Author: Geofrey Stephen

Na Bahati Hai Jamii Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro imepewa angalizo kwamba Mtu anapokuwa na msongo unaochangiwa na changamoto za maisha suluhisho sio kukimbilia kunywa sumu, Anaweza kuonana na mtu anayemuamini wakiwamo Wataalamu kutoka idara ya maendeleao ya Jamii na Ustawi Jamii waliopo Wilayani humo ili waweze kukaa na kushirikiana jambo hilo ili liweze kupatiwa ufumbuzi. Haya yamejiri baada ya kuonekana swala kunywa sumu kwa baadhi ya watu kwa Wilaya hii limekuwa changamoto sana Marck Masue afisa maendeleao ya Jamii Wilayani humo, Akizungumza na mwananchi Digital kwa njia ya simu ,Amesema hili swala watu kunywa sumu limekuwa changamoto sana kwenye…

Read More

Na Mosses Mashala Zanzibar . Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Taasisi ya Al Mazrui Charitable Organisation ya Abu Dhabi kwa kuendelea kutoa huduma mbalimbali za kijamii ikiwemo afya , elimu na maji. Pia ameishukuru taasisi hiyo kwa kutoa jengo lao kwa Serikali ilitumie kwa huduma za afya Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo akizungumza na vijana wa Chuo cha ufundi Mubarak AL Mazrui na alipotembelea eneo hilo Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe :11 Juni 2024. Aidha Rais Dk.Mwinyi ameeleza kuwa Serikali imetoa kibali cha kuajiri vijana waliokuwa wanajitolea katika mashirika mbalimbali ya Serikali ikiwemo…

Read More

Peter Jegwa ,BBC News, Lilongwe CHANZO CHA PICHA,REUTERS Mabaki ya ndege iliyombeba makamu wa rais wa Malawi imepatikana bila mtu yeyote aliyenusurika, Rais Lazarus Chakwera amesema. Saulos Chilima na wengine tisa walikuwa wakisafiri nchini humo Jumatatu asubuhi wakati ndege yao ilipotoweka kwenye rada za uwanja wa ndege. Ndege hiyo kijeshi, ilikuwa ikisafiri hali mbaya ya hewa. Wanajeshi walikuwa wakipekua Msitu wa Chikangawa katika juhudi za kuitafuta ndege hiyo. Katika kikao na wanahabari siku ya Jumanne, Rais Chakwera alisema kamanda wa Jeshi la Ulinzi la Malawi alimweleza kuwa shughuli ya utafutaji na uokoaji imekamilika na ndege hiyo kupatikana. Bw Chakwera alisema…

Read More

 Na Mwandishi wa A24tv -MANYARA Watu watatu wamefariki Dunia na wengine watano kujeruhiwa kufuatia ajali iliyohusisha magari Matano pamoja na pikipiki Moja katika eneo la Mogitu Hanang Mkoani Manyara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara SACP George Katabazi amesema waolifariki katika ajali hiyo ni Mwanamke aliyekuwa katika gari ndogo aina pamoja na Wanaume wawili waliokwenda kushuhudia ajali hiyo. “Ajali imetokea usiku wa kuamkia leo katika mteremko wa Mogitu Hanang ambapo kulitokea ajali ya gari aina ya Scania mbili kugongana na kusababisha kuziba barabara na kufanya magari mengine kushindwa kupita kwenye barabara hiyo, Polisi walifika kwa wakati eneo la tukio ili…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv. Hali ya usalama wa maisha ya kila siku kwa wananchi waishio pembezoni mwa ziwa Viktoria wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza yarejea baada ya Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kujenga vizimba vya kudhibiti mamba. Akizungumza na vyombo vya habari, Mtafiti wa Mamba kutoka Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) Dkt.Iddi Lipende ambaye pia ni Daktari wa Wanyamapori amesema, Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kutatua migongano kati ya binadamu na Mamba kwa kutenga bajeti ya kujenga vizimba vya mfano, ambapo mpaka sasa Wizara imewezesha ujenzi wa jumla ya vizimba sita (06) nchini na kati…

Read More

Na Richard Mrusha Arusha Kaimu Mkurugenzi wa Kampuni ya mawasiliano Tigo Kanda ya Kaskazini, Daniel Mainoya, amewashauri wafanyabiashara kutumia huduma ya lipa kwa simu kwa kuwa ni salama na kujiepusha katika hatari ya kupoteza fedha. Mainoya ameyasema hayo leo wakati akiwatembelea wateja wake waliopo katika maonesho ya Karibu Kili Fair (KKF) yaliyoanza jana katika viwanja vya Magereza Kisongo mkoani Arusha yaliyokutanisha zaidi ya kampuni 700 za kimataifa kutoka nchi zaidi ya 42 “Huduma ya lipa kwa simu imewasaidia wafanyabiashara kwa ajili ya usalama wa fedha zao haina haja ya kubeba fedha taslimu kwa kuwa fedha zinakuwa katika simu hayupo katika…

Read More