Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wa A24Tv Geita . _Aendelea kutoa huduma kwenye banda…_ Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Geita Mhandisi Laurent Bujashi amewataka wadau wa madini katika mkoa wa Geita na maeneo ya jirani kutembelea Banda la Tume ya Madini katika Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja vya Bombambili Mkoani Geita. Sambamba na kuwataka wadau wa madini kufika kwenye banda la Tume, akiwa katika banda hilo, ameendelea kutoa huduma mbalimbali kama vile vibali vya kusafirisha madini na kusajili wateja kwenye mfumo wa usimamizi wa leseni za madini kwa njia ya mtandao (online mining cadastre transactional…

Read More

Na Mwanfishi wa A24Tv . Geita Timu ya wataalam ikiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Nishati na Madini, Mhandisi Said Mdungi kutoka Wizara ya Maji, Nishati na Madini Zanzibar imetembelea banda la Tume ya Madini na Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC)  kwenye Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika Viwanja vya Bombambili, mjini Geita. Mara baada ya kupata elimu kuhusu madini mbalimbali yanayopatikana nchini pamoja na fursa za uwekezaji zilizopo kwenye Sekta ya Madini wameipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini na Tume ya Madini kwa usimamizi mzuri wa sekta ya madini na kuongeza kuwa…

Read More

Na Emmanuel octavian Watu wanaotelekeza matumizi ya dawa za kufubaza makali ya virusi vya ukimwi ARV na kukimbilia kutumia dawa za asili(mitishamba)wameonywa vikali kwani kunaweza kuwasababishia madhara zaidi endapo dawa hizo hazitathibitishwa na mkemia mkuu. Katika mkutano na watu wanaoishi na virusi vya ukimwi katika kijiji Cha Lunguya mtwango wilayani Njombe mkuu wa Wilaya ya Njombe Kissa Kasongwa amesema ni hatari kubwa kutelekeza dawa za ARV kisha kunywa dawa za mitishamba na kwamba jambo hilo linapaswa kupingwa kwa nguvu kubwa. Mganga mkuu wa Halmshauri ya wilaya ya Njombe Dokta Suke Maghembe amekiri kuwapo kwa madhara juu ya kutumia dawa za…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Dodoma Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe  Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.)  amewashauri wadau wa sekta ya nguo kuainisha changamoto za kisera, kikodi na kiutendaji wanazokutana nazo ili azifanyie kazi. Dkt. Kijaji ameyasema hayo Sepetemba 26, 2022 jijini  Dodoma alipokutana na wadau wa sekta ya nguo na  walio chini ya Chama cha Wazalishaji Nguo na Mavazi Tanzania (TEGAMAT) ili kujadili changamoto wanazokutana nazo. Aidha, Waziri Kijaji amewashauri wadau hao kutokufunga viwanda, kwa kuwa ni sekta inayotoa ajira nyingi kwa vijana. “Njoni tukae tuongee, tupange kwa.pamoja tuone cha kufanya, tunataka viwanda vifanye kazi katika Serikali ya Awamu…

Read More

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt.Ashatu Kijaji amesema Serikali inaendelea kutekeleza Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara nchini (Blueprint) ili kuvutia uwekezaji na kuwezesha ufanyaji biashara wenye tija utaokuza uchumi wa taifa kwa ujumla. Dkt. Kijaji ameyasema hayo  wakati  alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika anayeshughulikia Ukuzaji wa Uchumi na Taasisi kutoka Benki ya Dunia (WB), Dr.Asad Alam na ujumbe wake kuhusu fursa za uwekezaji na ufanyaji biashara zilizopo Tanzania. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi za Wizara jijini ……. Septemba 29, 2022. Akiwa ameambata na Viongozi wa Wizara ya Uwekezaji…

Read More

Moses Mashalla, Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini,Mrisho Gambo “amechafua hali ya hewa “leo wakati alipotembelea soko la Krokon lililopo jijini Arusha ambapo mbali na kuzungumzia vita anavyopigwa lakini ametamka yuko tayari kuachia nafasi yake ya ubunge lakini atasimamia haki na maslahi ya wananchi wa jimbo la Arusha Mjini. Mrisho Gambo akizungumza na wafanyabiashara soko la krokoni Jijini Arusha Gambo ametoa kauli hiyo leo wakati alipofanya ziara katika soko hilo ambapo alikabidhi jumla ya mabati 30 na matofali 500 kwa ajili ya ujenzi wa choo cha soko hilo. Akizungumza baada ya kukabidhi vifaa hivyo Gambo alisema kuwa baadhi ya viongozi…

Read More

Na Emmanuel octavia Mkuu wa Wilaya ya Njombe Kissa Kasongwa amewataka wananchi  kuachana na mtindo wa kula chakula Cha aina moja hususani Kan de wakati wote kwani kunachangia kwa kiasi kikubwa kushamiri kwa udumavu. MARUFUKU KUWALISHA MAKANDE WATOTO KILA SIKU Kasongwa ametoa kauli hiyo akiwa katika vijiji vya Itunduma na Sovi kata ya mtwango katika ziara yake ya kijiji kwa kijiji katika halmashauri ya wilaya ya Njombe ambapo amesema kitendo cha watoto kushindia kande wakati wote kinasababisha utapimlo kwao jambo ambalo halifai katika ustawi wa watoto. Aidha mkuu huyo wa walaya amekiri kuwa wananchi wa wilaya ya Njombe wamekuwa…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Geita . Tume ya Madini inawakaribisha wadau wa madini na wananchi wote kutoka katika Mkoa wa Geita na mikoa mingine nchini kwenye banda lake lililopo kwenye Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika Viwanja vya Bombambili, mjini Geita. Elimu inatolewa katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na fursa za uwekezaji katika sekta ya madini, taratibu za upatikanaji wa leseni za madini nchini, biashara ya madini na taratibu za usalama wa afya na mazingira kwenye migodi ya madini. Maeneo mengine ni pamoja na namna watanzania wanaweza kushiriki katika Sekta ya Madini kupitia utoaji…

Read More