Author: Geofrey Stephen

Na Mwandishi wa A24Tv na Geita Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali katika ziara ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo kwenye Banda laTume ya Madini katika Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yaliyofanyika katika viwanja vya Bombambili Mjini Geita tarehe 28 Septemba, 2022. Katika ziara yake amewataka wananchi wa mkoa wa Geita na mikoa ya jirani kujitokeza kwa wingi kwenye maonesho hayo, kwa ajili ya kupata elimu ya namna wanavyoweza kunufaika kwenye Sekta ya Madini sambamba na kupata majibu ya kero zao

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv Geita _Wapongeza kasi ya utoaji elimu._ Wataalam kutoka Tume ya Madini wameendelea kutoa elimu kwa wachimbaji  wa madini kutoka katika mkoa wa Geita na mikoa ya jirani katika Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja vya Bombambili mjini Geita . Elimu imetolewa katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na fursa za uwekezaji katika sekta ya madini, taratibu za upatikanaji wa leseni za madini nchini, biashara ya madini na taratibu za usalama wa afya na mazingira kwenye migodi ya madini. Maeneo mengine ni pamoja na namna watanzania wanaweza kushiriki katika Sekta ya…

Read More

Na Emmanuel Octavian Njombe Jumla ya madai 796 ya kesi mbalimbali yameripotiwa kwa mawakili mbalimbali wa kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC na kupatiwa msaada wa kisheria pasina malipo yoyote huku migogoro ya ardhi ikiwa kinara mkoani Njombe. Mkurugenzi wa kituo cha Sheria na haki za binadamu Anna Henga amesema licha ya wanawake wengi kukumbwa na mikasa mbalimbali ikiwemo ya kupokwa ardhi,kukatiliwa na kunyimwa haki mbalimbali lakini idadi yao katika kuripoti madai yao imekuwa ndogo ukilinganisha na wanaume. Henga ametoa ripoti hiyo mkoani Njombe wakati wa kufunga maadhimisho ya miaka 27 ya kituo hicho kilichoanzishwa mwaka 1995 ambapo…

Read More

Na Mwandishi wa A24T Geita Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo na Mkuu wa Wilaya ya Geita, Wilson Shimo leo Septemba 27, 2022 wametembelea banda la Tume ya Madini kwenye Maonesho ya Tano ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja vya Bombambili mkoani Geita. Mara baada ya kupata elimu kutoka kwa wataalam wa Tume ya Madini, Naibu Katibu Mkuu ameitaka Tume ya Madini kuendelea kutoa elimu hasa katika eneo la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini ili wananchi wengi waweze kushiriki kwenye utoaji wa huduma kwenye migodi ya madini na kujipatia kipato huku Serikali…

Read More

Na Emmanuel mkulu Njombe Serikali chini ya wizara ya Maliasili na utalii nchini Tanzania imetangaza rasmi mikakati mbalimbali ya kuendeleza sekta ya utalii inayochangia pato la taifa kwa asilimia 17. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mkakati wa kutangaza utalii kusini mwa Tanzania Waziri wa maliasili na utalii Balozi Dokta Pindi Chana akiwa mkoani Njombe amesema wizara imeweka wazi mikakati mbalimbali ikiwemo kutangaza utalii kusini mwa nchi,Utamaduni,pamoja na fursa za utalii zilizopo katika mikoa husika. Wabunge wa majimbo ya Makambako Deo Sanga,Ludewa Joseph Kamonga na Makete Festo Sanga Wamesema ili fursa ya utalii kusini mwa Tanzania iweze kufanikiwa kwa akali kubwa…

Read More

Na Emmanuel octavian WIZARA ya Mali asili na Utalii kupitia makumbusho ya taifa imetangaza rasmi msitu wa NYUMBANITU uliopo katika kijiji cha Mlevela halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe kuwa miongoni mwa kivutio muhimu cha utalii na utamaduni Tanzania. Waziri wa Mali asili na Utalii Dkt,Pindi Chana amebainisha hilo wakati wa zoezi la kuweka bango la taarifa katika msitu huo wa asili na mapango ya NYUMBANITU na kuagiza jamii kuendelea kutunza maeneo hayo yenye historia kubwa kutokana na mashujaa wa vita ya Maji Maji kuyatumia kwa ajili ya kujificha wakati wa vita. “Ni mategemeo yangu kwamba sasa NYUMBANITU inaingia…

Read More