Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stephen Arusha Katika jitiada za kulifanya taifa liweze kwendana na kasi ya Sayansi,Teknolojia na ubunifu Taasisi ya Future STEM Business Leaders kwa kushirikiana na Chuo cha Ufundi Arusha ( Arusha Technical College ) wameandaa na kutoa mafunzo ya siku nne kwa wanafunzi wa kidato cha tano na Sita katika Jiji la Arusha kutoka katika shule Saba zilizopo mkoani hapa Hayo yamebainishwa na  kaimu Mkurugenzi mtendaji wa atamizi ya DTBi Dkt Erasto  Mlyuka wakati akifungua mafunzo maalumu ya siku nne ya Sayansi, Teknolojia na ubunifu  Kwa wanafunzi wa shule za sekondari ambapo alisema kuwa taifa la Tanzania ili likue…

Read More

Mwananchi wetu. Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kupitia Mradi wa Kigoma Pamoja (KJP), limefanikiwa Kuwatajirisha wananchi mkoani Kigoma kwa kununua mazao yao wanayozalisha,kuwajengea maghala na kuwapatia mashine za kuwasaidia kuandaa mazao. Miradi hiyo inatekekezwa Kwa kushirikisha mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) mbali ya WFP, ni pamoja na Kituo cha Biashara cha Kimataifa (ITC), Shirika la Uendelezaji wa Mitaji la Umoja wa Mataifa (UNCDF) na Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO). Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Rashidi Mchatta alisema WFP ni moja ya mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) yamekuwa na Manufaa makubwa kwa wananchi kwa…

Read More

Na Joseph Ngilisho ARUSHA Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT Dayosisi ya mjini Kati ,Arusha,limewashukuru na kuwapongeza waumini wake kwa kuinusuru hoteli ya kitalii ya nyota tatu ya Corridor Springs ambayo ni Mali ya kanisa Hilo isiuzwa kutokana na deni kubwa la mkopo lililofikia kiasi Cha sh,bilioni 13.5. Akiwashukuru waumini wa kanisa Hilo waliofurika Katika ibada maalumu ya shukrani iliyofanyika katika kanisa Hilo usharika wa Kimandulu jijini hapa ,Askofu Mkuu Solomon Massangwa alisema waumini wa kanisa hilo wameliheshimisha kanisa kwa kukubali kuchangia na hatimaye kumaliza Deni Hilo. Alisema ilifika mahala walitofautiana na baadhi ya viongozi wenzake huku wengine wakiwa…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha Arusha.Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita baada ya ushahidi uliotolewa na Jamhuri kugubikwa na utata, hivyo kushindwa kuthibitisha mashtaka yaliyokuwa yanawakabili na kuwatia hatiani Wakili mauna akizungumza na vyombo vya habari nje ya mahakama Mbali na Sabaya wengine ni Enock Mnkeni, Watson Mwahomange, John Aweyo, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya .Hata hivyo Sabaya, Nyegu, Aweyo na Msuya wataendelea kubaki mahabusu katika gereza la Karanga kwa kuwa wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi Hukumu hiyo imetolewa…

Read More