Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen Arusha Kiongozi mkuu wa huduma ya Ngurumo ya upako yenye makao makuu jijini Arusha,Mh Dkt Nabii Geor Davie ameendelea kuwa baraka kwa wahitaji wenye mahitaji ya kimwili pamoja na kiroho kwa kuwapa vijana bajaji na piki piki . Aidha Nabii Dkt Geor Davie amekuwa mwangaza hata kwa taasisi za Serikali kwa kuwa amejijengea tabia ya kuwasaidia kwenye maitaji mbalimbali wakiwemo Askari Magereza . Wakizungumza na Arusha 24Tv Vijana waliopewa Bajaji  na kusema kwamba kwa sasa wamefanikiwa katika Maisha kwani Nabii Dkt Geor Davie.amekua Msaada kwa Vijana na kina Mama jambo ambalo ni baraka sana kwao . “Baba…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv . Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amezihamasisha nchi za Afrika kutumia lugha ya kiswahili ili kuondoa changamoto ya lugha katika kufanya biashara ili kuleta maendeleo ya viwanda. Aidha Waziri Kijaji amewataka wafanyabiashara wa Tanzania kuzalisha bidhaa zenye viwango vya kimataifa ili kikidhi usindani wanapotumia fursa za soko la Eneo Huru la Biashara Afrika ( AfCFTA). Waziri Kijaji ameyasema hayo Novemba 23, 2022 wakati akishiriki katika Mkutano ngazi ya Baraza la Utendaji la Mawaziri katika Mkutano wa 17 wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika kuhusu…

Read More

Na Geofrey Stephen A24Tv Nabii Mkuu Mh GeorDavie  Amekabidhiwa Tuzo ya Heshima Nchini Burundi itwayo Mandela Peace Center   kwa kutambua mchango wake katika kusaidia jamii yenye uwitaji . Akiwa nchini Burundi Mh Nabii Geordavie Amekabidhiwa Tuzo iyo kama Baba wa Amani Duniani kwa kutambua Mchango wake wa kusaidia jamii katika mambo mubimu ikiwemo  watu wenye matatizo mbali mbali na wenye uwitaji . Pamoja na tuzo hiyo Nabii Mkuu Mh Geordavie alipata Fursa ya kukutana na viongozi mbali mbali nchini humo kwa mazungo ambapo alielezea ziara yake ilivyo lenga kuwagusa wenye maitaji. Amesema yeye kupewa tuzo iyo imemuongezea kufanya kazi zaidi…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Wajawazito wametakiwa kuzingatia lishe bora inayoambatana na kufanya mazoezi wakati wote wa ujauzito ilibkulinda Afya ya mama na Mtoto. Hayo yameelezwa na Mkuu wa wilaya ya Tameke Joketi Mwegelo kupitia hotuba yake iliyosomwa na Mtendaji wa kata ya Charambe Theodora Malata katika hafla ya kuelekea uzinduzi wa Temeke Maternal Jogging uliofanyika mwishoni mwa wiki katika Hospitali ya Zakhem wilayani Temeke ,Dar es Salaam ukiwa na lengo la kuihamasisha jamii kuhusiana na lishe bora wakati na baada ya ujauzito utakaosaidia kujenga kizazi bora. DC Joketi kupitia kwa muwakilishi wake Theodora ameishukuru Kampuni ya Hatua Group Afrika inayoratibu…

Read More

Na Mwandishi wetu, Mirerani Wakazi wawili wa mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Frank Msuya Batezi na Nico Anthony Ngowo, wanashikiliwa na polisi kwa kumbaka msichana muuzaji wa baa na kisha kumuingizia chupa ya bia njia ya haja kubwa. Batezi na Nico inadaiwa kuwa walishirikiana na wenzao wengine wawili ambao walikimbia, kumbaka na kumlawiti msichana huyo kisha kumuingizia chupa ya bia njia ya haja kubwa. Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, George Mutabazi amethibitisha kukamatwa kwa watu wawili kwa kudaiwa kumbaka na kumlawiti msichana huyo. Kamanda Mutabazi amesema wanatarajia kuwafikisha mahakamani watuhumiwa hao wawili wakati wowote…

Read More