Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen Arusha Kanisa Katholiki kupitia Kituo cha Malezi ya watoto cha St. Mary’s Children’s, imefuraishwa na kwa kutekeleza miradi ya maendeleo inayotoa huduma kwa jamii chini huku Serikali ikithamini mchango wa kanisa hilo. Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndugu, Godfrey Eliakimu Mnzava,  kabla ya kuweka Jiwe la Msingi kwenye Kituo hicho, kilichojengwa na Kanisa wenye thamani ya shilingi milioni 950, kilichopo kata ya Kikwe Halmashauri ya Meru wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha  leo Julai 19, 2024. Kiongozi huyo Amesema kuwa, licha ya Kanisa hilo kutoa huduma za kiroho kwa karne kadhaa sasa lakini limekwenda mbele…

Read More

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Queen Sendiga akimkabidhi kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Nurdin Babu ambae pia ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mwenge wa uhuru tayari kwa kukimbizwa kwenye wilaya za Mkoa wa Arusha. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Nurdin Babu ambae pia ni mkuu wa mkoa wa kilimanjaro akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mwenge wa uhuru Mhe. Emmanuela Kaganda tayari kukimbizwa kwenye miradi ya wilaya ya Arumeru ikiwa leo utakimbizwa katika halmashauri ya Meru na kumuulika miradi 9. Matukio katika picha yakionyesha Mwenge wa Uhuru tayari kuzungukia Miradi mbali mbali wiayani Arumeru…

Read More

Na Bahati Siha Timu 16 kushiriki West Champion ligi itayofanyika katika kata ya Indu kiwanja cha Matadi kilima hewa Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Erick Hadai,katibu wa Bodi ya wadhamini mashindano ya West champions ligi Akizungumza na Waandishi wa habari wakati wa utiaji saini wa mashindano hayo katika viwanja wa Matadi vya Matadi , mesema ligi hiyo uzinduzi wake utafanyika July 28 mwaka huu. “Ni kweli leo,tumekutana na bodi ya waandaaji ya mashindano hayo kwa ajili ya kusaini makubaliano ya lig hiyo,ambapo tumekubaliana lig hiyo kuanza 28 July hadi Semptemba mwaka huu “amesema Erick Amesema Timu 16 zitashiriki mashi hayo kati…

Read More

Na Richard Mrusha JUMUIYA ya wafanyabishara wa Kariakoo leo imetambulisha rasmi tamasha la Kariakoo ilijulikayo kama ‘Kariakoo Festival’ litakalowakutanisha wafanyabishara wakubwa na wadogo ili kuuza bidhaa zao kwa bei ya punguzo na kuwaunganisha na wateja wa ndani na nje ya nchi. Akizungumza wakati wa kutambulisha Kariakoo Festival,Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo,Martin Mbwana amesema tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Agosti 24 hadi 31,2024 katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Amesema lengo la tamasha hilo ni kumuunga mkono Rais Samia kwa kauli yake kuwa Kariakoo inaweza kuchangia kipato kikubwa kwenye serikali na kutangaza wafanyabiashara kwasababu kumekuwa na changamoto kubwa…

Read More

Na Mwandishi Wetu Sakata la Mfanyabiashara Maarufu Jijini Arusha,Justin Nyari na aliyeshinda tuzo katika Mahakama ya Rufaa dhidi ya Kampuni ya The Guardian limeingia katika sura mpya baada Wakili wa Mfanyabiashara huyo kusema kuwa Dalali wa Kampuni ya First World Investment ya Jijini Arusha ndio kikwazo cha utekelezaji wa uuzwaji wa mali za kampuni hiyo ya vyombo vya habari. Mahakama ya Rufaa iliiamuru Kampuni The Guardian ya Jijini Dar es Salaam kumlipa Justin Nyari Mfanyabiashara wa Madini ya Tanzanite kiasi cha shilingi milioni 410 ndani ya siku 14 ilizopewa na Mahakama hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari nje ya Mahakama…

Read More

Na Geofrey Stephen Arumeru Mkuu wa wilaya EMMANUELA MTATIFIKOLO KAGANDA amepokea Majengo matatu ya kisasa kutoka kwa Mdau wa Maendeleo Mzee Aminiel Nko. kikongwe wa miaka 92 mkazi wa seela Sigisi Wilayari Arumeru Mkoani Arusha . Akipokea majengo hayo kwa niaba ya Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kaganda amewataka vijana kuiga mfano mzuri wa uzalendo alioonyesha mzee huyo kwa kujali jamii yake inayo mzunguka kwa kujenge ofisi Kituo cha Polisi, kilicho jengwa kwa gharama ya Milioni 60, Ofisi ya Kijiji milioni 50 na ya CCM milioni 50 ambazo zote kwa pamoja zimezinduliwa tayari kwa matumizi ya wanachi wa kata hiyo…

Read More