Author: Geofrey Stephen

Siha, Mkuu wa jeshi la Polisi Wilaya siha mkoani Kilimanjaro Zakia Shuma,ametaja Askari wa jeshi hilo Wilayani humo kulinda mali za jeshi hilo zilizotolewa na Serikali ili ziweze kudumu bila kuchakaa mapema na kufanyakazi zilizokusudiwa za kulinda raia na mali zao Sambamba na hilo Wadau mbali mbali wa maendeleao kuunga mkono na kutoa michango ili kuweza kukamilisha Ujenzi wa jengo jipya la Polisi kituo cha Sanya juu Wilayani humo kutokana na yale ya zamani kuwa chakavu. Haya yamesemwa leo na Mkuu huyo wa jeshi la Polisi Wilaya humo baada ya kupokea gari aina ya Land Cruiser lililokuwa kwenye matengeneza ambapo…

Read More

Na Mosses  Mashala . Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na RK Agrawal Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ushauri WAPCOS Ltd kutoka Serikali ya India na ujumbe wake waliofika Ikulu Zanzibar tarehe: 07 Mei 2024. Rais Dk.Mwinyi amesema Zanzibar inahitaji miradi mingi ya uwekezaji katika sekta ya maji na umeme. Kwa upande mwingine Rais Dk.Mwinyi ameishukuru Serikali ya India kwa kuisaidia Zanzibar katika miradi ya maji. Naye Mkurugenzi RK Agrawal amesema wako tayari kuendelea kushirikiana na Serikali katika miradi hiyo. Mwisho

Read More

Na Mwanfishi wa A24Tv .Siha, Wananchi wa kata ya Sanya juu Wilayani siha mkoani Kilimanjaro,wameomba Serikali kufanya msako katika Soko la Sanya juu ili kuwaondoa vijana wanalala kwenye stoo za kuhifadhia mizigo na kufanya vitendo vya ukatili ikiwamo ubakaji na ulawiti Mbali na kufanya vitendo hivyo vya ukatili pia wamekuwa wakitumia dawa za kulevya ikiwamo bangi na mirungi hivyo kuathiri nguvu kazi ya Taifa Wananchi hao wakizungumza na waandishi wa habari kwa nyakati tofauti,wanesikitishwa kundi hilo na vijana kuishi sokoni hapo nakuomba Serikali kufanya masako huu hasa nyakati za usiku,ili kunusuru kizazi na kubaki salama. “Ni kweli tunasema kunusuru…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv. Mkurugenzi wa Shirika la ECLAT FOUNDATION Mr Peter Toima Ameahidi kuunga mkono Juhudi za Wananchi wa Kitongoji cha mbopong -Mfereji -Wilayani Monduli kwa kujenga shule ya Msingi . Mr Toima Ametoa Ahadi hiyo ikiwa ni siku Chache tu Baada ya Baadhi wa wajumbe wa kijiji hicho kumfuata na Kumuomba awajengee shule kutokana na wanafunzi Kutembea umbali mrefu takriban kilomita 20 kufuata huduma , Ambapo tayari kuna darasa moja la Awali katika eneo hilo lililojengwa na Mdau wa Maendeleo DANIEL POROKWA  na Katibu wa Aliyekuwa  waziri Mkuu wa Tanzania Hayati EDWARD LOWASSA kwa kushirikiana na Nguvu kazi…

Read More

Na Mwandishi wa A24tv. Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuzye, amesema Baraza la Ushindani (FCT) litaendelea kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wadau ili kuwezesha utekelezaji wa shughuli za kiuchumi katika masuala ya kiushindani na udhibiti wa Soko. Ameyasema hayo Mei 3, 2024 Mkoani humo wakati akifungua semina ya elimu kwa wadau iliyoandaliwa FCT kwa Lengo la kutoa elimu kwa wadau kuhusu haki na wajibu wao ili kustawisha ushindani wa haki na kumlinda mlaji katika soko. Akiwahutubia wadau hao wakiwemo wawekezaji, watoa huduma, wafanyabiashara, na walaji/watumiaji na Taasisi za umma, Geuzye amesema kuwa semina hii itasaidia wadau kuongeza kasi…

Read More

Na Damari Tandasi Chato . KAMISHNA Msaidizi wa Uhifadhi na Mkuu wa Hifadhi ya Taifa Kisiwa cha Rubondo, Dkt. Iman Kikoti Amesema hoteli ya nyota tatu inayojengwa wilayani chato katika Kijiji cha lubambagwe ikikamiliki itakuwa ni Moja ya chanzo kikubwa cha mapato kupitia sekta ya utalii. Alisema kuwa hoteli hiyo ambayo inajengwa chini ya usimamizi madhubuti wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) nisehemu ya kuimarisha utalii Kwa kuongeza sehemu za malazi Kwa ajili ya wageni ambalimbali wanaotembelea Hifadhi zetu hususani watakaotembelea Hifadhi za taifa kisiwa cha Rubondo na Burigi chato zilizopo Kanda ya magharibi. Akizungumza na waandishi wa Habari…

Read More

Siha, Wilayani siha mkoani Kilimanjaro imekusudia kuitaitisha kikao maalumu cha kujadili changamoto mbali mbali zinazosababisha ufaulu mbaya kwa wanafunzi katika Wilaya humo Kauli hiyo imetolewa wakati wa uzinduzi wa kitabu cha kuwajengea uwezo mwanafunzi ili aweze kufanya vizuri kwenye masomo yake iliyoganyika katika ukumbi wa Rc, Sanya juu Wilayani humo. Mkuu wa Wilaya hiyo Christopher Timbuka Akizungumza Mara baada ya kuzindua kitabu hicho na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali wakiwamo wa Serikali , Chama na Dini ,amesema kikao hicho ni muhimu kwa mstakibali wa elimu Wilayani humo “Ni kweli nampongeza kwa jambo hili ametuwahi na sisi tumedhamiria kusitisha kikao maalumu…

Read More