musa Sharif 35 mkaazi wa Kifumbikai Wete amehukumiwa ma Mahakama maalum ya kupambana na makosa ya udhalilishaji Mkoa wa Kaskazini Pemba kutumikia chuo Cha mafunzo miaka 30 baada ya kwa kosa la kumlawiti mvulana mwenye umri wa miaka 15. Hukumu hiyo imetolewa Jana na hakimu wa mahakama hiyo Ali Abdulrahman Ali. Imedaiwa mahakamani hapo na mwendesha mashitaka wa Serikali Juma Mussa Omar kuwa mshitakiwa huyo alitenda kosa hilo tarehe 27 /7/2021 majira ya saa sita na nusu usiku huko Kifumbikai Jambo ambalo ni kosa kisheria kinyume na kifungu Cha 115(1) Cha Sheria namba 6…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv. Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ikungi Nd. Mika Tano Likapakapa ameongoza wajumbe wa kamati ya siasa, Sekretariati pamoja na mkuu wa wilaya ya ikungi Mhe. Jerry C. Muro na mwenyekiti wa halmashauri ya ikungi Mhe. Ali Mwanga na watendaji kutoka halmashauri ya ikungi wameanza ziara ya siku tano ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika kata ya kintuntu Katika ziara hiyo ambayo pia ilijumuisha vikao vya ndani vya kiutendaji baina ya wajumbe wa halmashauri za vijiji na uongozi wa ccm kuanzia tawi na kata wananchi walipata nafasi ya kupewa taarifa ya utendaji kazi na miradi…

Read More