Author: Geofrey Stephen

Na Dorin Aloyce Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amesema kifo cha Mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dkt. Faustine Ndugulile, kimeacha simanzi kubwa kwa Bunge na Watanzania kwa ujumla kutokana na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya taifa. Akizungumza mara baada ya kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Mtaa wa Uzunguni A, Jijini Mbeya leo tarehe 27 Novemba, 2024, Dkt. Tulia amesema kuwa nyota ya Dkt. Ndugulile imezimika wakati akiwa ameanza kung’ara katika anga za kimataifa. Alikuwa aanze rasmi majukumu yake…

Read More

Asema wananchi wasikubali kulaghaiwa na mtu yoyote na kuchagua chama kingine kwa sababu chama ambacho ndicho kitaweza kuwaletea maendeleo. Hai ,Diwani wa kata ya Masama Kusini Sedrick Pangani , Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, amewaomba wananchi wa Kijijii cha mkombizi Wilayani hapa kuhakikisha wanakichangua chama cha mapinduzi (CCM)na wasikubali kudanganyika akidai kuwa hakuna chama kingine kinacho izidi CCM. Pangani ametoa kauli hiyo Leo November 25,2024 wakati hitimisho ya kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kijijii cha Mkombizi Wilayani Hai mkoani hapa. Amesema kuwa wananchi hao wasikubali kulaghaaiwa na mtu yoyote na kuchagua chama kingine kwa sababu chama ambacho…

Read More

Siha, Zikiwa zimesalia siku mbili kwa kufanyika uchanguzi wa Serikali za mitaa November 27,2024,Katibu wa chama cha mapinduzi (CCM) Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro, Ally Kidunda ,ameomba Wananchi kuchagua Viongozi wa vijiji wanatokana na CCM Hayo yamejiri kwenye kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Kijijii cha Merali kata ya Sanya juu Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro , ambapo walikusanyika wananchi kutoka sehemu mbali mbali ya Kijiji hicho kuja kusikiliza sera. Akizungumza mara baada ya kupata frusa ya kuwanadi wagombea hao wakiwamo wa vitogoji ,amewataka Wananchi kuchagua Viongozi wanaotokana na CCM kwani wanamaona ya maendeleao na sio vingine “Ni kweli msituchanganyie…

Read More

Na Richard Mrusha WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la Kimataifa namba 14 litakalofanyika tarehe 4 Desemba mpaka tarehe 6 Desemba mwaka huu kwenye ukumbi wa kimataifa Arusha(AICC) jijini Arusha. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi mtendaji ya Taasisi ya Wahandisi Tanzania(IET),Ipyana Moses , Amesema kongamano ilo litawashirikisha wahandisi,mafundi,wanafunzi na wadau wengine kutoka mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi. “Umuhimu wa kongamano hilo ni kukutana na washiriki na tunakadiria kuwa na zaidi ya elfu moja, na katika hao wako watakao shiriki kwa njia ya mtandao amesema Moses.’ Moses amesema…

Read More