Author: Geofrey Stephen

Na Richard Mrusha Kampuni ya vifaa vya ujenzi FMJ hardware imeipongeza serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira wezeshi kwenye sekta ya uwekezaji na biashara . akizungumza leo na waandishi wa habari walipotembelea banda la serou kwenye maonyesho ya 48 ya kimataifa ya biashara 77 Jijini Dar es Salaam Afisa masoko,Jacqueline Yanga amesema wao kama wauzaji na wasambazaji wa vifaa vya ujenzi wamekuja kuonyesha bidhaa bora na zenye viwango vya hali ya juu. Amesema serikali ya awamu ya sita imejipambanua kwa sababu imewapa wawekezaji hususan wazawa wigo mpana kwenye sekta ya uuzaji na…

Read More

Na Richard Mrusha MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi cha mwaka wa fedha wa 2023/2024 imeweza kukusanya shilingi trilioni 27 .64 nakuipa fursa Serikali kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo na kustawisha maisha ya watanzania pasipo na wasiwasi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Julai Mosi, 2024 na aliyekuwa Kamishna Mkuu wa TRA, Alphayo Kidata, imesema makusanyo yameongezeka kwa asilimia 14.50 yakilinganishwa na makusanyo ya Sh trillioni 24.14 ya mwaka wa fedha 2022/2023. “Kiasi cha fedha tulichokusanya ni sawa na ufanisi wa asilimia 97.67 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 28.30,” nakubainisha kuwa katika kipindi cha robo mwaka ya nne,…

Read More

Na Bahati Hai. Siha,Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu ametoa siku 30 kwa halmshauri za mkoa huu kufutilia na kurejesha mikopo ya asilimia 10 ambavyo vikundi vilikuposhwa na halmshauri hizo na kushindwa kurejesha Kauli hiyo ameitoa leo katika kikao maalumu Baraza la madiwani kujadili hoja za mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG)kilichofanyika katika ukumbi wa halmshauri,nakuhudhuriwa na Viongozi wa Dni , Madiwani ,wakuu wa idara Akizungumza katika kikao hicho ametoa mwezi mmoja kwa anayedaiwa kurejesha fedha hizo ili na wengine waweze kukopeshwa ” Sasa natoa agizo nawala sio ombi kote nilikopita nimetoa mwezi mmoja kuhakikisha fedha zote zinakusanywa na…

Read More

Na  bahati Hai Halmshauri ya wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro imepata tuzo baada ya kumeshika nafasi ya tatu Kitaifa kwa upashaji wa habari mbali mbali za maendeleao pamoja na za kijamii katika Wilayani hiyo Taarifa hiyo imejiri katika kikao maalumu cha Baraza la madiwani kujadili hoja za mkaguzi wa hesabu za Serikali (CAG), kikichofanyika katika ukumbi wa halmshauri hiyo na kuhudhuria na Viongozi mbali mbali wa serikali na Dini. Mkurungenzi mtendaji wa halmshauri ya Siha mkoani Kilimanjaro Haji Mnasi, katika taarifa yake kwenye kikao hicho ,amesema ushirikiano kitenge cha habari na mawasiliano ndicho kilichochngia kupata nafasi hiyo “Ni kweli tumeoata…

Read More

Na Richard Mrusha Katika kuwajengea ujuzi watu wasioona vyuo vya elimu ya mafunzo ya ufundi stadi (Veta) vimeanza kutoa mafunzo kwa jamii hiyo kuwanoa kuendana na mahitaji ya soko la ajira katika karne ya sasa. Mmoja wa wanafunzi asiyeona katika fani ya useremala, Raphael Mwambalaswa, amekuwa kivutio kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kutokana na kudhihirisha uwezo wake katika fani hiyo. Mwambalaswa ambaye pia ni Mhadhiri Msaidizi katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE), amesema Veta wanaweza kumsaidia mtu asiyeona kuweza kujitegemea ndiyo maana aliamua kwenda kujifunza. “Nipo nasoma lakini funzo kwa jamii…

Read More

Na Richard Mrusha Mfuko wa SELF ulio chini ya Wizara ya Fedha umeanzisha huduma mpya ya bima kwa lengo la kulinda mali za wateja. Akizungumza Julai Mosi,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa maarufu Sabasaba, Afisa Bima katika Mfuko wa SELF, Rasuli Sadala, amesema huduma hiyo imeanzishwa kuwawezesha wateja waishi kwa amani hasa yanapotokea majanga mbalimbali “Kuna majanga mbalimbali yanatokea mfano ya wizi, moto, ajali mbalimbali na yanakuja bila mtu kuwa amejiandaa, lakini ukiwa na bima inaweza ikakulinda kulingana na majanga. Kwahiyo Mfuko wa Self umekuwa wakala kwa ajili ya kutoa huduma hizi kwa wateja wetu. “Endapo gari…

Read More