Karibu Arusha24tv leo tarehe 6 Mwaka 2025 kutazama kilicho andikwa katika magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv .
Author: Geofrey Stephen
Na Mosess Mashala Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia Wananchi kuwa Serikali inatenga kiasi cha Shillingi Billioni 300 kwa mwezi kwa ajili ya kulipa madeni ya Nchi. Rais Dk.Mwinyi ameeleza kuwa wakati Serikali inakopa kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo Ina Akaunti Maalum inayoweka Fedha za kutosha Kulipa Madeni hayo ambayo sasa ina kiasi cha Shillingi Biliioni Mia Sita. Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo alipofungua Kituo cha Mabasi Kijangwani Wilaya ya Mjini,Mkoa wa Mjini Magharibi kilichojengwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (ZSSF). Amefahamisha kuwa deni ililonalo Zanzibar kwa sasa ni Shillingi Trilion…
Juma Mosi ya leo January 4 Mwaka 2025 karibu kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ninA24tv. Mwisho.
Na Mwanfishi wetu Siha, Watoto wa tatu wa familia mmoja wamefariki Dunia Kijijii cha Ngaratati kata ya Makiwaru Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,wakati wakioga kwenye Lambo lilijengwa na Serikali kwa ajili ya mifugo kupata maji Diwani wa kata hiyo Ezekiel Lukumai Akizungumza na waandishi wa habari amesema,Tukio hilo limetokea Junuary 2 mwaka huu, wakati watoto hao walipoenda katika eneo hilo kwa lengo la kufua nguo na kuoga “Ni kweli watoto hao wamefariki Dunia kwenye lambo hilo wakati wakiogelea mmoja ana miaka 9 darasa la nne shule ya msingi Ngaratati na hao wawili miaka 6 wapo chekechea , kati ya hao watatu…
Na Richard Mrusha Musoma. Mkuu wa Wilaya ya Musoma Juma Chikoka Amesema wanakaribisha wawekaji kuwekeza kwenye fukwe zilizopo ndani ya ziwa Victoria wilaya ya Musoma mkoani Mara kwani kuna vivutio bora. Hayo ameyasema Januari 3,2025 alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walitembelea ofisini kwake. Amesema katika kurahisisha usafiri wanaendelea kukamilisha ujenzi wa uwanja wa ndege ambao utasaidia kukuza uchumi wa wilayani na mkoa kwa ujumla. Ameongeza kuwa utakapo kamilika uwanja huo utarahisisha watalii kufika katikati Hifadhi yaTaifa Serengeti kwani kutoka Musoma kwenda Hifadhini hapo kuna umbali wa kilomita 70 tu kulinganisha na mikoa mingine. Chikoka amesema anamshukuru…
Karibu Arusha24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya,leo ya Tanzania January 3 Mwaka 2025 mbele na nyuma Hii ni A24tv.
Na Bahati Hai,Mbunge wa Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro Saashisha Mafuwe, amesema kumeibuka vitendo vibaya vilivyokithiri katika Wilaya hiyo ikiwamo ukatili wa kijinsia,wezi, uhalifu pamoja na ulevi uliokithiri kwa vijana hivyo kupunguza nguvu kazi ya Taifa Haya yamesemwa na Mbunge huyo katika serehe za Maulidi ya kuzaliwa Mtume Muhamedi (SAW) yaliyofanyika katika Msikiti mdogo mtaa wa uzunguni Bomang’ombe Wilayani humo kimkoa ambapo Wilaya zote za mkoa huu na nje ya mkoa ziliweza kuhudhuria pamoja na Viongozi mbalibali wakiwamo wa Serikali. Akizungumza kwenye sherehe hizo mara baada ya kupata nafasi , mgeni rasmi sheikh wa mkoa wa Arusha shaabani Juma,ameomba Viongozi…
Kheri ya Mwaka Mpya 2025 karibu Arusha 24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magqzeti ya leo tarehe 1 Mwezi wa 1 Mwaka 2025 Mwisho .
Na Beatus Maganja, Malinyi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amesema zoezi la kuwalipa fidia wananchi wa Kijiji cha Ngombo kilichopo ndani ya Pori la Akiba Kilombero Mkoani Morogoro linaendelea vizuri ambapo asilimia 93 ya wananchi wote tayari wamekwishalipwa fidia zao kwa ajili ya kupisha shughuli za uhifadhi katika Hifadhi hiyo na asilimia 7 ya wananchi waliosalia wanaendelea kushughulikiwa ili kukamilisha malipo yao. Akizungumzia zoezi hilo Desemba 31, 2024 wilayani humo Mhe. Sebastian amesema Serikali imetoa zaidi ya shilingi billioni 6.9 kulipa wananchi 1,056 ili waweze kuhama kwa hiari kutoka maeneo ya Hifadhi huku akitoa maelekezo kwa watendaji…
Tazama picha za matukio Wananchi walivyo vamia banda la Happy sausages Arusha ni balaa wanunua sausages kwa bei nafuu wanachi wafuraiya utamu wake wajipanga kupokea mwaka mpya wananchi wakaribishwa kujionea . Mwisho