Author: Geofrey Stephen

Tim ngumu ya Merves Hotel ya jijini Arusha imeangushia kichapo kizito Timu ya Maveteran ya Moshi Dc  Goli saba kwa tatu na kuendelea kujiwekea historia ya Timu ngumu katika ukanda wa Arusha inayo toa dozi. Mechi hiyo ya aina yake iliyo chezwa katika uwanja wa sinoni jijini Arusha na kushughudiwa na maelfu wa mashabiki wa mpira jijini Arusha ilikua ya aina yake kutokana na vikosi kua moto Akizungumza na A24Tv  Meneja wa Timu hiyo Mathayo Peter Kabaa Amesema kwamba timu yake imefanya vyema kutokana na mwendelezo mzuri wa kujifua kuelekea michuano mbali mbali Kabaa amesema lengo la mashindano hayo ni…

Read More

Na Geofrey Stephen  Arusha Naibu waziri ofisi ya makamu wa rais muungano na Mazingira ,Hamis Hamza Hamis ametoa miezi miwili kwa kiwanda cha kuzalisha vyandarua na Nguo cha A to Z  kilichopo nje kidogo ya jiji la Arusha, kukamilisha ujenzi wa mtambo wa kuchakata maji taka  kutoka kuwandani hapo ili kuepusha malalamiko ya wananchi. Akizungumza katika ziara  aliyoifanya kiwandani hapo jana,  mbele ya wataalamu wa mazingira kutoka Jiji la Arusha, Halmashauri ya Arusha na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi  wa Mazingira  NEMC. Naibu Waziri alisema kuwa ameridhishwa na hatua ya iliyofikiwa kwa mradi huo wa kuchakata maji taka…

Read More

Moses Mashalla, Zaidi ya wafanyabiashara 5,000 wanaofanya biashara katika soko la Samunge jijini Arusha wanataraji kupatiwa mitaji ya kuendesha biashara zao na mhubiri maarufu nchini Nabii Mkuu Dkt GeorDavie. Mbali na kupatiwa mitaji hiyo pia mhubiri huyo anataraji kutoa msaada wa kukarabati miundombinu ya malango ya kuingilia ndani ya soko hilo kama njia mojawapo ya kusaidia jamii. Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa wafanyabiashara wa soko la Samunge,Joram Miraji amesema kuwa uongozi wa soko hilo hivi karibuni ulimwandikia barua ya maombi ya kuwasaidia mitaji wafanyabiashara ndani ya soko hilo pamoja na kusaidia kukarabati miundombinu ambapo ombi lao limekubaliwa. Miraji…

Read More

Na Emmanuel octavian Wakati kituo cha sheria na haki za binadamu kikiweka kambi kutoa msaada wa kisheria mkoani Njombe katika maadhimisho ya miaka 27 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1995 Jeshi la polisi limekiri kuwapo kwa migogoro mingi na mauaji yanayohitaji msaada wa kisheria toka LHRC. Katika ufunguzi wa utoaji wa huduma za msaada wa kisheria yanayofanyika kitaifa mkoani Njombe kupitia kituo hicho kwa muda wa siku 10 kaimu kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Butusyo Mwambelo anasema msaada wa kisheria unahitajika sana kutokana na matatizo lukuki yaliyopo katika jamii. Akizungumza kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji wa kituo cha sheria na…

Read More

Mwandishi wetu, Arusha. Vijiji 20 kati ya 49 wilayani Longido, mkoa wa Arusha, vimetenga eneo la hekta 186.794.2 kwa ajili ya nyanda za malisho ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi. Katika wilaya hii, asilimia 95 ya wakazi ni wafugaji ambao wanamiliki mifugo 918,248 kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 hata hivyo hivi sasa wamekosa malisho ya mifugo na maji kutokana na mabadiliko ya tabia nchi. Afisa mifugo na uvuvi wilaya ya Longido, Nestory Daqarro akizungumza na waandishi wa habari za mazingira kupitia mradi wa uhifadhi wa mazingira kwa maarifa asilia ambao unafadhiliwa na shirika la maendeleo…

Read More