Author: Geofrey Stephen

Zikiwa zimesalia siku mbili Mbunge wa Jimbo Siha mkoani Kilimanjaro Godwin Mollel,amewataka Wananchi kujitokeza kutumia frusa kufika Hospital ya wilaya hiyo kwa ajili ya kupata vipimo vya macho na magonjwa ya Wanawake bila gharama yeyote. Zoezi hilo limeandaliwa na Taasisi Mo Dewji foundation kwa kushirikiana na Dr Godwin Mollel foundation. Akizungumza mara baada ya kufiki hospital hapo, amewataka Wananchi kujitokeza kwa mwingi na kutumia frusa hiyo kabla muda haujafikia mwisho “Ni kweli muda ni mchache watu wanitokeze kufanya vipimo na kupata matibabu ,watumie hii frusa , mpaka sasa watu zaidi ya 3000 wameshapata huduma”amesema Mollel Amesema zoezi hilo limeanza Mei…

Read More

Na. Mwandhishi wetu Jeshi la Polisi. Siku ya Familia za Polisi maarufu ‘Police Familiy Day’ imetajwa kuwa chachu katika kuimarisha mahusiano mazuri kati ya wananchi na na familia nzima ya Jeshi la Polisi ambapo hupelekea kuzuia matukio ya uhalifu katika jamii. Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Watu Mkoa wa Arusha Bw. Moses Pesha katika tamasha la siku ya familia za Polisi lililofanyika katika viwanja vya FFU Oljoro mkoani humo huku akipongeza namna ambavyo tamasha hilo limeratibiwa vyema ambalo limewakutanisha wananchi wengi. Bwana Pesha ambaye amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ametoa wito kwa Jeshi la Polisi…

Read More

Yamuomba Rais Maridhiano ya Kisiasa Mwandishi wetu,Dar es Saalam. MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binaadamu Tanzania(THRDC) umekabidhi jaketi za usalama kwa waandishi wanachama wa Chama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) huku ikimuomba Rais Samia Suluhu kurejesha maridhiano ya kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu. Makabidhiano ya Jaketi hizo,yamefanyika jana katika hoteli ya Mbezi Garden, jijini.Dar es Salaam ambapo wanahabari kutoka mikoa yote nchini walikuwa wakipatiwa mafunzo kuhusiana na uchaguzi mkuu yaliyoandaliwa na THRDC. Mratibu wa Kitaifa wa THRDC ,Wakili Onesmo Ole Ngurumwa akizungumza katika makabidhiabo hayo, aliwataka wanahabari nchini kuyavaa katika harakati zao za kazi na hasa uchaguzi mkuu…

Read More

Na Bahati Siha, Wananchi Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,wametoa shukurani kwa Rais Samia Suluhuu Hassani pamoja na Mbunge wa Jimbo hilo Godwin Mollel kwa kuwaletea huduma ya upimaji magonjwa mbali mbali ikiwamo ya Wanawake pamoja na upimaji wa macho bila gharama yeyote Kambi hiyo ya matibabu bure Wilayani humo iimeletwa na Taasisi ya Dr Godwin Mollel Foundation na Mo Dewji na zoezi hilo linafanyika katika hospital ya wilaya hiyo kuanzia Mei 3 hadi Mei 5 ,2025. Wakizungumza na waandishi wa habari wakiwa hospital hapo, Wananchi hao wameishuru Serikali kwa kuwajali na kuwaletea huduma hiyo bila gharama yeyote “Ni kweli huduma za…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv.Arusha Licha ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Divisheni ya Biashara, kuamuru kufutwa kwa hisa asilimia 18 zilizokabidhiwa kwa Daudi Ibrahim Lumala kinyume na utaratibu, pamoja na kufutwa kwa nafasi yake kama Mkurugenzi wa Kampuni ya Sunset Tarangire Limited, Lumala bado ameendelea kuwepo ndani ya kampuni hiyo. Picha ni Daudi Ibrahim Lumala aliyekua Mkurugenzi Mwenza .wa kampuni ya Sunset Tarangire limited  Aidha, kikao cha wanahisa kinatarajiwa kufanyika katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kabla ya kumalizika kwa siku 30 zilizopangwa, kutokana na kuwa Mfanyabiashara maarufu nchini, Saleh Salim Alamry, ambaye mahakama ilimhakikishia ushindi katika shauri…

Read More

Askofu wa  KKT – DAYOSISI  YA KASKAZINI KATI GODSON Abel MOLLEL Ameweka jiwe la Msingi katika Shuleya Jumapili katika  Usharika Salei/Levolosi . Mchungaji kiongozi wa Usharika wa Salei ,Levolosi Issaya Sesat Akimkaribisha Baba Askofu Mollel amesema anatoa  shukrani kwa Baba Askofu  kukubali kuweka Jiwe la Msingi katika Shule ya Jumapili ya Watoto. Mchungaji Sesat amesema Usharika wake  unatoa shukrani nyingi kwa makundi mbali mbali, Wakiwemo Waumini wa Usharika wote pamoja na Viongozi wa ngazi mbali mbali katika Kanisa  kwa michango yao ya fedha. Vifaa na Mawazo hata kufanikisha kazi  ya Ujenzi kufikia hatua kubwa ya uwekaji wa jiwe la Msingi…

Read More