Author: Geofrey Stephen

Mwandishi wetu.Arusha. Taasisi ya Wanahabari wa kusaidia jamii za Pembezoni (MAIPAC) inatarajiwa kuwa na mashirikiano na taasisi zisizo za kiserikali za nchini CANADA ili kuwajengea uwezo wanahabari na kusaidia jamii ya Pembezoni. Mkurugenzi wa shirika la MAIPAC, Mussa Juma alitoa taarifa jana katika hafla ya kumuaga mshauri elekezi wa MAIPAC kutoka nchini Canada, Lori Legault ambaye alikuwa nchini kulijengea uwezo shirika la MAIPAC. Mkurugenzi wa taasisi ya MAIPAC Mussa Juma akikabidhi cheti cha pongezi Lori Legault baada ya kusaidia mafunzo shirika hilo. Juma amesema licha ya mshauri huyo kutoa mafunzo kwa MAIPAC jinsi ya kuandaa miradi na kutafuta wafadhili walifikia…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Geita . Makamu wa Rais, Maendeleo Endelevu kutoka kampuni ya AngloGold Ashanti Tanzania na Ghana, Simon Shayo leo Oktoba 02, 2022 ametembelea banda la Tume ya Madini na Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) katika Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja vya Bombambili mjini Geita . Zifuatazo picha za matukio mbalimbali. Mwisho

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Geita . Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adolf Ndunguru na Kamishna wa Madini Nchini, Dkt. Abdulrahman Mwanga leo tarehe 01 Oktoba, 2022 ametembelea Banda la Wizara ya Madini na Taasisi zake kwenye Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika Viwanja Bombambili mjini Geita. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea maonesho, sambamba na kupongeza kwa maandalizi mazuri ameelekeza waoneshaji kuendelea kutoa elimu kuhusu fursa za uwekezaji zilizopo kwenye Sekta ya Madini ili wananchi wengi waweze kushiriki na kunufaika. “Nitoe wito…

Read More

Na Emmanuel octavian Halmashauri ya mji wa Njombe inatarajia kutekeleza mradi wa kuboresha mazingira wa Takribani shilingi bilioni 4 kwa mashirikiano na mji wa Miltenburg wa nchini Ujerumani katika miradi miwili ya awali kwa awamu tofauti ikiwemo kubadili taka kuwa rasilimali pamoja na uzalishaji umeme wa jua na kuupeleka kwenye gridi ya taifa. Hoja hiyo imewasilishwa katika mkutano maalum wa baraza la madiwani la kujadili ufungaji wa hesabu za mwaka wa fedha uliopita ambapo wageni toka nchini Ujerumani wamefika kujifunza namna ya kwenda kutekeleza mradi huo kwa pande zote mbili ambapo nao watakwenda kutekeleza watakayojifunzi katika halmashauri ya mji ikiwa…

Read More

Na Mwandishi wa A2rTv Geita Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko akiwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Adolf Ndunguru na Kamishna wa Madini Nchini, Dkt. Abdulrahman Mwanga leo tarehe 01 Oktoba, 2022 ametembelea Banda la Wizara ya Madini na Taasisi zake kwenye Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika Viwanja Bombambili mjini Geita. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea maonesho, sambamba na kupongeza kwa maandalizi mazuri ameelekeza waoneshaji kuendelea kutoa elimu kuhusu fursa za uwekezaji zilizopo kwenye Sekta ya Madini ili wananchi wengi waweze kushiriki na kunufaika. “Nitoe wito kuwa…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv . Leo Oktoba 01, 2022 Mamia ya wananachi wa mkoa wa Geita na mikoa ya jirani wamemiminika kwenye Banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika Viwanja Bombambili mjini Geita. Elimu inatolewa katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na fursa za uwekezaji katika sekta ya madini, taratibu za upatikanaji wa leseni za madini nchini, biashara ya madini na taratibu za usalama wa afya na mazingira kwenye migodi ya madini. Maeneo mengine ni pamoja na namna watanzania wanaweza kushiriki katika Sekta ya Madini kupitia utoaji wa huduma mbalimbali…

Read More

Na Mwadishi wa A24Tv Geita Mwakilishi wa Waziri wa Viwanda na Biashara Zambia, Kennedy Mumba akiambatana pamoja na ujumbe wake ametembelea banda la Tume ya Madini na Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) kwenye Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika Viwanja vya Bombambili, mjini Geita. Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali Wadau wa Madini wakipata maelezo kutoka banda la maonyesho ya kitaifa ya teknolojia ya madini 2022

Read More