Picha za waandishi wa habari na wa hariri wa mitandao ya kijamii wakifatilia semina ya kuhusu Sensa ya mwaka 2022 katika ukumbi wa chuo kikuu kishirikishi cha elimu Mkwawa mkoani Iringa14_15 juni 2022
Author: Geofrey Stephen
Na Geofrey Stephen Arusha Katika jitiada za kulifanya taifa liweze kwendana na kasi ya Sayansi,Teknolojia na ubunifu Taasisi ya Future STEM Business Leaders kwa kushirikiana na Chuo cha Ufundi Arusha ( Arusha Technical College ) wameandaa na kutoa mafunzo ya siku nne kwa wanafunzi wa kidato cha tano na Sita katika Jiji la Arusha kutoka katika shule Saba zilizopo mkoani hapa Hayo yamebainishwa na kaimu Mkurugenzi mtendaji wa atamizi ya DTBi Dkt Erasto Mlyuka wakati akifungua mafunzo maalumu ya siku nne ya Sayansi, Teknolojia na ubunifu Kwa wanafunzi wa shule za sekondari ambapo alisema kuwa taifa la Tanzania ili likue…
Karibu Arusha 24Tv leo June 14, 2022,Tunakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania, Hii ni A24Tv .
Mwananchi wetu. Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), kupitia Mradi wa Kigoma Pamoja (KJP), limefanikiwa Kuwatajirisha wananchi mkoani Kigoma kwa kununua mazao yao wanayozalisha,kuwajengea maghala na kuwapatia mashine za kuwasaidia kuandaa mazao. Miradi hiyo inatekekezwa Kwa kushirikisha mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) mbali ya WFP, ni pamoja na Kituo cha Biashara cha Kimataifa (ITC), Shirika la Uendelezaji wa Mitaji la Umoja wa Mataifa (UNCDF) na Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO). Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Rashidi Mchatta alisema WFP ni moja ya mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) yamekuwa na Manufaa makubwa kwa wananchi kwa…
Na Joseph Ngilisho ARUSHA Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT Dayosisi ya mjini Kati ,Arusha,limewashukuru na kuwapongeza waumini wake kwa kuinusuru hoteli ya kitalii ya nyota tatu ya Corridor Springs ambayo ni Mali ya kanisa Hilo isiuzwa kutokana na deni kubwa la mkopo lililofikia kiasi Cha sh,bilioni 13.5. Akiwashukuru waumini wa kanisa Hilo waliofurika Katika ibada maalumu ya shukrani iliyofanyika katika kanisa Hilo usharika wa Kimandulu jijini hapa ,Askofu Mkuu Solomon Massangwa alisema waumini wa kanisa hilo wameliheshimisha kanisa kwa kukubali kuchangia na hatimaye kumaliza Deni Hilo. Alisema ilifika mahala walitofautiana na baadhi ya viongozi wenzake huku wengine wakiwa…
Karibu Arusha 24Tv leo June 13, 2022,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania, Hii ni A24Tv .
Karibu Arusha24Tv leo June 12, 2022,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania, Hii ni Arusha24Tv
karibu Arusha24Tv leo Juni 11 2022 Kupitia Vichwa vy a Habari Magazeti ya Tanzania kupitia yalio Andikwa katika Magazeti ya leo Mbele na Nyuma Hii ni A24Tv
Na Geofrey Stephen Arusha Arusha.Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita baada ya ushahidi uliotolewa na Jamhuri kugubikwa na utata, hivyo kushindwa kuthibitisha mashtaka yaliyokuwa yanawakabili na kuwatia hatiani Wakili mauna akizungumza na vyombo vya habari nje ya mahakama Mbali na Sabaya wengine ni Enock Mnkeni, Watson Mwahomange, John Aweyo, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya .Hata hivyo Sabaya, Nyegu, Aweyo na Msuya wataendelea kubaki mahabusu katika gereza la Karanga kwa kuwa wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi Hukumu hiyo imetolewa…
Karibu Arusha24Tv leo 10, 2022,Tunakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania, Hii ni A24Tv .