Karibu Arusha 24Tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo tarehe 12 katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24Tv
Author: Geofrey Stephen
Karibu Arusha 24Tv kupitia Vichwa vya habari katika Magazeti ya leo tarehe 11, 2023 ya Tanzania yalio Andikwa mbele na nyuma Hii ni A24Tv.
Na Mwandishi wa A24Tv Arusha Afariki dunia baada ya kuchapwa fimbo 280 baada ya kuporomosha matusi ya nguoni mama yake mzazi alikua ni kijana mwenye tabia mbaya ya kutukana baada ya kunywa pombe. Kijana mwenye umri (32 ) Nelson Mollel mkazi wa sanawari ,Arumeru Mkoani Arusha amefariki dunia baada ya kucharazwa fimbo 70 za kimasai kwa utovu wa nidhamu. Akizungumza na waandishi wa habari dada wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la jacline Elias Mollel amesema kijana uyo ametandikwa fimbo 280 badala ya fimbo 70 pamoja na kumwagiwa Tindi kali eneo la kiunoni na kupoteza maisha . Jacline amesema kwamba Awakatai,…
Jumanne ya leo tarehe 10 mwezi January 2023 Tunakukaribisha kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo yaTanzania mbele na nyuma Hii ni A24Tv.
Katibu Mwenezi wa Chama cha Tanzania Labour Party Taifa Geofrey Stephen amefika kutoa mkono wa pole kwa Mwandishi nguli wa kituo cha matangazo cha Radio five ya jijini Arusha aliye fiwa na Baba yake mzazi eneo la Ngaramtoni wilayani Arumeru Mkoani Arusha . Katibu mwenezi aliambatana na waandishi mbali mbali wakubwa Jijini Arusha kutoa pole akiwemo Geofrey Thomas wa Ayo Tv Asiraj Mvungi wa ITV Radio One Jamila Omary wa Channel Ten Marry Mwita wakili wa kujitegemea pamojana Farhia Middle wa Radio one na ITV Dar es Saalam . Waandishi wengine waliofika katika Msiba huo ni pamoja na Ashura Mohamed…
Mkuu wa wilaya Mhe. Jerry C. Muro leo 09/01/2023 amefanya ziara ya mwisho ya ukaguzi wa miradi miwili ya maji ya kata za mtunduru na irisya jimbo la singida magharibi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uzinduzi wa miradi hiyo siku ya jumanne tarehe 10/01/2023 uzinduzi utakaofanywa na Mkuu wa mkoa wa singida Mhe. Peter Serukamba. Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mhe. Muro amejiridhisha kuwa miradi imekamilika na wananchi wameanza kuyatumia maji safi na salama na kuwaomba wananchi wa kila eneo lenye mradi kujitokeza kwa wingi kesho. Awali meneja wa Ruwasa wilaya ya Ikungi Mhandisi Hope Liundi amefafanua kuwa…
Karibu Arusha 24Tv leo January 9, 2023, kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania,Hiini A24Tv
Jumapili ya leo January 09,2023 Kupitia kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24Tv.
Juma Mosi ya leo tarehe 07,2023 Karibu kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24Tv.
Na Emmanuel wa A24Tv. Waziri wa habari,mawasiliano na teknolojia ya habari Nape Nnauye amesema kutokana na kasi ya ukuaji wa teknolojia hakuna budi serikali ikaendelea kuwekeza kwenye sekta ya mawasiliano kwa kujenga minara ya simu inayoweza kusaidia kupunguza adha kwa wananchi. Nape ametoa kauli hiyo Wakati akizindua mnara wa simu wa Vodacom katika Kijiji cha Kinenulo kata ya Imalinyi Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe uliojengwa kwa ushirikiano na serikali kupitia mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF na hivyo Ni lazima kuwekaza kwenye mawasiliano ili kuendana na teknolojia hiyo. Justina Mashiba ni mtendaji mkuu wa mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF…