Author: Geofrey Stephen

Na Joseph Ngilisho, Lushoto. Mbunge wa Jimbo la Lushoto,mkoani Tanga,Shaaban Shekilindi ameishauri serikali kukamilisha ujenzi wa barabara ya mchepuko kwa kiwango cha Lami ili kuondoa changamoto ya Mara kwa Mara inayotokana na maporomoko ya mawe kwa barabara kuu inayotoka Mombo Hadi Lushoto ambayo imekuwa kilio kikubwa kwa wafanyabiashara wa mazao na mbogamboga pindi inapoziba. Aidha ameishauri serikali kuangalia namna ya kuwachukukia hatua Kali makandarasi wanaochelewesha miradi mbalimbali ya maendeleo na kusababisha wananchi kuendelea kuteseka kwa kukosa huduma ya usafiri Katika wilaya hiyo. Shekilindi ametoa kilio hicho mwishoni mwa wiki mbele ya kiongozi wa mbio za mwenge Kitaifa,Sahili Geraruma wakati Mwenge…

Read More

Juni 3/2022 ARUSHA Na Geofrey Stephen WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk.Pindi Chana ameihakikishia Dunia  sekta ya  utalii nchini  na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)  imefunguka kwa sasa,baada ya kupungua kwa janga la Uviko 19 na kuiomba kutembelea vivutio vilivyopo. Akizungumza jana wakati akifungua maonyesho ya kimataifa ya Utalii ya Karibu- Kili Fair kwa niaba ya Waziri Chana,Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki alisema kwa sasa masharti yamepungua ya janga hilo na maeneo mengi yanafikika kiurahisi. “Maonyesho haya watasaidia kutangaza Dunia kuwa sasa utalii umefufuka tena kwa Tanzania na nchi za EAC na natoa wito watu wote…

Read More

Fedha za Mapango wa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhiki ya Uviko 19 zaidi ya shilingi milioni 782.5 zimeweza kuwanufaisha wakazi zaidi ya 11,048 kupata maji Safi na salama katika vijiji 11 vya Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga. Hayo yalisemwa Jana na Kaimu Meneja  wa Mamlaka ya Maji Mkoa wa Tanga(RUWASA),Injinia Erwin Sizinga mbele ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa,Sahili Geraruma muda mfupi kabla ya kuzindua miradi hiyo katika Halmashauri ya Bumbuli na Halmashauri ya Lushoto. Injinia Sizinga alisema fedha za Uviko 19 zilisaidia kupata Mkandarasi kampuni ya Mbesso Construction ya Jijini Dar es Salaam ambaye alisema kuwa mradi…

Read More

Na Geofrey Stephen,Lushoto Miradi 18 ya Elimu,Afya,Barabara na Maji yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 5.2 imezinduliwa na mbio za mwenge katika Wilaya Lushoto yenye Halmashauri mbili za Bumbuli na Lushoto Mkoani Tanga. Akisoma taarifa mbele ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Sahili Geraruma ,Mkuu wa Wilaya ya Lushoto,Kalist Lazaro alisema katika Halmashauri ya Lushoto mwenge umekimbizwa Kwa km 359 na kuzindua miradi 11 yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 3.4. Lazaro alisema katika Halmashauri ya Bumbuli Mwenge ulizindua Miradi ya Maendeleo 7 yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 1.8. Mkuu huyo alisema Miradi yote imezingatia…

Read More

, Arumeru The Standing Committee on Constitution and Law has advised college and university students in the country and social security funds to invest money for future use including self-employment capital when they graduate. Speaking to students at the University of Arusha (UOA) after a visit to the college with the aim of mobilizing students for the NSSF reserve fund, Mbeya Region Member of Parliament (CCM), Suma Fyandomo urged young people in universities in the country to use the section. of the money they get from the country’s credit board (Heslb) to save and not to enjoy. Fyandomo, said that…

Read More

Na JosephNgilisho,Arumeru Kamati ya kudumu ya bunge ya katiba na sheria imewashauri wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu hapa nchini kujiunga na mifuko ya hifadhi ya jamii ili kuwekeza akiba ya fedha kwa ajili ya matumizi ya baadaye ikiwemo mitaji ya  kujiajiri pindi wanapohitimu masomo yao Akiongea na wanafunzi wa chuo kikuu cha Arusha (UOA)baada ya kutembelea chuoni hapo kwa lengo la kuhamasisha wanafunzi kujiunga na mfuko wa hifadhi wa NSSF,mbunge wa viti maalumu mkoani Mbeya(CCM),Suma Fyandomo aliwataka vijana waliopo kwenye vyuo vikuu nchini kutumia sehemu ya fedha wanazopata kutoka bodi ya mikopo nchini(Heslb) kujiwekea akiba na sio kuzifanyia starehe.…

Read More