Na Richard Mrusha Dar es salaam WAZIRI MKUU Mstaafu Kayanza Mizengo Pinda amewataka Vijana kutumia fursa ya Mageuzi ya Elimu Nchini kwa kujiunga vyuo stahiki vya Veta vinavyotoa Elimu ya ujuzi na Ufundi stadi ili kuwasaidia kuendesha Maisha yao na kuinuka kiuchumi Kauli hiyo ameutoa leo Machi 20 ,2025 alipohudhuria mjadala wa wadau wa Veta Ikiwa ni siku ya tatu ya maadhimisho ya miaka 30 ya Veta yanayofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. “Hakika tulipotoka ni mbali miaka 30 iliyopita hatukuweza kutengeza kazi nzuri na za kibunifu tulikuwa tukiziona katika mataifa yaliyoendelea…
Author: Geofrey Stephen
Ijumaa ya leo March 21 Mwaka 2025 karibu kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24v. Mwisho.
Na Bahati Siha, Serikali Wilayani Siha mkoani imetakiwa kuwa makini na watu wanajitokeza kupanda miti sehemu mbali mbali, Wilayani humo kwani baadhi yao wanaopanda miti hiyo uitelekeza bila kuipatia matunza ili ikuwe Hivyo kutakiwa kuonyesha mpango kazi wao wakuitunza miti hiyo mpaka ikuwe ndiyo waruhusiwe kupanda miti hiyo. Haya yamesemwa na Wananchi wa kata ya Ngarenairobi wakati wa zoezi la upandaji miti eneo lao shule ya Sekondari Namwai na chanzo cha mapato cha madini ya moromo West Kilimanjaro, Wananchi hao ,wakizungumza mara baada ya zoezi,wametaka kuonyesha mpango kazi wao wakuitunza miti hiyo tabia hiyo kupigwa na Wadau wote wamazingira ili…
Karibu Arusha24tv ktazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania March 20 Mwaka 2025 mbele na nyuma Hii ni A24tv. f Mwisho.
Karibu Arusha24tv leo Juma Tano March 19 Mwaka 2025 kutazama habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24rv . l Mwisho …..
Karibu Arusha24tv leo March 18 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho.
Hai , Kanisa la Adventista Sabato Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro ,litaendelea kutoa mafunzo kwa vijana wa marika tofauti katika kanisa hilo, kwa lengo la kuwalea vijana katika maadili yenye nidhamu na kuwajengea uwezo wa kumbapana na maswala ya ukatili dhidi ya watoto Haya yasemwa March 16 ,2025 na Ezekiel Elisante kiongozi wa vijana Kanda ya Kilimanjaro wakati wakati wa Maadhimisho ya matendo ya huruma kila mwaka mwezi March,ambapo huwatoa huduma ya kurudisha fadhila zao kwa jamii kupitia matendo ya huruma , kwa kufanya shughuli za kijamii, ambao walifanya usafi kituo cha Polisi Bomang’ombe Akizungumza na waandishi wa habari mara baada…
Karibu Arusha 24tv leo March 17 Jumatatub2025 kutazama habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho .
Juma Mosi ya leo March 15 Mwaka 2025 karibu kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho .
Ijumaa ya leo March 14 Mwaka 2025 karibu kutaza kilicho Andikwa katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.