Author: Geofrey Stephen

Emirates awarded certified autism cente designation for all check in facilities in Dubai Dubai, April 12: Furthering Dubai’s commitment to accessible travel Emirates has achieved a Certified Autism Center Designation for all of its Dubai check in facilities. The certification, awarded by the International Board of Credentialing and Continuing Education Standards (IBCCES) ensures that all Emirates facilities in Dubai have taken a significant step towards making travel more inclusive and accessible to neurodiverse customers, meeting criteria required for a comfortable and supported travel experience The facilities include Emirates City Check-In & Travel Store, Emirates Cruise Check In – Port Rashid,…

Read More

Kiwanda cha kuzalisha vyandarua hapa nchini cha ATo z cha Jijini Arhsha  imenyakua tuzo  katika hafla ya utoaji wa tuzo za Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ya 2024 iliyofanyika jijini Arusha ambapo kiwanda cha A to Z  imeshinda tuzo kubwa ya mshindi wa juu wa Jumla katika Tuzo ya Afya na Usalama (OHS) 2024. Mbali na ushindi huo mkubwa, na shughuli za ukuzaji biashara , na mshindi Bora wa Ubunifu kwenye maonyesho ya OSHA ya mwaka huu kwenye sekta ya Viwanda Maonyesho ya OSHA mwaka huu yalifanyika katika viwanja vya General Tyre jijini Arusha, ambapo mgeni rasmi alikuwa…

Read More

Mwenyekiti wa bodi ya wakala wa usalama na afya mahali pa kazi Adelhelm James Meru ametembelea maonyesho ya mabanda katika viwanja vya General taya Jijini Arusha kukagua mabanda pamoja na kujionea majukumu ya utekelezaji wa vifaa vinavyo tumika mahala pakazi . Akiwa katika viwanja hivyo Mwenyekiti James amefuraishwa na kona uwekezaji mkubwa uliowekwa katika vifaa vya kazi mahala pa kazi kutoka kiwanda cha A- Z ambapo amejionea vifaa mbali mbali vinabyo saidia watumishi katika kutekeleza kazi zao kwa uraisi pia kujikinga na ajali mbali mbali wanapo kua katika majukumu yao ya kila siku viwandani . Kilele cha Maadhimisho ya kimataifa…

Read More

Na Mwandishi wa A24Tv . BAKWATA Wilayani Siha mkoani Kilimanjaro waomba Serikali kuzipa uwezo Hospitali za Wilaya na mkoaBaraza kuu la WaislamuTanzania (BAKWATA), Wilayani siha mkoani Kilimanjaro,limeitaka Serikali kuweka mkakati thabiti ya kuzipa uwezo Hospitali za ndani ikiwamo za Wilaya na mkoa ili kupunguza gharama kwa Wananchi kwende kufuata matibabu sehemu nyingine ikiwamo nje ya Nchi. Kauli hiyo imesemwa na Ramadhani Mollel katibu wa Baraza hilo wakati Viongozi wa BAKWATA Wilaya pamoja na waumini walipotembelea nyumbani Sheikh wa mkoa huo Shaabani Mlewa Mara baada ya kurejea Nchi kutokea India alilokuwa kwa matibabu ya macho Akizungumza nyumbani kwe Sheikh Bomang’ombe Wilayani…

Read More

Na Mosses Mashala . Mke wa Rais wa Zanzibar , Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mhe.Mama Mariam Mwinyi amezindua programu ya kugawa taulo za kike (Tumaini Kits) katika viwanja vya Jadida Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba 29 Machi 2024. Aidha Programu hiyo inafadhiliwa na Shirika la UNICEF kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu Zanzibar, pamoja na Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF) kwa usambazaji wa Taulo za kike 1000 Unguja na Pemba. Viongozi mbalimbali wameshiriki akiwemo Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Lela Mohamed Mussa, Mkuu wa…

Read More

Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara ,Christopher Ole Sendeka amenusurika kuuwawa baada ya watu wasiojulikana kuliahambuliangari lake kwa risasi mapema leo jioni hii. Taarifa za uhakika kutoka Simanjiro zinaeleza kwamba Mbunge huyo pamoja na dereva wake wote wamenusurika baada ya gari lao kushambuliwa kwa risasi wakati wakiwa jimboni humo. Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika eneo hilo wameeleza kwamba walisikia milio ya risasi ikishmbulia gari hilo kabla ya washambuliaji kutokomea kusikojulikana. A24 inaendelea kufuatilia taarifa hizi kwa ukaribu zaidi na itakuletea taarifa za kina kuhusu tukio hili endelea kuwa karibu nasi. Mwisho .

Read More