Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen kilimanjaro Mabalozi wa Nabii Mkuu Dkt GeorDavie  wamesherehekea miaka 61 ya uhuru wa Tanzania kwa kupandisha picha ya Nabii Mkuu Mh Dkt Geordavie kama njia ya kutambua mchango wake katika kuisaidia jamii ya watanzania na Dunia kwa ujumla. Pia wamepandisha picha ya Nabii Mkuu kama njia mojawapo ya kuitangazia dunia na mataifa mchango wa Nabii Mkuu Dkt Geordavie kwa namna anavyojitoa kuwasaidia watu wasiojiweza. Umoja huo ambao ni mabalozi wa kazi ambazo amekua akizifanya Nabii Mkuu Dkt Geordavie wamekuwa wakizitangaza katika mitandao ya kijamii walianza rasmi mchakato wa kupandisha picha hiyo mnamo Desemba 5 mwaka huu kuelekea…

Read More

Mwandishi wetu,Dar es Salaam Serikali imeshauriwa kufanya maboresho ya sheria za habari ili kuvipa uhuru vyombo vya habari na wadau wa habari kutekeleza vyema majukumu yao. Baadhi ya sheria ambazo zinasimamia tasnia ya habari na uhuru wa kutoa maoni nchini, zimetajwa kuminya uhuru wa habari na uhuru wa kujieleza . Sheria hizo pia zinatajwa kukinzana na Katiba ya Jamuhuri yha Muungano wa Tanzania, Ibara ya 18 na kifungu cha 19 cha Azimio la Umoja wa mataifa juu ya haki za binaadamu la mwaka 1948 vifungu ambayo vinazungumzia uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa kutoa habari na kukusanya habari…

Read More

Na Geofrey Steven,Arusha. Kaimu afisa elimu sekondari mkoa wa Arusha Emmanuel Mahundo amewataka vijana kuwa waadilifu ,waaminifu pamoja na kuendelea kujiendeleza kimasomo ili kukidhi katika soko la ajira duniani Ameyasema hayo katika maafali ya 5.katika chuo cha Volcano kilichopo mkoani Arusha na kubainisha kuwa soko la ufundi stadi ni kubwa na ni la dunia nzima hivyo ni vyema wakaendelea kujiendeleza na elimu za mafunzo stadi ili kuweza kufikia ndoto zao. “Baada ya mfumo rasmi serikali ikaona ni vyema kukawa na elimu ya ufundi kwani serikali imetoa fursa katika elimu hii,”.Alisema Mahundo. Alisema kama wanafunzi hao wameshindwa katika elimu rasmi serikali…

Read More

Na Ahmed Mahmoud Ujenzi unaoendelea wa Reli ya kisasa SGR LOT 5 ISAKA-MWANZA unatarajiwa kufungua biashara Kati ya Mwanza na Dar es Salaam ukikamilika ifikapo mwezi wa 5 mwaka 2024. Akizungumza wakati wa ziara ya waandishi wa Habari waliotembelea Mradi huo wa ISAKA Mwanza Meneja Mradi huo Christopher Kalist Amesema kwamba mradi huo kiuchumi una manufaa na kuwataka wawekezaji kuanza kuwekeza Kwa Sasa. Aidha alisema Lengo la Serikali kujenga mradi huo ni kufungua biashara za hapa ndani na nje ya nchi ikiwemo mataifa tunayopakana nayo Ili wananchi wapate huduma ya haraka kutoka eneo Moja kwenda jingine. Kwa mujibu wa Mhandisi…

Read More

Mabalozi wa Nabii Mkuu Geordavie  Tanzania wesherekea miaka 61 ya uhuru wa Tanzania kwa kuapandisha picha ya Nabii Mkuu Mh Geordavie kwa lengo la kutambua mchango wake katika kutumikia jamii ya watanzania na Dunia kwa ujumla Umoja huo ambao ni mabalozi wa kazi ambazo amekua akifanya Nabii Mkuu kwa jamii na kuzitangaza katika mitandao ya kijamii walianza rasmi mchakato wa kupandisha picha iyo mnamo tarehe 5 kuelekea kilele cha mlima kilimanjaro tarehe 9 Mwezi Dwcember ambayo ni siku ya uhuru wa Tanzania ambapo Dunia kwa ujumla ilikua ikifatilia zoezi ilo la viongozi wa serikali pamoja na wanachi kupanda mlima huo…

Read More

Na WyEST, DAR ES SALAAM Wito umetolewa kwa Vyuo vyote nchini kufanya _tracer study_ ya wahitimu kutoka katika vyuo vyao ili kupata mrejesho wa waajiri kuhusu utendaji kazi na umahiri wa wahitimu. Wito huo umetolewa Jijini Dar es Salaam na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wakati wa mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph ambapo amesema kwa kufanya hivyo itasaidia kupata tathmini juu ya elimu inayotolewa katika vyuo hapa nchini. “Kila chuo kinajua kinafundisha vizuri na wanafunzi wake wanafanya vizuri lakini _tracer study_ itatusaidia kujua kutoka kwa waajiri iwapo wahitimu wana viwango wanavyotaka au…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Rajabu Mollel ambaye ni mkazi wa Ngaramtoni wilayani Arumeru Mkoani Arusha amenusurika kuuuwawa kwa mapanga na watu wabaodaiwa kuwa ni ndugu zake wa damu kisa kugombea shamba Aidha tukio hilo ambalo lilitokea hivi karibuni limewausisha dada,pamoja na watoto Dada mkubwa wa rajabu  kutokana na kile kinachodhaniwa kuwa ni mgogoro wa ardhi ambayo iliachwa  kama urithi. Akiongea na waandishi wa habari Bw Rajabu Mollel alisema kuwa mgogoro huo wa ardhi umetokana na urithi ambao alipewa na kaka yake ajulikane kwa jina la Abdi Sulemani ambaye kwa sasa ni marehemu, Mollel amedai kuwa wakati kaka yake anampa ardhi…

Read More