Author: Geofrey Stephen

Na Richard Mrusha Dar es salaam WAZIRI MKUU Mstaafu Kayanza Mizengo Pinda amewataka Vijana kutumia fursa ya Mageuzi ya Elimu Nchini kwa kujiunga vyuo stahiki vya Veta vinavyotoa Elimu ya ujuzi na Ufundi stadi ili kuwasaidia kuendesha Maisha yao na kuinuka kiuchumi Kauli hiyo ameutoa leo Machi 20 ,2025 alipohudhuria mjadala wa wadau wa Veta Ikiwa ni siku ya tatu ya maadhimisho ya miaka 30 ya Veta yanayofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. “Hakika tulipotoka ni mbali miaka 30 iliyopita hatukuweza kutengeza kazi nzuri na za kibunifu tulikuwa tukiziona katika mataifa yaliyoendelea…

Read More

Na Bahati Siha, Serikali Wilayani Siha mkoani imetakiwa kuwa makini na watu wanajitokeza kupanda miti sehemu mbali mbali, Wilayani humo kwani baadhi yao wanaopanda miti hiyo uitelekeza bila kuipatia matunza ili ikuwe Hivyo kutakiwa kuonyesha mpango kazi wao wakuitunza miti hiyo mpaka ikuwe ndiyo waruhusiwe kupanda miti hiyo. Haya yamesemwa na Wananchi wa kata ya Ngarenairobi wakati wa zoezi la upandaji miti eneo lao shule ya Sekondari Namwai na chanzo cha mapato cha madini ya moromo West Kilimanjaro, Wananchi hao ,wakizungumza mara baada ya zoezi,wametaka kuonyesha mpango kazi wao wakuitunza miti hiyo tabia hiyo kupigwa na Wadau wote wamazingira ili…

Read More

Hai , Kanisa la Adventista Sabato Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro ,litaendelea kutoa mafunzo kwa vijana wa marika tofauti katika kanisa hilo, kwa lengo la kuwalea vijana katika maadili yenye nidhamu na kuwajengea uwezo wa kumbapana na maswala ya ukatili dhidi ya watoto Haya yasemwa March 16 ,2025 na Ezekiel Elisante kiongozi wa vijana Kanda ya Kilimanjaro wakati wakati wa Maadhimisho ya matendo ya huruma kila mwaka mwezi March,ambapo huwatoa huduma ya kurudisha fadhila zao kwa jamii kupitia matendo ya huruma , kwa kufanya shughuli za kijamii, ambao walifanya usafi kituo cha Polisi Bomang’ombe Akizungumza na waandishi wa habari mara baada…

Read More