Author: Geofrey Stephen

Na Richard Mrusha: Dar es salaam. Wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) wamemchagua Injinia Aivan Maganza kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho. Msimamizi wa uchaguzi huo, Rashid Amir, amemtangaza Maganza kuwa mshindi baada ya kupata kura 33.huku wagombea wenzake wanne wakiangukia pua mara baada ya mwanga kishika nafasi ya pili kwa kupata kura 10 huku Stanley kura mbili na wagombea wawili wakipata kura sifuri . Akizungumza baada ya kuchaguliwa Maganza ameahidi kukibadilisha chama hicho na kuwa cha kisasa huku akituma salamu kwa vyama vingine kwamba vijipange. “Wale ambao wako TLP kwa nia ya kukivuruga chama…

Read More

Mwandishi wetu.A24tv. Dar es salaam.Wamiliki wa vyombo vya habari nchini,wametakiwa kuwalipa malimbikizo ya madai wafanyakazi wao wanaowadai na kutoa mikabata ya ajira ili kuongeza Uhuru wa habari na kujieleza nchini. Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi wa ldara ya Habari Maelezo, Bw.Thobias Makoba alitoa wito huo juzi wakati anafungua kongamano la Uhuru wa kujieleza na sheria za habari nchini,lililoandaliwa na Mtandao wa watetezi wa Haki za binaadamu nchini (THRDC). Makoba alisema serikali inajua changamoto ambazo zinakabili vyombo vya habari ikiwepo suala la kiuchumi hata hivyo wakati serikali Inaendelea na mchakato wa kulipa madeni yake kwa vyombo vya habari…

Read More

Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya vijiji 69 vya mikoa ya Tanga, Mkangara, Dodoma, Lindi na Ruvuma vimenufaika kiuchumi, kijamii na mazingira kupitia Mradi wa Kuongeza Mnyororo wa Thamani kwenye Mazao ya Misitu (FORVAC). Mradi huo ambao ulianza mwaka 2018 na kufikia mwisho mwaka Julai mwaka 2024 umewezesha vijiji 69 kupata zaidi ya Sh bilioni 9 kwa kipindi cha miaka sita, ambazo zimetumika kutekeleza miradi ya kijamii. Hayo yamesemwa na Mtaala wa Misitu kutoka Mradi wa FORVAC, Marcel Mutunda wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, ambapo amesema mradi huo umefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 100. Mutunda amesema…

Read More

Hai, Mkazi wa Kingereka Bomang’ombe Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Rashidi Thomas (19),Dereva bajaji amehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha 60 jela kwa kosa la kubaka na kulawiti binti wa miaka (17 )ambeye ni mama lishe Mwendesha mashitaka wa Serikali Lubulu Mbise mbele ya Hakimu Mkazi mfawidhi mwandamizi wa Mahakama hiyo Julieth Mawole , amesema kwamba tukio hilo june 19 mwaka jana. Mwendesha mashitaka huyo ameeleza kuwa mshitakiwa siku ya tukio majira ya usiku mshitakiwa alifika sehemu wanapouza chakula na kumwambia huyu binti kwamba kuna mteja anahitaj chakula apelekewe Hakufana hiyana kwa sababu ni jambo la kawaida kuwapelekea wateja chakula katika…

Read More

Mwandishi wetu Taasisi ya habari kusini mwa Afrika tawi la Tanzania(MISA-TAN),imeiomba serikali kupunguza viwango vya ada ya kuendesha mitandao ya kijamii(Blogs,Online Tv na You Tube ili kuvutia vijana wengi kumiliki.mitandao kisheria. MISA pia imeomba serikali kuharakisha kuunda baraza huru la habari na mfuko wa kusaidia wanahabari nchini kujiendeleza kielimu. Mjumbe wa bodi ya MISA-Tan,Mussa Juma ametoa wito huo leo June 26, wakati akifunga Warsha ya waandishi wa habari na wadau wa habari kujadili kanuni za maudhui ya mtandaoni za mwaka 1998 na maboresho yake katika hotel ya Silver sand kunduchi jijini Dar es salaam. Warsha hiyo iliandaliwa na MISA-Tan kwa…

Read More

Dar Es Salaam- Tanzania, June 15, 2024 – Emirates Skywards, the award-winning loyalty program of Emirates, continues to revolutionize the loyalty industry with its innovative initiatives and customer-focused strategy. Over the past year, the program has introduced exciting new features and expanded its brand portfolio, attracting 33 million members worldwide. Here are five ways Emirates Skywards has enhanced the loyalty experience for its Tanzanian members: Exclusive Skywards Experiences: Members can now enjoy unique opportunities through Skywards Exclusives, such as hospitality tickets and VIP experiences at major sporting events like the US Open and Wimbledon. Additionally, new lifestyle partnerships offer experiences…

Read More