Author: Geofrey Stephen

KIASI cha shilingi bilioni 45 kinatarajia kuwanufaisha watoto wa kike na wanawake zaidi ya 7000 kutoka wilaya 12  nchini Tanzania kupitia  mradi wa uwezeshaji na ujuzi (ESP)  programu ya miaka 7 (2021-2028) Mradi huo unatekelezwa na Muungano wa vyuo na Taasisi za ufundi Canada (CICan) kwa  ushirikiano wa karibu na wizara ya elimu,sayansi na teknolojia Tanzania (MOEST)kupitia idara ya elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi (DTVET)unaofadhiliwa na serikali ya Canada. Akizungumza na waandishi wa  habari jijini Arusha leo katika warsha ya siku nne ya muelekeo wa  ubia kwa ajili ya mpango huo,Mshauri wa mradi wa uwezeshaji kupitia ujuzi…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha  MAMLAKA ya Udhibiti ,Usafiri Ardhini (LATRA)mkoa wa Arusha imetangaza kusitisha kutoa leseni kwa magari madogo ya abiria aina ya Haice na Noar katika jiji la Arusha na kuwataka wamiliki wa magari hayo ya biashara kujipanga kwa kununua magari makubwa. Aidha amewataka wasafirishaji kuzingatia mwongozo wa serikali kwa kutoa tiketi mtandao kwa mfumo wa kielekitroniki na wale wanaoendelea kukaidi wajiandae kisaikolojia kuoigwa adhabu kali. Akiongea katika ziara ya naibu waziri wa ujenzi na uchukuzi, Atupele Mwakibete ambaye alitembelea  ofisi za mamlaka hiyo jijini hao,meneja wa Latra Mkoa wa Arusha,Amani Mwakalebela alisema kuwa mamlaka hiyo imesitisha kutoa leseni…

Read More

Mwinjilist Eva Kaaya wa kanisa la Mataifa yote amepata Maono kutoka kwa Mwenyezi Mungu aliyempa juu ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai  Mkoani kilimanjaro Lengai Ole  sabaya . Akizungumza na A24tv Mwinjilisti Eva Amesema kwamba wakati akiendelea na Maombi Mungu akamuonyesha  amemridhia na anaenda kumtoa kwenye vifungo na mashtaka yote ndani ya wiki moja kuanzia tarehe. 15 November 2022. Mwinjilisti wa kanisa la Mataifa yote Eva kaaya  amefafanua kwamba maono hayo ambayo Mungu amemuoyesha ni kwamba Damu ya Yesu imemsafisha na atakua safi kwa  hivyo atatoka katika vifungu na kua huru . Amesema kwamba kwa Sabaya Atarudi tena madarakani…

Read More

SERIKALI KUPITIA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI SEKATA YA MIFUGO IMESEMA INATARAJI KUTENGENEZA MFUMO WA KIELEKRONIKI AMBAO UTAWEZA KUBAINI MAAFISA OGANI WASIO FANYA KAZI KWA KUONA KAZI ZINAZOENDELEA WAKIWA KWENYE MAENEO YA KAZI IKIWEMO KUTOA USAHAURI KWA WAFUGAJI PAMOJA NA KUTIBU MIFUGO. HAYO YAMEBAINISHWA NA KATIBU MKUU WIZARA YA MIFUGO UVUVI TIXON NZUNDA AKIWA HAPA MJINI MAKABAKO MKOANI NJOMBE WAKATI AKIFUNGUA MAFUNZO YALIYOWAKUTANISHA MAOFISA MIFUGO KUTOKA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI AMBAPO PIA AMESEMA ILI KULINDA AFYA ZA MIFUGO NA WATUMIAJI SERIKALI KUPITIA WIZARA YA MIFUGO INATARAJIA KUJENGA MAJOSHO 260 NDANI YA MWAKA WA FEDHA 2022-2023. BAADHI YA WADAU…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Njombe Katibu wa CCM mkoa wa Njombe Julius Peter ameagiza kuvunjwa kwa makundi yote yaliyokuwapo katika jumuiya ya wanawake UWT mkoa wa Njombe kabla ya kufanyika kwa uchaguzi ndani ya chama hicho na kwamba hivi sasa kinachotakiwa ni kuungana kufanyakazi. Katibu huyo ametoa agizo hilo baada ya kukamilika kwa uchaguzi huo ngazi ya mkoa uliomchagua Scholastica Kevela kuwa mwenyekiti wa UWT pamoja na wajumbe mbalimbali huku akisema anataka kuona kazi zinakwenda na sio kuendekeza makundi. Baadhi ya wanawake wa UWT akiwemo Esteria Mbwilo,Tumain Mtewa na Neema Mbanga wamesema wanamatumaini makubwa toka kwa Viongozi wao katika kuhakikisha…

Read More

Na Doreen Aloyce, Dodoma Katika kuelekea wiki ya huduma ya fedha inayotarajia kufanyika Novemba 21 mpaka 26 Jijini Mwanza mwaka huu, Wizara ya Fedha imejipanga kujenga uelewa na weledi kwa Umma juu ya uelewa wa fedha ambapo imesema mpaka sasa asilimia 40 ya idadi ya watanzania waishio vijijini hawajafikiwa Aidha katika utekelezaji wa Program ya utoaji Elimu wa masuala ya Fedha Serikali inakusudia ifikapo mwaka 2025 takribani asilimia 80 ya wananchi watakuwa wamepata uelewa wa masuala ya Fedha. Akizungumza Jijini Dodoma alipokuwa akitoa maelekezo kuhusu wiki ya huduma ya Fedha kitaifa Kamishna uendeshaji wa sekta ya Fedha Charles Mwamwaja kwa…

Read More