Author: Geofrey Stephen

Gofrey Steven ,Arusha  Arusha.TUME ya Sayansi na Teknolojia ya vyuo vikuu  COSTECH,imepongeza Chuo kikuu cha Dar es Salaam na Chuo cha ufundi Arusha kwa kuanzisha programu maalumu ya mafunzo ya ujasiriamali na biashara kwa wanafunzi wa shule za sekondari za mkoa wa Arusha  ili kuwawezesha kuibua miradi  itakayowawezesha kujiajiri baada ya kuhitimu masomo yao. Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Ndaki ya Costech,Elasto Mnyuka kutoka Costec wakati akitunuku vyeti kwa wanafunzi na walimu wa shule hizo waliofanya vizuri katika kuwasilisha miradi yao ya ubunifu hafla iliyofanyika chuo cha ufundi Arusha ATC. Amesema kupitia Programu hiyo ya Future Stay Business wanafunzi…

Read More

Mwandishi wetu, Babati Timu ya soka ya Makilayoni FC juzi imetwaa ubingwa wa michuano ya Chem chem CUF 2022 baada ya kuichabanga timu ya Mdori FC kwa penati 4-2 katika mchezo wa fainali uliochezwa uwanja wa Mdori wilayani Babati,mkoa Manyara. Katika mchezo huo, ambao mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa mkoa Manyara, Makongoro Nyerere hadi dakika 90 zilipomalizika timu hizo zilitoka zimefungana 1-1. Baada ya ushindi huo mabingwa hao ambao wametwaa mara mbili mfululizo mwaka2021 na 2022 wakipewa zawadi ya fedha taslim sh 1 milioni kombe lenye thamani ya sh 1 milioni na Mpira. Katika michuano hiyo ambayo mwaka huu lengo…

Read More

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo kuhusu kuendeleza ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji baina ya Tanzania na Indonesia na Balozi wa Indonesia nchini Mhe. Tri Yogo Jatmiko Disemba 6, 2022 katika Ofisi za Wizara, jijini Dodoma. Waziri Kijaji amemhakikishia Balozi huyo kuwa Tanzania iko tayali kuendeleza ushirikiani baina ya nchi hizo na iko tayari kuwezesha miradi ya uwekezaji hususani katika sekta ya kilimo hasa katika uongezaji wa mnyororo wa thamani katika mazao ambayo nchi hiyo imepanga kuyaendeleza kama vile karafuu ili kuongeza ajira na kipato kwa wanzania.

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv . Wakati Tanzania ikiendelea kupinga ukatili wa Kijinsia kupitia siku 16 za kabilibiana na janga hilo mkuu wa wilaya ya Njombe Kissa Kasongwa amesema hata vitendo vinavyofanywa kwa wanafunzi mbalimbali ikiwemo kuwanunulia simu,gari na hata kuwapangishia nyumba ni ukatili pia unaopaswa kupigwa vita. Katika mdahalo wa kupinga ukatili wa kijinsia ulioandaliwa na shirika la wanawake katika sheria na maendeleo barani Afrika @wildaftz kupitia mradi wa mwanamke Imara ukihusisha wanafunzo wa vyuo vikuu na vyuo vya kati takribani sita Kasongwa amesema ipo haja ya kuongeza nguvu katika kupinga ukatili huo kwa wanafunzi na watoto nchini. Aidha Kasongwa…

Read More

Na Geofrey Stephen . Arusha Naibu Waziri wa Uwekezaji ,Viwanda na Biashara,Exaud Kigahe amewataka wawekezaji wanaoshindana katika sekta ya viwanda,ndege na makampuni ya utalii kutumia teknolojia rafiki ili kupunguza utoaji wa hewa ya ukaa inayochangia mabadiliko hasi ya tabia nchi. Hayo yalisemwa jana Jijini Arusha na Naibu Waziri Kihage wakati wa ufunguzi wa kongamano la madhimisho ya Ushindani Duniani katika kilele cha siku ya ushindani Duniani. Naibu Waziri wa Uwekezaji ,Viwanda na Biashara,Exaud Kigahe Akifungua Mkutano huo  Alisema endapo endapo kampuni hizo zitazingatia matumizi sahihi ya matumizi ya hewa ukaa itasaidia kupunguza hewa ukaa inayochangia mabadiliko ya tabia nchi. Alisema…

Read More