Author: Geofrey Stephen

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe Dkt.Ashatu Kijaji (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba, Mhe. Bruno Rodriguez Parrilla kuhusu uwezekano wa kupanua zaidi kiwanda cha kuzalisha viwatilifu ili kuzalisha bidhaa ya mbolea pamoja na bidhaa zingine za Afya. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam, Waziri Kijaji amesema moja ya bidhaa ambayo wanataka kuzalisha kwennye kiwanda cha Labiofam kilichopo Kibaha mkoani Pwani ni mbolea ambayo itakayowezesha kuwa na utoshelevu wa mbolea ndani ya Taifa letu. “Kilimo ni sekta ambayo inachangia kwa kiwango kikubwa kwenye uchumi wa Taifa letu hivyo…

Read More

Na mwandishi wa A24Tv . Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe Dkt.Ashatu Kijaji (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba, Mhe. Bruno Rodriguez Parrilla kuhusu uwezekano wa kupanua zaidi kiwanda cha kuzalisha viwatilifu ili kuzalisha bidhaa ya mbolea pamoja na bidhaa zingine za Afya. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam, Waziri Kijaji amesema moja ya bidhaa ambayo wanataka kuzalisha kwennye kiwanda cha Labiofam kilichopo Kibaha mkoani Pwani ni mbolea ambayo itakayowezesha kuwa na utoshelevu wa mbolea ndani ya Taifa letu. “Kilimo ni sekta ambayo inachangia kwa kiwango kikubwa kwenye…

Read More

Na Mwanfishi wa A24Tv . Binti wa Kitanzania ,Rawan Dakik mwenye umri wa miaka 22 , mapema wiki hii ameweka rekodi nyingine tena kwa kuwa Mtanzania wa Kwanza Mwafrika kufika katika kilele cha mlima Denali uliopo Bara la Amerika Kaskazini na kuweka historia  ya kupanda vilele saba vya milima mirefu duniani. “Kilele cha Mlima Denali ulioko Amerika Kaskazini, na kumefanya  jumla ya vilele saba vya juu zaidi duniani vinavyopatikana katika mabara yote saba ya dunia”. Katikati ya mwaka jana, Dakik alikua Mtanzania wa pili lakini mwanamke wa kwanza Mtanzania na Mwafrika mwenye umri mdogo kufika kilele cha mlima Everest chenye…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv Arusha Mawakili wapatao 14 wamejitokeza kuwatetea washtakiwa 25 wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya askari mmoja katika eneo la Loliondo wilayani Ngorongoro. Askari huyo aliuawa Juni 10, 2022 baada ya kushambuliwa kwa kupigwa mshale na kundi la watu wenye silaha wakati wa zoezi la uwekaji wa alama za mipaka Leo Juni 30, 2022 watuhumiwa hao wakiwemo madiwani tisa wa wilaya hiyo na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo Ndirango Laizer walifikishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha. Mbele ya Hakimu Mkazi Herieth Mhenga, Jamhuri iliwakilishwa na Wakili wa Serikali Upendo Shemkole huku utetezi…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv . Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali na amemteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (Chief of Defence Forces – CDF). Kabla ya Uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Tawi la Operesheni na Mafunzo katika Makao Makuu ya Jeshi (Chief of Operations and Training). Rais Samia pia amempandisha Cheo Meja Jenerali Salum Haji Othman kuwa Luteni Jenerali na amemteua kuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (Chief of Staff – C of S). Kabla ya uteuzi huo Meja Jenerali…

Read More