Karibu Arusha 24tv kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo October 25 mwaka 2024 kilicho andikwa mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Author: Geofrey Stephen
Karibu Arusha24tv leo October 24 kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Karibu Arusha24tv leo October 23 Mwaka 2024 kutazama kilicho andikwa. Katika Magazeti ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Karibu Arusha24tv leo October 22 Mwaka 2024 kutazama habari kubwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv Mwisho .
Na Bahati Siha . Serikali Wilayani Siha imetakiwa kuweka muongozo mzuri wa bodaboda kufanya kazi ili kuweza kuwadhibiti na kupunguza matendo mbali mbali ikiwamo ya ajali za mara kwa mara barabara Siha, , Jamuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania(JMAT ),Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro,imetoa rai kwa Serikali Wilayani humo kuwawekea utaratibu mzuri madereva badoboda ikiwa ni pamoja kuwa na katiba ili kupunguza uhalifu na ajali za mara kwa mara Haya yamesemwa na makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Wilayani humo Idrisa Mndeme mara baada ya kutembelea vituo vya bodaboda ambapo alibaini baadhi ya vijiwe havina muongozo wowote…
Na Geofrey Stephen Mohi Kilimanjaro . Kwa kishindo kikubwa kwa mara nyingine tena mwaka huu wa 2024 Kampuni ya ZARA Adventure, iliyoko Moshi mkoani Kilimanjaro, imezindua kampeni ya Twenzetu Kileleni season 4 kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika. Mkurugenzi wa Zara Adventure Bi Zainab Ansell akizungumza na vyombo vya Habari Akizungumza na vyombo vya habari katika makao makuu ya kampuni hiyo mbele ya vyombo vya habari , Mkurugenzi wa ZARA Adventure Bi.Zainab Ansell alielezea lengo la kampeni hiyo na jinsi inavyolenga kuchochea utalii wa ndani na kukuza uhusiano kati ya jamii za wenyeji na watalii.…
Karibu Arusha24tv leo October 21 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho .
Karibu Arusha 24tv kutama habari kubwa katika Magazeti ya leo ya tarehe 19 Mwezi October 2024 mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho.
Karibu Arusha24tv leo October 18 kutazama kilicho Andikwa Katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho .
Na Mwandishi wa A24tv Arusha . Baraza la Maadili limemaliza kumhoji Mkuu wa Chuo cha uhasibu (IAA )Arusha,Professa Eliamani Sedoyeka kuhusu tuhuma nne zinazomkabili ambapo katika majibu yake amedai hazina ukweli wowote na kwamba alifuata taratibu zote za kiutumishi katika kufanya maamuzi . Akijibu Tuhuma ya kuwa na ukaribu na mtumishi Hakimu Ndatama na uhamisho wake kurudi IAA pindi yeye aliporejea kuwa Mkuu wa Chuo Prof amesema kwamba Uhamisho wa Ndatama kwenda Wizara ya Maliasili na Utalii ulifuata taratibu zote za kisheria na kufuatia mahitaji ya kikazi, Chuoni hapo na hakuna ukiukwaji wowote . Professa Eliamani Sedoyeka Alieleza kwamba Chuo…