Karibu Arusha24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania leo October 8 mbele na nyuma Hii ni A24tv . Mwisho.
Author: Geofrey Stephen
Na Bahati Siha . Jumuhiya ya Wazazi CCM Wilayani Siha,wapewa Kongole Kwa kuanzisha Ligi ya mpira sambamba na kutangaza miradi iliyoletwa na Mama Samia Suluhuu Hassani. Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro Christopher Timbuka ameipongeza Jumuhiya ya Wazazi wa chama cha mapinduzi (CCM), Wilayani humo kwa kuona umuhimu wa kuenzi kazi zinazofanywa na Rais Samia Suluhuu Hassani kwa kuiitangaza kupitia michezo. Haya yamesemwa wakati wa ufunguzi wa Ligi ya Samia Wazazi Siha Cup iliyofanyika katika uwanja wa CCM Sanya juu ambapo michezo mbali mbali ilizinduliwa ikiwa ni pamoja na mchezo wa mpira wa miguu na Drafti kwa Wanawake na…
Na Bahati Hai . Waumini wa Dini ya Kiislamu pamoja na Wananchi Wametakiwa kujitokeza kwenda kujiandikisha kwenye Daftari la wakazi litaloanza October 11 hadi October 20 mwaka huu Waumini wa Dini ya Kiislamu Wilayani Hai mkoani Kilimanjaro ,wametakiwa kujiandikisha kwenye Daftari la wakazi ambalo ndiyo linawapa sifa ya kuchagua Viongozi wnaowataka wa kuleta maendeleao, katika uchunguzi wa Serikali za mitaa unaotarajia kufanyika November 27 mwaka huu. Haya yamejiri kwenye Maulidi ya kuzaliwa Mtume Muhamedi (SAW), yaliyofanyika kiwilaya Msikiti wa Safii Bomang’ombe Wilayani humo,na kuhudhuria Waumini , Viongozi mbalibali wa Dini pamoja na Serikali Muhamedi Msalu katibu mwenezi wa chama cha…
Karibu Arusha 24tv kutazama habari kubwa katika magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv.
Na Geofrey Stephen Arusha .
Juma Mosi ya leo Oktoba 5 karibu kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv .
Karibu Arusha24tv leo October 4 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Na Richard Mrusha Geita Zaidi ya Washiriki 600 wamejitokeza kushiriki Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini yaliyoanza leo Oktoba 03, 2024 katika viwanja vya Bomba Mbili Mkoani Geita ambapo Wizara ya Madini na Taasisi zake wanashiriki katika kutoa elimu kuhusu shughuli za Sekta ya Madini. Maonesho hayo yanatarajiwa kufunguliwa rasmi Oktoba 5, 2024 ambapo Mgeni rasmi katika ufunguzi huo anatarajiwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko na yanategemewa kuhitimishwa Oktoba 13, 2024 na Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizumza na waandishi wa Habari, Mkuu wa Mkoa…
Karibu Arusha24tv leo October 3 kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania mbele na nyuma Hii ni A24tv. Mwisho.
Karibu Arusha24tv kutazama kilicho Andikwa katika Magazeti ya leo ya Tanzania October 2 mbele na nyuma Hii ni A24tv Mwisho.