Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen .Arusha Mkuu wa wilaya ya Arusha,Said Mtanda leo Septemba Mosi amemtaka Mratibu wa zoezi la chanjo wilaya ya  Arusha kuakikisha kwamba watumishi wote waliochaguliwa katika zoezi la kutoa chanjo ya polio na matone  katika wilaya ya Arusha mjini wanalipwa stahiki zao zote mara baada ya zoezi hilo kukamilika. Mtanda ametoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa zoezi la chanjo ya matone kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano huku akisisitiza kuwa chanjo hiyo ni salama na haina madhara yoyote kwa binadamu. Pia amesisitiza  kwamba zoezi hilo litadumu kwa siku nne hadi Septemba nne mwaka huu…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Mkuu wa wilaya ya Arusha,Said Mtanda leo Septemba Mosi amezindua zoezi la chanjo ya polio ya matone kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano huku akisisitiza kuwa chanjo hiyo ni salama na haina madhara yoyote kwa binadamu. Pia amesisitiza ya kwamba zoezi hilo litadumu kwa siku nne hadi Septemba nne mwaka huu na kuongeza kuwa chanjo hiyo itawafikia hata wale walioko majumbani. Akizungumza wakati wa kuzindua zoezi hilo katika kituo cha afya cha Levolosi Mtanda alisema kuwa kila mzazi mwenye mtoto aliye chini ya umri wa miaka mitano ana wajibu wa kumpeleka mtoto…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha . Bilionea mpya wa madini ya Tanzanite nchini,Anselim Kawishe amefunguka na kueleza kwamba haamini katika masuala ya ushirikina zaidi ya kumtegemea Mungu katika biashara zake huku akisisitiza amepambana miaka yote akimtegemea Mungu. Pia amebainisha ya kwamba ametumia zaidi ya jumla ya zaidi ya kiasi cha sh 1 bilioni kuhudumia mgodi kwa muda wa miaka takribani 15 kabla ya kupata madini ghali ya Tanzanite hivi karibuni. Bilionea Kawishe ametoa kauli hiyo wakati akihojiwa na waandishi wa habari jijini Arusha ambapo alieleza kuwa kwa kipindi chote akifanya biashara zake haamini katika ushirikina zaidi ya kumtegemea Mungu. “Sitaki kuingia…

Read More

Na Geofrey Stephen. Arusha Mkuu wa wilaya ya Arusha,Said Mtanda amewataka wazazi wote wilayani hapa kuhakikisha wanawapeleka watoto wao kwenye vituo vya afya na zahanati ifikapo Septemba Mosi mwaka huu ili wakapatiwe chanjo ya ugonjwa wa Polio . Mtanda ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na wajumbe mbalimbali wa kamati ya chanjo ya Polio jijini Arusha. Akizungumza katika kikao hicho Mtanda alisema kuwa ni jukumu la kila mzazi kuhakikisha anampeleka mtoto wake aliye chini ya umri wa miaka mitano katika zahanati au kituo cha afya ifikapo tarehe hiyo ili aweze kupata chanjo hiyo ambayo inalenga kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa…

Read More