Author: Geofrey Stephen

Na Geofrey Stehen Arusha . Mkaguzi wa kata ya NGARENARO jijini Arusha Mkaguzi Msaidizi wa polisi TADEY TARIMO leo Tarehe 24/05/2023 amepita nyumba kwa nyumba katika mitaa ya Kambi ya Fisi na Darajani na kutoa elimu ya ulinzi na Usalama Mkaguzi huyo amezitaka Familia kutokukumbatia uhalifu na badala yake watoe TAARIFA za wahalifu walio katika makazi yao pamoja na uhalifu unaotendeka katika makazi yao. A/INSP TARIMO ameitaka jamii ya mitaa hiyo kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi pamoja na mamlaka ya kudhibiti na kuzuia madawa ya kulevya nchini DCEA kwa kupiga namba ya bure 119 ili kutoa TAARIFA za wanaojihusisha…

Read More

Bibi afunga Safari kutoka Jijini Dar es saalam kumuona mkuu wa kituo cha Sekei Jijini Arusha. kwa lengo la kutoa shukrani mara baada ya kusaidika kumuona mkuu wa mkoa wa Arusha Poul Makonda Mkuu uyo wa kituo cha Sekei jijini Arusha alisema kwamba alimsaidia Bibi huyo sehemu ya kulala pamoja kumkimu chakula pamoja na fedha za matumizi Mkuu uyo amesema kwamba “Leo amekuja kunishukuru na kuomba nimsaidie aende dodoma kuonana na waziri wa ardhi maana alishahidiwa kutengenezewa nyumba yake” jambo nimefanya hivyo na nina mtakia kila la kheri mzazi wangu aweze kufanikiwa alisema mkuu wa kituo hicho cha sekei

Read More

Na Geofrey Stephen A24tv. Chama cha Rasilimali watu na utawala ( THRAPA ) kimepata mwenyekiti mpya ambaye ni Mh christopher kabalika  Mara baada ya wanacha kumchagua kwa kishindo  kikukbwa kwa kupata kura 130 kati ya kura 190 zilizo pigwa  katika mkutano mkuu wa mwaka huku akimwangusha mgombea mwenzake. kwa kupata kura 30 tu . Wajumbe wa mkutanko mkuu wamesema wanaimani kubwa sana na mwenyekiti wao mpya ndio maana wameweza kumpa kura za ndio kwa kishindo na wanategema mabadiliko makubwa kutoka kwakwe . Akiongea na  A24tv kabalika amesema kwamba amepokea vyema nafasi ya kua Mwenyekiti na  kwamba ataakikisha anafanya vyema hivyo…

Read More

Na Bahati Hai, Mkurungenzi mtendaji wa Halmshauri ya Hai mkoani Kilimanjaro Dionis Myinga,amesema wanahitaji kufanya jitihada kubwa zaidi kuhakikisaha kwamba wanafikia asilimia 100 ya ukusanyaji mapato ndani ya mwezi mmoja uliobakia wa mwaka wa fedha Pia amesema atahakikisha Miradi ambayo bado haijakamilika iweze kwishi kabla ya mwaka huu wa fedha haujaisha. Akizungumza kwenye kikao cha kawaida cha Baraza la madiwani cha Halmshauri kilichofanyika katika ukumbi wa Halmshauri hiyo, amesema atahakikisha siku zilizosalia ukusanyaji mapato wanafikia asilimia 100 “Ni kweli sasa tunahitaji kufanya jitihada kubwa zaidi kuhakikisha kwamba tunafikia asilimia 100 au zaidi ,huu mwezi mmoja uliobakia ,maana yake tumetangaziana kutoka…

Read More

Na Geofrey Stephen Arusha Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema sekta ya madini hapa Nchini imefanikiwa kuongeza  ukuaji wa pato la taifa kutoka asilimia 5.1 mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 9.1 mwaka 2023. Waziri Mavunde ametoa kauli hiyo mapema leo wakati alipokuwa akifungua jukwaa la tatu la utekelezaji wa ushirikishwaji wa watanzania katika sekta ya Madini linalofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Aicc jijini Arusha. Kutokana na mafanikio hayo serikali  imeongeza  bajeti katika sekta ya madini kutoka sh,bilioni 89 hadi sh,bilioni 231 na fedha hizo zimeelekezwa kwenye utafiti zaidi  wa madini na kuboresha maabara kwa lengo la kukuza…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv Siha, Mwanafunzi wa Darasa la saba shule ya Msingi Majengo nyati Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro ,Ebeneza Msuya (14),amelazwa katika Hospitali ya rufaa ya KCMC ,akisubiri kuongezewa damu ili kufanyiwa uchunguzi baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake na kumsababishia kutoka dama sehemu za siri Pia ameomba wasamaria weme kujitokeza ili kumchangia damu ilikufanikisha zoezo la kufanya uchunguzi liwezekufanyika ,Tukio hilo limetokea may 13 mwaka huu katika shule hiyo ambapo chanzo cha ugomvi inadaiwa baada ya kuchanwa namba ya mtihani wake moku na alipohoji ndipo ugomvi ulipo zuka Angela Nyoni mama mzazi wa mwanafunzi huyo Akizungumza na mwananchi…

Read More