Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen ,Arusha Katika hali isiyo ya kawaida mchekeshaji aliyejizolea umaarufu mitandaoni Jackson Sakwile maarufu kama “Mkaliwenu “ametunikiwa gari la kifahari aina ya BMW X5 na Nabii maarufu nchini Dk GeorDavie baada ya kukunwa na mashairi ya nyimbo aliyoitunga kwa ajili yake. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika eneo la Kisongo katika huduma ya Ngurumo ya Upako ambayo inaendeshwa na nabii huyo ambaye hivi karibuni amejizolea umaarufu kwa kutoa misaada na zawadi kwa makundi mbalimbali ndani ya jamii. Akihojiwa na waandishi wa habari mchekeshaji huyo amesema kwamba anamshukuru Nabii Dkt GeorDavie kwa kumzawadia gari hilo kwa kuwa hakuwahi kuwa…

Read More

Zawadi …. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya picha ya Mlima Kilimanjaro Katibu Mkuu wa Shirika la Utalii Duniani, Zurab Pololikashvili  baada  ya kufungua Mkutano wa 65 wa Shirika  la Utalii Duniani – Kamisheni ya Afrika kwa niaba ya Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan   uliofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Gran Melia jijini Arusha, Oktoba 5, 2022. Kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi  Dkt. Pindi Chana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Geofrey Stephen Arusha WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema takwimu za mwaka 2021 zinaonesha kuwa watalii wanaokuja nchini Tanzania wameongezeka kwa asilimia kubwa kufikia  48.6…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha Rais ,Samia Suluhu Hassan anatarajia kufungua mkutano wa 65 wa kimataifa wa shirika la utalii duniani(UNWTO) unaotarajiwa kufanyika kesho Oktoba 5,2022 katika hotel ya kitalii ya Grand  Melia ,jijini Arusha. Akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha,Waziri wa maliasili na utalii,Balozi Dkt.Pindi Chana alisema mkutano huo utahudhuriwa na Katibu mkuu wa shirika la UNWTO,Zurab Pololikashvili. “Pia utano huu unatarajia kukutanisha mawaziri wenye dhamana ya masuala ya utalii na maliasili kutoka nchi wananchama wa UNWTO wa kanda zaidi ya 50 kujadili kuhusu mustakabali wa ustawi wa maendeleo ya sekta ya utalii barani Afrika hasa baada ya athari…

Read More

Na Mwadishi wa A24Tv Geita . Naibu Katibu Mkuu Uwekezaji kutoka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Ally Gugu amefanya ziara kwenye Banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika Viwanja vya Ukanda wa Uwekezaji (EPZ) Bombambili, mkoani Geita. Mara baada ya kupata maelezo kutoka kwa wataalam, amepongeza kazi kubwa inayofanywa na Wizara ya Madini na Tume ya Madini na kuongeza kuwa Wizara yake ipo tayari kushirikiana na Wizara ya Madini na Taasisi zake kwenye eneo la uwekezaji ili kuhakikisha wawekezaji wengi wanawekeza kwenye Sekta ya Madini. “Sisi kama Wizara inayoshughulikia…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv . Mkurugenzi Mtendaji wa Sotta Mining, Damien Valente amepongeza huduma zinazotolewa na Wizara ya Madini kupitia Tume ya Madini kwenye usimamizi wa Sekta ya Madini hususan utoaji wa leseni na usimamizi wa biashara ya madini kupitia masoko na vituo vya ununuzi wa madini vilivyoanzishwa nchini. Valente amesema hayo leo Oktoba 03, 2022 mara baada ya kutembelea Banda la Tume ya Madini na Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) katika Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja vya Bombambili mjini Geita . ” Nitumie fursa hii kuipongeza Wizara ya Madini kwa kuweka Sheria…

Read More